Rwanda yaishtaki Uingereza kwa kukiuka makubaliano ya mkataba wa uhamishaji wa wakimbizi

Rwanda imeishtaki Uingereza kwa kuvunja masharti ya mkataba katika ‘kipengele cha malipo ya kifedha’
28 Januari, 2026
Iran yamnyonga ‘shushushu’ wa Israel

Kulingana na shirika la habari la Fars, mtu huyo anatuhumiwa kutoa taarifa za siri kwa shirika la ujasusi la Mossad la nchini Israel.
28 Januari, 2026
Mke wa rais wa zamani wa Korea Kusini afungwa jela kwa kupokea rushwa

Kim, anatuhumiwa kukubali kupokea zawadi za begi na mkufu wa thamani kutoka kanisa moja nchini humo.
28 Januari, 2026
Meli ya kubeba ndege za kivita za Marekani kimeingia Mashariki ya kati

Kikosi cha mashambulizi cha wanamaji cha Marekani, kinachoongozwa na shehena ya ndege ya USS Abraham Lincoln, kinaingia katika maji ya Mashariki ya Kati – wakati Hezbollah inaungana na Tehran katika kuonya dhidi ya mashambuli
27 Januari, 2026

Trump: Iran “inataka kufanya mazungumzo” huku meli ya kivita ya Marekani ikiwasili Mashariki ya Kati

Thamani ya dhahabu yapanda kwa kiwango cha juu zaidi kutokana ni migogoro ya kimatiafa

Benki ya Dunia na Qatar kusaidia kusambaza umeme kwa watu milioni 300 barani Afrika

Waokoaji wahangaika kutafuta manusura katika maporomoko ya ardhi Indonesia

Iran italichukulia shambulio lolote la Marekani kama ‘vita vya kila namna dhidi yetu’ – afisa mkuu
23 Januari, 2026
Trump: Marekani ina “nguvu kubwa” inayoelekea Iran
Tuna msafara mkubwa unaoelekea huko, labda hatutahitaji kuutumia. Tutaona, anasema Rais wa Marekani.

22 Januari, 2026
Venezuela yaiwekea soko huria sekta yake ya mafuta
Hatua hiyo, inakuja takribani wiki tatu, tangu Marekani imuondoe madarakani aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Nicolas Maduro, ambaye mtangulizi wake Hugo Chavez alilazimisha utaifishwaji wa makampuni ya nje ya mafuta katikati ya miaka 2000.

22 Januari, 2026
Rais wa Israel akutana na kiongozi wa eneo la Somaliland lililojitenga mjini Davos
Kuanzishwa kwa uhusiano wa kidiplomasia kati ya pande hizo mbili kumezua ukosoaji mkali duniani kote kwa kukiuka mamlaka ya Somalia.

21 Januari, 2026
Ndege ya Trump ya Air Force One yalazimika kukatisha safari ya Davos angani
Ndege ilirudi kambi ya Andrews “kwa tahadhari,” Ikulu ya white house inasema, ikiongeza kwamba Trump angebadili ndege na kuendelea kwenda Uswisi.

20 Januari, 2026
Bilionea Elon Musk agusia kulinunua shirika la ndege la Ryanair
Mwaka 2022, Musk alitumia kiasi cha Dola Bilioni 44, kuununua mtandao wa Twitter, ambao aliubadilisha jina na kuuita X.

18 Januari, 2026
Israel yapinga orodha ya jopo la Trump la Gaza huku mkuu wa kamati ya Palestina akitangaza wajumbe
Ofisi ya Waziri Mkuu Netanyahu inasema bodi hiyo haikuratibiwa na Israel na inaenda kinyume na sera yake.

18 Januari, 2026
Idadi ya waliouawa katika maandamano ya Iran imepita 3,000 huku mtandao ukianza kurejeshwa polepole
Wakaazi wanasema msako huo kwa kiasi kikubwa umezima maandamano, huku vyombo vya habari vya serikali vikiripoti kukamatwa zaidi na mitaa tulivu hata katika miji ya kaskazini mwa Caspian.

17 Januari, 2026
Trump anamwalika rais wa Uturuki Erdogan kujiunga na bodi ya amani ya Gaza
Mkuu wa Mawasiliano wa Uturuki Burhanettin Duran anasema kwamba barua ya mwaliko ilitumwa kwa Erdogan kuwa mwanachama mwanzilishi wa Bodi ya Amani.

15 Januari, 2026
Misri na nchi nyingine tatu zimemshawishi Trump kutoishambulia Iran: Reuters
Misri na mataifa mengine matatu yalifanya juhudi kubwa za kidiplomasia wiki hii kuishawishi Marekani isifanye shambulio dhidi ya Iran, kulingana na afisa mmoja kutoka eneo la Ghuba aliyeliambia shirika la habari la Reuters.

15 Januari, 2026
Iran yafungua anga yake baada ya kufungwa kwa muda
Ndege zimeanza kuruka tena katika anga ya Iran baada ya kufungwa kwa muda kutokana na sababu za kiusalama, baada ya kuwepo kwa hofu ya vita vya kikanda.



