9 Mei, 2025

Mchezaji wa Misri Salah ashinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka England

Mohamed Salah amepata tuzo hiyo baada ya kufunga mabao 28 na kutoa ‘assists’ 18 kwa timu yake ya Liverpool katika Ligi Kuu ya England msimu huu.

mo 20salah scaled

7 Mei, 2025

Inzaghi ajivunia kuzicharaza timu mbili bora Ulaya kabla ya kufika fainali

Katika robo fainali, Inter waliwatupa nje Bayern Munich ya Ujerumani, kabla ya kuwazidi Barcelona kwenye nusu fainali.

italy soccer champions league 28202

27 Aprili, 2025

Mkenya Sabastian Sawe ashinda dhahabu London Marathon huku Kipchoge akimaliza wa 6

Mwanariadha wa Kenya Sabastian Sawe ameshinda mbio za marathon za London kwa wanaume kwa muda wa saa 2 dakika 02 na sekunde 27 siku ya Jumapili, huku mwenzake Eliud Kipchoge akiibuka wa sita.

fab 1 2 3

25 Aprili, 2025

Liverpool ‘kufunga kazi’ Jumapili?

Liverpool imebakisha mechi tano katika Ligi Kuu ya England msimu huu lakini inahitaji alama moja pekee kuchukua ubingwa.

liverpool 20reuters

23 Aprili, 2025

Mchezaji wa soka Afrika Kusini afariki kabla ya mechi yao ya ligi

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22 alipelekwa hospitali kabla ya mechi na mchezo ukasimamisha baada ya kipindi cha kwanza walipopewa taarifa kuwa amefariki.

zondi

21 Aprili, 2025

Mkenya John Korir ashinda mbio za Boston, Mtanzania ni wa pili

Kwa ushindi huu wa Jumatatu, Korir amefanya kama alivyofanya kaka yake, Wesley Korir, aliyeshinda marathon ya Boston mwaka 2012.

korir 20boston

21 Aprili, 2025

Virgil van Dijk aongeza mkataba Liverpool hadi 2027

‘Nina furaha sana, najisikia fahari,’ alisema mchezaji huyo raia wa Uholanzi mwenye umri wa miaka 33

van 20dijk 20 scaled

16 Aprili, 2025

Onana kurejea golini katika mechi ya Man Utd dhidi ya Lyon – Amorim

Onana alifanya makosa mawili katika mechi ya robo fainali ya kwanza nchini Ufaransa ambapo walitoka sare ya 2-2.

onana

16 Aprili, 2025

Real Madrid itafanikiwa kupindua meza Ulaya?

Real Madrid ya Hispania itakuwa ina nafasi ya kujiuliza mbele ya Arsenal ya Uingereza, katika ‘Usiku wa Ulaya’, baada ya kubugizwa mabao 3-0 na vijana wa Mikel Arteta kwenye mchezo wao wa kwanza wa hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.

real 20madrid 20training 20 1 scaled

15 Aprili, 2025

Nyota wa Real Madrid Luka Modric ajiunga na Swansea FC kama mmiliki mwenza

Modrić ndiye mchezaji aliyeichezea timu yake ya taifa ya Croatia mara nyingi zaidi, ana umri wa miaka 39, na msimu huu pekee amecheza mechi 45 akiwa na Real Madrid, na kufunga magoli manne.

luka 20modric
Loading...