Virgil van Dijk aongeza mkataba Liverpool hadi 2027

‘Nina furaha sana, najisikia fahari,’ alisema mchezaji huyo raia wa Uholanzi mwenye umri wa miaka 33
21 Aprili, 2025
Onana kurejea golini katika mechi ya Man Utd dhidi ya Lyon – Amorim

Onana alifanya makosa mawili katika mechi ya robo fainali ya kwanza nchini Ufaransa ambapo walitoka sare ya 2-2.
16 Aprili, 2025
Real Madrid itafanikiwa kupindua meza Ulaya?

Real Madrid ya Hispania itakuwa ina nafasi ya kujiuliza mbele ya Arsenal ya Uingereza, katika ‘Usiku wa Ulaya’, baada ya kubugizwa mabao 3-0 na vijana wa Mikel Arteta kwenye mchezo wao wa kwanza wa hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.
16 Aprili, 2025
Nyota wa Real Madrid Luka Modric ajiunga na Swansea FC kama mmiliki mwenza

Modrić ndiye mchezaji aliyeichezea timu yake ya taifa ya Croatia mara nyingi zaidi, ana umri wa miaka 39, na msimu huu pekee amecheza mechi 45 akiwa na Real Madrid, na kufunga magoli manne.
15 Aprili, 2025
Loading...

