Wenyeji Morocco waichapa Comoro 2-0 na kuanza kufukuzia taji lao la AFCON kwa kishindo

Wenyeji Morocco walishinda Comoro 2-0 katika mechi yao ya ufunguzi ya AFCON 2025 iliyochezwa kwenye Uwanja wa Prince Moulay Abdellah katika mji mkuu Rabat Jumapili.
22 Desemba, 2025
Kombe la Mataifa ya Afrika Afcon, litafanyika kila baada ya miaka minne kuanzia 2028

Rais wa Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) alisema mabadiliko hayo ni sehemu ya marekebisho muhimu ili kupatana vyema na michuano hiyo katika kalenda ya kimataifa iliyojaa.
21 Desemba, 2025
Kocha wa Zambia Moses Sichone hatoshelezi kanuni za CAF

Maafisa wa Zambia wanatarajia kutatua tatizo hilo kwa kubadilisha cheo cha kocha mkuu na kuwa kocha msaidizi anapokidhi masharti ya kustahiki nafasi hiyo.
20 Desemba, 2025
Morocco ina jukumu kubwa wakati ikibeba matarajio ya uwenyeji AFCON 2025

Kuwa mwenyeji wa mashindano kunawapa Morocco hamasa na nafasi nzuri, lakini pia kunaibua kumbukumbu za kushindwa kufanikiwa hapo awali na wamekuwa na hamu ya muda mrefu ya kupata ushindi.
18 Desemba, 2025

Wakenya washinda mbio za marathon za wanaume na wanawake mjini Valencia

Afcon 2025: Andre Onana hayuko kwenye kikosi cha Cameroon, kocha atimuliwa

Hakimi, Salah na Osimhen nani mkali wao? CAF yateua watakaoshindania mchezaji bora Afrika

Nigeria yafungiwa nje ya Kombe la Dunia 2026 kufuatia kushindwa na DRC

Wanariadha wa Kenya washinda mbio za marathon za New York kwa wanaume na wanawake
28 Oktoba, 2025
Nairobi United ya Kenya hatua ya makundi CAF
Timu ya Kenya ya Nairobi United imeweka historia kwa kufuzu kwa hatua ya makundi ya michuano ya shirikisho CAF barani Afrika. Nairobi United iliwashinda wababe wa Tunisia Etoile Sportive du Sahel kwa penati 7-6.

20 Oktoba, 2025
Liverpool ina matatizo gani na Arne Slot anaweza kutatua mambo?
Wasiwasi umejiri kuhusu meneja wa Liverpool Arne Slot baada ya kufungwa nyumbani na Manchester United, ikiwa wapoteza mechi ya nne mfululizo katika mashindano yote.

20 Oktoba, 2025
Morocco yaitwanga Argentina na kutwaa ubingwa wa Dunia kwa U-20
Yassir Zabiri afunga mara mbili huku Atlas Cubs ikitwaa ushindi wa kihistoria wa 2-0 nchini Chile

17 Oktoba, 2025
Ligi Kuu ya England (EPL) kurindima tena baada ya mapumziko
Ligi Kuu ya England inarejea tena wikiendi hii baada ya mapumziko kwa ajili ya kucheza mechi za kimataifa.

16 Oktoba, 2025
Nini Nigeria ifanye kufuzu Kombe la Dunia 2026?
Kufikia sasa timu tisa kutoka bara la Afrika zimethibitishwa kwa Kombe la Dunia 2026. Cote d’Ivoire na Senegal zimekuwa timu za mwisho kukamilisha idadi hiyo.

12 Oktoba, 2025
Ndege ya timu ya soka ya Nigeria iliyokuwa inaelekea nyumbani yalazimika kutua kwa dharura
Ndege iliyobeba timu ya Nigeria kutoka Afrika Kusini kuelekea Uyo kwa mechi yao ya mwisho ya kufuzu kwa Kombe la Dunia ililazimika kutua kwa dharura nchini Angola siku ya Jumamosi.

9 Oktoba, 2025
Algeria yafuzu kwa Kombe la Dunia 2026
Algeria imefuzu kwa Kombe la Dunia siku ya Alhamisi, ikiwa ni timu ya nne kutoka Afrika kupata nafasi hiyo kwa mashindano yatakayofanyika Marekani Kaskazini mwakani, baada ya kuwafunga Somalia 3-0.

15 Septemba, 2025
Mkenya Peres Jepchirchir ampiku Tigst Assefa wa Ethiopia kupata dhahabu katika mbio za marathon
Mwanariadha wa Kenya Peres Jepchirchir alishinda mbio za marathon za wanawake katika mashindano ya dunia siku ya Jumapili.

7 Septemba, 2025
Omar Artan aweka historia ya kuwa mwamuzi wa kwanza wa Somalia kuchezesha Kombe la Dunia la FIFA
Waamuzi watatu wakuu wamechaguliwa kutoka Afrika kwa ajili ya mashindano hayo huku Artan akiungana na Jalal Jayed wa Morocco na Youcef Gamouh wa Algeria.

6 Septemba, 2025
Morocco iliishinda Niger na kuwa timu ya kwanza ya Afrika kufuzu kwa Kombe la Dunia la 2026
Nigeria wanatazamiwa kucheza mchezo wao Jumamosi dhidi ya Rwanda huku mechi za kufuzu kwa Kombe la Dunia zikiendelea.



