18 Desemba, 2025

Morocco ina jukumu kubwa wakati ikibeba matarajio ya uwenyeji AFCON 2025

Kuwa mwenyeji wa mashindano kunawapa Morocco hamasa na nafasi nzuri, lakini pia kunaibua kumbukumbu za kushindwa kufanikiwa hapo awali na wamekuwa na hamu ya muda mrefu ya kupata ushindi.

743886b01a37e48b64b55ec99ae1b834f7c579872575dc13f782ea25a62c364f

7 Desemba, 2025

Wakenya washinda mbio za marathon za wanaume na wanawake mjini Valencia

Wakenya John Korir na Joyciline Jepkosgei wote walijiweka bora zaidi waliposhinda mbio za marathoni za Valencia za wanaume na wanawake siku ya Jumapili.

2025 12 07t103151z 1592805787 up1elc70t913b rtrmadp 3 athletics valencia main

2 Desemba, 2025

Afcon 2025: Andre Onana hayuko kwenye kikosi cha Cameroon, kocha atimuliwa

Andre Onana, ambaye yuko katika timu ya Trabzonspor kwa mkopo kutoka Manchester United, hakutajwa miongoni mwa makipa wanne katika kikosi cha wachezaji 28.

42c11bb470afbbe159e2690c090800608a7942ccd7f9f12087981e6016e1ebd4

17 Novemba, 2025

Hakimi, Salah na Osimhen nani mkali wao? CAF yateua watakaoshindania mchezaji bora Afrika

Mshindi atatangazwa Novemba 19 mjini Rabat Morocco, ikiwa ni pamoa na washindi wengine wa vitengo tofauti

8bab8dca668cffa98e959fc83456fd81097b8248bb4200751d35673646b04abf

17 Novemba, 2025

Nigeria yafungiwa nje ya Kombe la Dunia 2026 kufuatia kushindwa na DRC

JJamhuri ya Kidemokrasia ya Congo iliweka hai matumaini ya kufuzu Kombe la Dunia ilipoilaza Nigeria 4-3 kupitia mikwaju ya penalti baada ya sare ya 1-1 mwishoni mwa muda wa nyongeza na kushinda mechi ya kufuzu nchini Morocco Jumapili.

2025 11 16t212149z 152736698 up1elbg1ncagr rtrmadp 3 soccer worldcup nga cod main

3 Novemba, 2025

Wanariadha wa Kenya washinda mbio za marathon za New York kwa wanaume na wanawake

Kenya iliwakilisha vyema kwa mbio za Marathon za New York Jumapili, wakati Benson Kipruto alipomaliza kwa muda wa saa mbili dakika nane na sekunde tisa kwa wanaume huku Hellen Obiri akiweka rekodi ya New York kwa wanawake katika muda wa 2:19:51.

f4328ba8b0f7149896183e8f2ea9ae35de6315ee1978959eff55e16f3ba1a5a8

28 Oktoba, 2025

Nairobi United ya Kenya hatua ya makundi CAF

Timu ya Kenya ya Nairobi United imeweka historia kwa kufuzu kwa hatua ya makundi ya michuano ya shirikisho CAF barani Afrika. Nairobi United iliwashinda wababe wa Tunisia Etoile Sportive du Sahel kwa penati 7-6.

0df3d724093beafe6ac22af16e977b707389e2fe27332e52c234e5db900cffe9

20 Oktoba, 2025

Liverpool ina matatizo gani na Arne Slot anaweza kutatua mambo?

Wasiwasi umejiri kuhusu meneja wa Liverpool Arne Slot baada ya kufungwa nyumbani na Manchester United, ikiwa wapoteza mechi ya nne mfululizo katika mashindano yote.

222b03d82def542ce7149f9cbcd9171540989ec34747a372e62a96731599a7fe

20 Oktoba, 2025

Morocco yaitwanga Argentina na kutwaa ubingwa wa Dunia kwa U-20

Yassir Zabiri afunga mara mbili huku Atlas Cubs ikitwaa ushindi wa kihistoria wa 2-0 nchini Chile

2025 10 20t022501z 1225901045 up1elak06pn9i rtrmadp 3 soccer worldcupu 20 arg mrc report

17 Oktoba, 2025

Ligi Kuu ya England (EPL) kurindima tena baada ya mapumziko

Ligi Kuu ya England inarejea tena wikiendi hii baada ya mapumziko kwa ajili ya kucheza mechi za kimataifa.

2185b9c323a8bda43dfee46c2b7673a6fd72911b89ae19bd64cb54781465da16
Loading...