082641f537b83fee9fb46b0af3048f6f0f929a9069c7d72f6f5d110c34c345a2
2025 09 12t073835z 231213733 rc26qga3i1ov rtrmadp 3 southsudan security
3e1aa6bfd6f08236b42281270fc89c87137d33f808cb45ad26128f9669905bf0
2025 09 14t015713z 711090846 up1el9e03va7j rtrmadp 3 athletics world main
2025 09 12t111605z 1 lynxnpel8b0hc rtroptp 3 health ebola congo main
toj6lklknvlvbdq75rrr7oqyiy
69f3f69c8109e0acd17ebfc6e8250e6052c2eb7260365bdf7e2070e4b10841fb
ecef8c5f5794437b3eb43a3a77854bb7def9517759f4cd28a00da7d03567ce6f
0c9fcce9c587b3755ab77cef1f0e887247cdbf20b209755150b86e8eb9eada50
1757705208915 symldf c9e0d74fd3fbc74b8f0e72e0dfb284b7c2531a2461b7c20276c28f8e9054a261
082641f537b83fee9fb46b0af3048f6f0f929a9069c7d72f6f5d110c34c345a2
2025 09 12t073835z 231213733 rc26qga3i1ov rtrmadp 3 southsudan security
3e1aa6bfd6f08236b42281270fc89c87137d33f808cb45ad26128f9669905bf0
2025 09 14t015713z 711090846 up1el9e03va7j rtrmadp 3 athletics world main
2025 09 12t111605z 1 lynxnpel8b0hc rtroptp 3 health ebola congo main
toj6lklknvlvbdq75rrr7oqyiy
69f3f69c8109e0acd17ebfc6e8250e6052c2eb7260365bdf7e2070e4b10841fb
ecef8c5f5794437b3eb43a3a77854bb7def9517759f4cd28a00da7d03567ce6f
0c9fcce9c587b3755ab77cef1f0e887247cdbf20b209755150b86e8eb9eada50
1757705208915 symldf c9e0d74fd3fbc74b8f0e72e0dfb284b7c2531a2461b7c20276c28f8e9054a261

Ulimwengu

489eb0f19d497d5da6ca27db95b652593bfcb2a4622741a8b30e6d8af24de406

Papa Leo wa 14 aadhimisha kumbukumbu ya Hiroshima kwa wito wa amani

Gwiji wa soka wa Ureno Jorge Costa afariki dunia kwa mshtuko wa moyo

Costa anakumbukwa zaidi kama nahodha wa kikosi cha Fc Porto chini ya kocha Jose Mourinho kilichotwaa ubingwa wa Ulaya mnamo 2004, Porto walipoifunga AS Monaco 3-0 kwenye fainali.

Mbunge wa Ujerumani anaitaka kuanzisha adhabu dhidi ya Israeli na kusitisha kuiuzia silaha

Mjumbe mkuu katika muungano wa Mshauri Mkuu wa Ujerumani Friedrich Mertz alisema jana Jumatatu kuwa Berlin inapaswa kuchunguza kuweka adhabu dhidi ya Israel, ikiwa ni pamoja na kusimamisha kwa sehemu mauzo ya silaha au kusimamisha mkataba wa kisiasa katika ngazi ya Umoja wa Ulaya.

Netanyahu alizuia makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza na kuachiliwa mateka

Chanel 13 ya Israel inaibua mipango ya siri ya mkutano inayoonyesha Netanyahu alikataa mpango kamili wa kusimamisha vita na kuachiliwaa mateka, “kuongeza utenganisho wa kimataifa wa Israel.”

Afrika

082641f537b83fee9fb46b0af3048f6f0f929a9069c7d72f6f5d110c34c345a2

Bunge la Uganda lahoji Mamlaka ya Mapato kuhusu gharama ya ukarabati wa magari

Jopo la mawakili wa makamu wa Rais wa Sudan Kusini wasema wako tayari kwenda mahakamani

Makamu huyo wa Kwanza wa Rais wa Sudan Kusini Riek Machar ameshtakiwa kwa mauaji, uhaini na uhalifu dhidi ya binadamu.

Mpina aondolewa tena kwenye mchakato wa kugombea Urais

Tume Huru ya Uchaguzi ya Tanzania (INEC) imemuondoa Luhaga Mpina kama mgombea urais kufuatia pingamizi dhidi yake iliyotolewa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Tanzania, Hamza Johari.

DRC yaanza kutoa chanjo dhidi ya mlipuko mpya wa Ebola

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeanza mpango wa chanjo dhidi ya ugonjwa mpya wa Ebola, ambao umeua watu 28 nchini humo tangu mwishoni mwa Agosti.