8 Agosti, 2025

Uganda yapiga marufuku vuvuzela na firimbi wakati wa michuano ya CHAN 2024

Polisi pia wamepiga marufuku mashabiki kuingia uwanjani na vitu kama nyundo, miamvuli, mifuko mikubwa kamera za video na chupa za chai.

63786ece4f5d69d428778def214451dd236fa452af7fe97c890dc2a09060f7b0

7 Agosti, 2025

Ni Angola au Kenya mechi ya pili kundi A CHAN 2024?

Paa weusi Angola leo wanaingia uwanjani kutafuta ushindi wao wa kwanza wakati watakapokabiliana na Harambee Stars ya Kenya katika uwanja wa Kasarani jijini Nairobi.

650fca90b2ef2b0ec659ce1e1c87b4167009ad165e745ed9d50a520a82c30264

5 Agosti, 2025

CHAN 2024: Wenyeji Tanzania waichabanga Burkina Faso katika mechi ya ufunguzi

Mwenyeji Tanzania wameanza kampeni yao ya CHAN kwa ushindi wa 2-0 dhidi ya Burkina Faso baada ya sherehe za ufunguzi.

9ba91ebb0129b08b30af0214f37b36f1d295a7dc71ef66907f70ec5d7febb247

5 Agosti, 2025

CAF yaweka bayana masharti muhimu ya kukusanya alama katika makundi CHAN 2024

Iwapo timu zitasalia kuwa sawa kwa magoli na alama (sare) utaratibu wa ‘Fair Play’ utatumika, kwa kutumia mfumo wa kukata pointi kulingana na makosa ya wachezaji na kadi walizokula

68bd94e172d310507157b9b49ba8f676c54032fcd9186fc9f4c0e7707026f663

4 Agosti, 2025

CHAN: Rais WIlliam Ruto aahidi wachezaji wa timu ya taifa jumla ya hadi shilingi milioni 600

Rais wa Kenya William Ruto amewaahidi wachezaji wa timu ya taifa Harambee Stars mamilioni ya pesa kila mmoja kwa kila mechi watakayoshinda.

1f18660874685dee68f625b7bf28e11cfad8872a1513b55a48ccc50df115853c

3 Agosti, 2025

CHAN 2024: Kenya na DRC kumenyana leo uwanja wa Kasarani

Kenya kuonja utamu wa CHAN kwa mara ya kwanza kabisa inapokutana na washindi mara mbili DRC jijini Nairobi

cc66649d8ea8328592eccc78f3c14dba59cf4c2f3163776596c768dc69c82784

27 Julai, 2025

WAFCON 2024: Nigeria watawazwa malkia wa soka barani Afrika baada ya kuwashinda wenyeji Morocco

Nigeria imeshinda Morocco 3-2 ili kushinda taji la 10 la WAFCON.

7bb1e79baa9db87f514a8f6e12c6b0367ccb7bdfcdf6cb6bd7e04e4d5021a8e6

26 Julai, 2025

Hati fungani kwa ajili ya ujenzi wa uwanja Kenya

Ujenzi wa uwanja wa Talanta unatarajiwa kuimarika baada ya hafla ya kupiga kengele rasmi na Rais William Ruto katika Soko la Hisa la Nairobi.

890c6363bcf75635a11bb7fa12492f66997ce0d2068b97e973ad828f5152449e

26 Julai, 2025

Hati fungani kwa ajili ya ujenzi wa uwanja Kenya

Ujenzi wa uwanja wa Talanta unatarajiwa kuimarika baada ya hafla ya kupiga kengele rasmi na Rais William Ruto katika Soko la Hisa la Nairobi.

890c6363bcf75635a11bb7fa12492f66997ce0d2068b97e973ad828f5152449e 1

30 Mei, 2025

Fainali ya Klabu bingwa Ulaya nani kuibuka kidedea?

Uwanja wa Bayern Munich Allianz Arena ndiyo itakuwa sehemu ya maamuzi ya fainali ya klabu bingwa barani Ulaya wakati PSG ya Ufaransa itakapokabiliana na Inter Milan ya Italia.

1748594364435 5z8ow 7c04f4423037fc1a80128e204fbec141eef575ce79a8890f5b26d5603d581c4a
Loading...