Ndege ya timu ya soka ya Nigeria iliyokuwa inaelekea nyumbani yalazimika kutua kwa dharura

Ndege iliyobeba timu ya Nigeria kutoka Afrika Kusini kuelekea Uyo kwa mechi yao ya mwisho ya kufuzu kwa Kombe la Dunia ililazimika kutua kwa dharura nchini Angola siku ya Jumamosi.
12 Oktoba, 2025
Algeria yafuzu kwa Kombe la Dunia 2026

Algeria imefuzu kwa Kombe la Dunia siku ya Alhamisi, ikiwa ni timu ya nne kutoka Afrika kupata nafasi hiyo kwa mashindano yatakayofanyika Marekani Kaskazini mwakani, baada ya kuwafunga Somalia 3-0.
9 Oktoba, 2025
Mkenya Peres Jepchirchir ampiku Tigst Assefa wa Ethiopia kupata dhahabu katika mbio za marathon

Mwanariadha wa Kenya Peres Jepchirchir alishinda mbio za marathon za wanawake katika mashindano ya dunia siku ya Jumapili.
15 Septemba, 2025
Omar Artan aweka historia ya kuwa mwamuzi wa kwanza wa Somalia kuchezesha Kombe la Dunia la FIFA

Waamuzi watatu wakuu wamechaguliwa kutoka Afrika kwa ajili ya mashindano hayo huku Artan akiungana na Jalal Jayed wa Morocco na Youcef Gamouh wa Algeria.
7 Septemba, 2025

Morocco iliishinda Niger na kuwa timu ya kwanza ya Afrika kufuzu kwa Kombe la Dunia la 2026

Kipa Mbrazil Ederson ajiunga na Fenerbahce ya Uturuki akitokea Manchester City

Morocco yaipiga Madagascar na kushinda taji la tatu la CHAN

Malkia wa Kenya wapata ushindi dhidi ya Vietnam kwenye voliboli

Kadi ya michezo ghali zaidi duniani: Jordan-Bryant yauzwa kwa $12.9M
17 Agosti, 2025
Kenya yatozwa faini kubwa ya dola 50,000 kwa kutotimiza vigezo vya usalama katika mechi na Morocco
Kenya na Morocco wote wamepewa onyo kali huku Morocco pia ikitozwa hadi dola 5000 kwa utovu wa nidhamu wa wachezaji wake.

17 Agosti, 2025
Waziri Mkuu wa Sudan anasherehekea timu ya taifa kuiondoa Nigeria yenye hadhi ya juu kutoka CHAN
Timu ya Nigeria imekwisha kimahesabu kwenye mashindano ya CHAN , ikiwa chini ya jedwali bila hata pointi moja na kusalia na mechi moja pekee.

16 Agosti, 2025
CHAN 2024: Nigeria warudishwa numbani, sura zimewashuka
Kichapo cha 4-0 kutoka kwa Sudan sio kitu Super Eagles walitarajia lakini sasa hawatosahau maisha

14 Agosti, 2025
Uganda wakwea juu ya Kundi C kwa kuiadhibu Niger ndani ya uwanja wa Nelson Mandela
Huku wakiwa wameshinda mara mbili na kutofungwa tangu kushindwa kwao siku ya kwanza na Algeria, Uganda wameongeza kasi kwa wakati muafaka.

13 Agosti, 2025
Kikosi cha watu kumi, Kenya chaipa Morocco mshtuko wa 1-0 katika pambano la makundi – CHAN 2024
Kenya, ambao wamecheza mechi tatu bila kupoteza, sasa wanaongoza Kundi A wakiwa na alama saba.

12 Agosti, 2025
Kocha wa Senegal atahadharisha juu ya ‘mtego wa Kundi D’ watakapopambana na DRC kisiwani Zanzibar
Huku pande zote mbili zikicheza mechi yao ya nne ya CHAN na Nigeria na Sudan zikisubiri katika mbawa, mkutano huu wa kwanza kabisa kati ya Senegal na Congo unaahidi kuchagiza hatima ya kundi hilo.

8 Agosti, 2025
Uganda yapiga marufuku vuvuzela na firimbi wakati wa michuano ya CHAN 2024
Polisi pia wamepiga marufuku mashabiki kuingia uwanjani na vitu kama nyundo, miamvuli, mifuko mikubwa kamera za video na chupa za chai.

7 Agosti, 2025
Ni Angola au Kenya mechi ya pili kundi A CHAN 2024?
Paa weusi Angola leo wanaingia uwanjani kutafuta ushindi wao wa kwanza wakati watakapokabiliana na Harambee Stars ya Kenya katika uwanja wa Kasarani jijini Nairobi.

5 Agosti, 2025
CHAN 2024: Wenyeji Tanzania waichabanga Burkina Faso katika mechi ya ufunguzi
Mwenyeji Tanzania wameanza kampeni yao ya CHAN kwa ushindi wa 2-0 dhidi ya Burkina Faso baada ya sherehe za ufunguzi.

5 Agosti, 2025
CAF yaweka bayana masharti muhimu ya kukusanya alama katika makundi CHAN 2024
Iwapo timu zitasalia kuwa sawa kwa magoli na alama (sare) utaratibu wa ‘Fair Play’ utatumika, kwa kutumia mfumo wa kukata pointi kulingana na makosa ya wachezaji na kadi walizokula


