Ulimwengu
Costa anakumbukwa zaidi kama nahodha wa kikosi cha Fc Porto chini ya kocha Jose Mourinho kilichotwaa ubingwa wa Ulaya mnamo 2004, Porto walipoifunga AS Monaco 3-0 kwenye fainali.
Mjumbe mkuu katika muungano wa Mshauri Mkuu wa Ujerumani Friedrich Mertz alisema jana Jumatatu kuwa Berlin inapaswa kuchunguza kuweka adhabu dhidi ya Israel, ikiwa ni pamoja na kusimamisha kwa sehemu mauzo ya silaha au kusimamisha mkataba wa kisiasa katika ngazi ya Umoja wa Ulaya.
Chanel 13 ya Israel inaibua mipango ya siri ya mkutano inayoonyesha Netanyahu alikataa mpango kamili wa kusimamisha vita na kuachiliwaa mateka, “kuongeza utenganisho wa kimataifa wa Israel.”
Afrika
Makamu huyo wa Kwanza wa Rais wa Sudan Kusini Riek Machar ameshtakiwa kwa mauaji, uhaini na uhalifu dhidi ya binadamu.
Tume Huru ya Uchaguzi ya Tanzania (INEC) imemuondoa Luhaga Mpina kama mgombea urais kufuatia pingamizi dhidi yake iliyotolewa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Tanzania, Hamza Johari.
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeanza mpango wa chanjo dhidi ya ugonjwa mpya wa Ebola, ambao umeua watu 28 nchini humo tangu mwishoni mwa Agosti.
Michezo