17563154305f3d254fa8dd2ff3783fc2b1a7e2e27bc7c5dc41c1907b218bf94f
096c21f53063102dc3836e6e4f0ddaac0ab4f0b004558d6f7c9d5a2672897006
d1dc13a1d3a2849b828c558649f3ae9a4764fb42a822333e80959f8ef47b73bc
07156fc89060a0fecf65caa028d83aa306273ef35544869640655559dd1c4e93
be47663d69a29db4407c0975e63cd34557bc347dd6cb733454754a8853b3e615
981062871b4fd97e1b072f9175ce7176ed274e90fe0609435d1db69594b35e67
2026 01 26t151928z 1 lynxmpem0p0w1 rtroptp 3 uganda politics succession
bb4f5a1526c4b89dcc1eb526ac31c285d4655e2c0c49623e25c9108168054ec0
c1e5d188656450ee8ebb76d8530f98081afc2d63578fd2a6471dc7928fd8db99
00c83474af090eeb0c88be3dc51dedae8abd4c840568cf64b6cf5668796a6695
17563154305f3d254fa8dd2ff3783fc2b1a7e2e27bc7c5dc41c1907b218bf94f
096c21f53063102dc3836e6e4f0ddaac0ab4f0b004558d6f7c9d5a2672897006
d1dc13a1d3a2849b828c558649f3ae9a4764fb42a822333e80959f8ef47b73bc
07156fc89060a0fecf65caa028d83aa306273ef35544869640655559dd1c4e93
be47663d69a29db4407c0975e63cd34557bc347dd6cb733454754a8853b3e615
981062871b4fd97e1b072f9175ce7176ed274e90fe0609435d1db69594b35e67
2026 01 26t151928z 1 lynxmpem0p0w1 rtroptp 3 uganda politics succession
bb4f5a1526c4b89dcc1eb526ac31c285d4655e2c0c49623e25c9108168054ec0
c1e5d188656450ee8ebb76d8530f98081afc2d63578fd2a6471dc7928fd8db99
00c83474af090eeb0c88be3dc51dedae8abd4c840568cf64b6cf5668796a6695

Ulimwengu

164c6bac6fc2630299c0b135398bf6f88a8b0704c01295fedaceaaa85e45aabe

Russia, Ukraine zakabidhiana miili ya wanajeshi waliouwawa

Iran: Tunadhibiti maeneo yetu na Hormuz dhidi ya mashambulizi

“Ikiwa vita vitazuka, hakutakuwa na kurudi nyuma hata kwa milimita moja, na Iran itasonga mbele,” alisema kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC).

Rwanda yaishtaki Uingereza kwa kukiuka makubaliano ya mkataba wa uhamishaji wa wakimbizi

Rwanda imeishtaki Uingereza kwa kuvunja masharti ya mkataba katika ‘kipengele cha malipo ya kifedha’

Iran yamnyonga ‘shushushu’ wa Israel

Kulingana na shirika la habari la Fars, mtu huyo anatuhumiwa kutoa taarifa za siri kwa shirika la ujasusi la Mossad la nchini Israel.

Afrika

17563154305f3d254fa8dd2ff3783fc2b1a7e2e27bc7c5dc41c1907b218bf94f

Israel yamfukuza balozi wa Afrika Kusini Palestina

Serikali za Afrika zinaangazia mifumo ya fedha ya Kiislam baada ya mafanikio ya sukuk nchini Benin

Hatifungani za Sukuk za 2026 kufikia sasa ni zaidi ya dola milioni 580, kiwango kikubwa kikiwa ni cha nchini Benin cha dola milioni 500, kulingana na wataalamu.

Afrika Kusini yamfukuza mjumbe wa Israel kwa kumkashifu Rais Ramaphosa

Afrika Kusini imetangaza kuwa mjumbe wa Israel Ariel Seidman, ni mtu asiyekaribishwa nchini humo, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo siku ya Ijumaa.

Air Tanzania yazindua safari za Ghana

Katika tukio hilo, ndege ya Shirika la Ndege la Tanzania, ilitua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kotoka jijini Accra, na kukaribishwa na salamu ya maji, maarufu kama ‘Water Salute’.