Morocco yaipiga Madagascar na kushinda taji la tatu la CHAN

Matokeo hayo yanasalia kuwa mwaka mzuri kwa soka la Morocco, baada ya vikosi vyao vya vijana kushinda Kombe la Mataifa ya Afrika la Chini ya Miaka 17 na kufika fainali ya mashindano ya Chini ya Miaka 20.
31 Agosti, 2025
Malkia wa Kenya wapata ushindi dhidi ya Vietnam kwenye voliboli

Timu ya Kenya ya voliboli imeshangaza Poland na Vietnam katika mashindano ya Kombe la Dunia la mchezo huo. Kenya ilionesha umahiri wake na kuwaduwaza zaidi Vietnam.
28 Agosti, 2025
Kadi ya michezo ghali zaidi duniani: Jordan-Bryant yauzwa kwa $12.9M

Kadi ya saini mbili, za Jordan na Kobe inakuwa kadi ya michezo inayouzwa gharama kubwa zaidi duniani.
25 Agosti, 2025
Kenya yatozwa faini kubwa ya dola 50,000 kwa kutotimiza vigezo vya usalama katika mechi na Morocco

Kenya na Morocco wote wamepewa onyo kali huku Morocco pia ikitozwa hadi dola 5000 kwa utovu wa nidhamu wa wachezaji wake.
17 Agosti, 2025

Waziri Mkuu wa Sudan anasherehekea timu ya taifa kuiondoa Nigeria yenye hadhi ya juu kutoka CHAN

CHAN 2024: Nigeria warudishwa numbani, sura zimewashuka

Uganda wakwea juu ya Kundi C kwa kuiadhibu Niger ndani ya uwanja wa Nelson Mandela

Kikosi cha watu kumi, Kenya chaipa Morocco mshtuko wa 1-0 katika pambano la makundi – CHAN 2024

Kocha wa Senegal atahadharisha juu ya ‘mtego wa Kundi D’ watakapopambana na DRC kisiwani Zanzibar
8 Agosti, 2025
Uganda yapiga marufuku vuvuzela na firimbi wakati wa michuano ya CHAN 2024
Polisi pia wamepiga marufuku mashabiki kuingia uwanjani na vitu kama nyundo, miamvuli, mifuko mikubwa kamera za video na chupa za chai.

7 Agosti, 2025
Ni Angola au Kenya mechi ya pili kundi A CHAN 2024?
Paa weusi Angola leo wanaingia uwanjani kutafuta ushindi wao wa kwanza wakati watakapokabiliana na Harambee Stars ya Kenya katika uwanja wa Kasarani jijini Nairobi.

5 Agosti, 2025
CHAN 2024: Wenyeji Tanzania waichabanga Burkina Faso katika mechi ya ufunguzi
Mwenyeji Tanzania wameanza kampeni yao ya CHAN kwa ushindi wa 2-0 dhidi ya Burkina Faso baada ya sherehe za ufunguzi.

5 Agosti, 2025
CAF yaweka bayana masharti muhimu ya kukusanya alama katika makundi CHAN 2024
Iwapo timu zitasalia kuwa sawa kwa magoli na alama (sare) utaratibu wa ‘Fair Play’ utatumika, kwa kutumia mfumo wa kukata pointi kulingana na makosa ya wachezaji na kadi walizokula

4 Agosti, 2025
CHAN: Rais WIlliam Ruto aahidi wachezaji wa timu ya taifa jumla ya hadi shilingi milioni 600
Rais wa Kenya William Ruto amewaahidi wachezaji wa timu ya taifa Harambee Stars mamilioni ya pesa kila mmoja kwa kila mechi watakayoshinda.

3 Agosti, 2025
CHAN 2024: Kenya na DRC kumenyana leo uwanja wa Kasarani
Kenya kuonja utamu wa CHAN kwa mara ya kwanza kabisa inapokutana na washindi mara mbili DRC jijini Nairobi

27 Julai, 2025
WAFCON 2024: Nigeria watawazwa malkia wa soka barani Afrika baada ya kuwashinda wenyeji Morocco
Nigeria imeshinda Morocco 3-2 ili kushinda taji la 10 la WAFCON.

26 Julai, 2025
Hati fungani kwa ajili ya ujenzi wa uwanja Kenya
Ujenzi wa uwanja wa Talanta unatarajiwa kuimarika baada ya hafla ya kupiga kengele rasmi na Rais William Ruto katika Soko la Hisa la Nairobi.

26 Julai, 2025
Hati fungani kwa ajili ya ujenzi wa uwanja Kenya
Ujenzi wa uwanja wa Talanta unatarajiwa kuimarika baada ya hafla ya kupiga kengele rasmi na Rais William Ruto katika Soko la Hisa la Nairobi.

30 Mei, 2025
Fainali ya Klabu bingwa Ulaya nani kuibuka kidedea?
Uwanja wa Bayern Munich Allianz Arena ndiyo itakuwa sehemu ya maamuzi ya fainali ya klabu bingwa barani Ulaya wakati PSG ya Ufaransa itakapokabiliana na Inter Milan ya Italia.



