Trump anamwalika rais wa Uturuki Erdogan kujiunga na bodi ya amani ya Gaza

Mkuu wa Mawasiliano wa Uturuki Burhanettin Duran anasema kwamba barua ya mwaliko ilitumwa kwa Erdogan kuwa mwanachama mwanzilishi wa Bodi ya Amani.
17 Januari, 2026
Misri na nchi nyingine tatu zimemshawishi Trump kutoishambulia Iran: Reuters

Misri na mataifa mengine matatu yalifanya juhudi kubwa za kidiplomasia wiki hii kuishawishi Marekani isifanye shambulio dhidi ya Iran, kulingana na afisa mmoja kutoka eneo la Ghuba aliyeliambia shirika la habari la Reuters.
15 Januari, 2026
Iran yafungua anga yake baada ya kufungwa kwa muda

Ndege zimeanza kuruka tena katika anga ya Iran baada ya kufungwa kwa muda kutokana na sababu za kiusalama, baada ya kuwepo kwa hofu ya vita vya kikanda.
15 Januari, 2026
Marekani yasitisha utoaji wa viza kwa raia wa Somali na wengine kutoka zaidi ya nchi 70

Marekani ilitangaza siku ya Jumatano kuwa inasitisha uchakatishaji wa viza za uhamiaji kutoka nchi 75, hatua ya hivi karibuni ya Rais Donald Trump dhidi ya wageni wanaotaka kuingia nchini humo.
14 Januari, 2026

Israel iko katika tahadhari ya juu huku shambulio la Marekani dhidi ya Iran likionekana kuwa karibu

Vitisho vya maneno kati ya Marekani na Iran

“Msaada unakuja”: Trump awaambia waandamanaji wa Iran

Iran inasema ‘iko tayari’ kwa mazungumzo na Marekani lakini ‘iko sawa kwa vita’

Trump awaamuru makamanda kuandaa mpango wa uvamizi wa Greenland: Ripoti
10 Januari, 2026
Marekani itaamua kampuni gani za mafuta zinaweza kufanya kazi Venezuela, asema Trump
Trump anawakutanisha viongozi kutoka kampuni kuu za mafuta, akiwahakikishia usalama wao wakifanya kazi katika nchi tajiri ya mafuta Amerika Kusini.

9 Januari, 2026
Wizara ya Ulinzi ya Syria imetangaza kusitishwa kwa mapigano katika vitongoji vya Aleppo
Wizara ya Ulinzi ya Syria imetangaza kusitishwa kwa mapigano katika vitongoji kadhaa vya kaskazini mwa mji wa Aleppo, ikisema kuwa hatua hiyo inalenga kumaliza hali ya kijeshi katika maeneo hayo.

8 Januari, 2026
Marekani yasitisha msaada kwa serikali ya Somalia kufuatia madai ya wizi wa misaada ya chakula
Serikali ya Trump imeishutumu serikali ya Somalia kwa kuharibu ghala la shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) lililokuwa na misaada ya chakula iliyofadhiliwa na Marekani.

7 Januari, 2026
Mkuu wa Jeshi la Iran atishia kujibu ‘vitisho’ vya Trump na Netanyahu
Maandamano yaliyosababishwa na ugumu wa maisha nchini Iran yanafuatiliwa kwa karibu na jamii ya kimataifa, ikiwa ni pamoja na viongozi mahasimu wa taifa hilo, Israel na Marekani.

7 Januari, 2026
Trump amesema Marekani itachukua mafuta ya Venezuela
Rais Donald Trump alimueleze mtangazaji wa kipindi cha MS NOW, Joe Scarborough, kwamba Marekani inapanga “kuchukua mafuta,” kufuatia mashambulizi yaliyofanyika nchini Venezuela na kukamatwa kwa Nicolás Maduro.

6 Januari, 2026
Hofu yaongezeka miongoni mwa jamii ya Wasomali baada ya Trump kutuma maafisa 2,000 Minnesota
Mamlaka za serikali kuu zinaongeza uwepo wao katika jimbo la Minnesota huku utekelezaji wa sheria za uhamiaji ukipanuka, kufuatia madai yaliyoenea mtandaoni kuhusu udanganyifu katika vituo vya kulea watoto vinavyoendeshwa na Wasomali.

5 Januari, 2026
Trump atishia shambulio la pili Venezuela, aonya kuhusu operesheni nyingine Colombia
Rais wa Marekani Donald Trump amesema operesheni ya kijeshi nchini Colombia “inaonekana kuwa wazo zuri,” akidai kuwa nchi hiyo inaendeshwa na “mtu mgonjwa.”

5 Januari, 2026
Dunia imepokea vipi shambulio la Marekani nchini Venezuela?
Rais wa Marekani Donald Trump amesifia operesheni ya nchi yake ya kumteka Rais wa venezuela na mkewe, lakini hatua hii imepokelewa kwa shutuma na tahadhari kutoka jamii ya kimataifa kama ukiukaji mkubwa wa sheria za Kimataifa.

4 Januari, 2026
Mashambulizi ya Marekani nchini Venezuela yaliua takriban watu 40: ripoti
Afisa mkuu wa Venezuela ameliambia gazeti la New York Times kwamba raia na wanajeshi waliuawa wakati wa operesheni ya Marekani iliyomlenga Rais Nicolas Maduro.

4 Januari, 2026
Mwanabondia Anthony Joshua arejea Uingereza baada ya ajali ya gari Nigeria
Bingwa huyo mara mbili wa uzani wa juu alipata majeraha madogo katika ajali hiyo na aliruhusiwa kutoka hospitalini siku ya Jumatano baada ya kushauriwa kujiuguza nyumbani.

