24 Mei, 2025

Nyota wa Misri Mohamed Salah amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Ligi Kuu ya England

Mohamed Salah anakuwa mchezaji wa tano kushinda mara mbili baada ya Thierry Henry, Cristiano Ronaldo, Nemanja Vidic na Kevin De Bruyne.

fab 1 2 3 4 5 6 7 8

22 Mei, 2025

Luka Modric kuachana na Real Madrid baada ya fainali za Kombe la Dunia kwa upande wa klabu

Mcroatia huyo ameichezea Real Madrid jumla ya mechi 600 toka alipojiunga nao mwaka 2012, akitokea Tottenham ya Uingereza.

luka 20modric 1 2 3

22 Mei, 2025

Wachezaji wa Tottenham wakosa medali baada ya ushindi wao wa Ligi ya Europa

Rais wa shirikisho la soka barani Ulaya UEFA Aleksander Čeferin alionekana kushangazwa wakati medali zilipoisha kabla wachezaji wote wa Tottenham kupata baada ya ushindi wao wa 1-0 dhidi ya Manchester United.

hotspu

19 Mei, 2025

Galatasaray yaweka historia kwa kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu ya Uturuki mara ya 25

Galatasaray sasa wataongeza nyota tano kwenye jezi zao, kila nyota moja inawakilisha mataji matano.

osimhen

15 Mei, 2025

Osimhen avunja rekodi Uturuki huku Galatasaray ikichukua ubingwa wa kombe la nchi hiyo

Mabao mawili ya mchezaji wa Nigeria Victor Osimhen katika kipindi cha pili yalimpa jumla ya magoli zaidi ya 34 ambayo ndiyo iliyokuwa rekodi iliyowekwa na mchezaji wa zamani wa Galatasaray Mario Jardel katika msimu wa 2000/01.

1747292911504 k7ksd aa 37954279

9 Mei, 2025

Mchezaji wa Misri Salah ashinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka England

Mohamed Salah amepata tuzo hiyo baada ya kufunga mabao 28 na kutoa ‘assists’ 18 kwa timu yake ya Liverpool katika Ligi Kuu ya England msimu huu.

mo 20salah scaled

7 Mei, 2025

Inzaghi ajivunia kuzicharaza timu mbili bora Ulaya kabla ya kufika fainali

Katika robo fainali, Inter waliwatupa nje Bayern Munich ya Ujerumani, kabla ya kuwazidi Barcelona kwenye nusu fainali.

italy soccer champions league 28202

27 Aprili, 2025

Mkenya Sabastian Sawe ashinda dhahabu London Marathon huku Kipchoge akimaliza wa 6

Mwanariadha wa Kenya Sabastian Sawe ameshinda mbio za marathon za London kwa wanaume kwa muda wa saa 2 dakika 02 na sekunde 27 siku ya Jumapili, huku mwenzake Eliud Kipchoge akiibuka wa sita.

fab 1 2 3

25 Aprili, 2025

Liverpool ‘kufunga kazi’ Jumapili?

Liverpool imebakisha mechi tano katika Ligi Kuu ya England msimu huu lakini inahitaji alama moja pekee kuchukua ubingwa.

liverpool 20reuters

23 Aprili, 2025

Mchezaji wa soka Afrika Kusini afariki kabla ya mechi yao ya ligi

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22 alipelekwa hospitali kabla ya mechi na mchezo ukasimamisha baada ya kipindi cha kwanza walipopewa taarifa kuwa amefariki.

zondi
Loading...