28 Februari, 2026

AU Yaonya Kuongezeka kwa Mvutano Kufuatia Mashambulizi ya Marekani na Israel kwa Iran

Umoja wa Afrika umeonya kuwa mashambulizi dhidi ya Iran yanaweza kuongeza mivutano ya kimataifa na kuathiri utulivu wa kikanda.

28 Februari, 2026

Jamhuri ya Congo Yaingia Kipindi cha Kampeni za Urais

Wagombea urais wameanza rasmi kampeni zao wakieleza sera na mipango yao kwa wapiga kura kabla ya uchaguzi mkuu.

9230924ba93b8a95c7f0942e12a2b9ad10c82a03242aea8de52a6053ca742764

27 Februari, 2026

Raia wa Burundi Warejea Nyumbani Baada ya Kuishi Ukimbizini Tanzania

Wakimbizi wa Burundi wanaoishi Tanzania wameanza safari ya kurudi nyumbani chini ya mpango wa kurejea kwa hiari, wakitarajia kujenga maisha mapya nchini mwao.

110294936 04483dd3 e725 414f ace8 d5299d2bbb65

27 Februari, 2026

Mkataba wa Afya wa Marekani na Burkina Faso Wazua Hoja Kali

Makubaliano mapya ya afya kati ya Burkina Faso na Marekani yameibua mjadala mkali kuhusu athari za kisera na ushawishi wa kimataifa katika sekta ya afya.

76999420 1f70 11f0 b265 abe347419ae3.jpg

26 Februari, 2026

Ziara ya Papa Leo XIV Afrika Yajumuisha Nchi Nne

Papa Leo XIV anajiandaa kuzuru Cameroon, Angola, Algeria na Guinea ya Ikweta kwa ajili ya ujumbe wa kiroho na ushirikiano wa kimataifa.

cq5dam.thumbnail.cropped.1500.844

26 Februari, 2026

Afrika Kusini Yagundua Wafanyakazi Hewa 4,000 Katika Malipo ya Serikali

Tathmini ya mfumo wa mishahara imeibua maelfu ya majina hewa, huku serikali ikianza hatua za kupunguza matumizi na kuzuia udanganyifu.

66

25 Februari, 2026

Tunji Disu Ateuliwa Kaimu Inspekta Jenerali wa Polisi Nigeria

Baada ya kustaafu kwa Inspekta Jenerali wa awali, Tunji Disu ameteuliwa kuwa Kaimu Inspekta Jenerali wa Polisi nchini Nigeria, akitarajiwa kuendeleza jitihada za usalama wa taifa.

46

25 Februari, 2026

Tahadhari ya Dengue yatolewa Tanzania baada ya mvua kubwa

Mamlaka za afya zawaonya wananchi kuchukua hatua za kujikinga dhidi ya mbu wanaosababisha homa ya dengue kufuatia kuongezeka kwa mvua.

40 1

24 Februari, 2026

Kiongozi wa karteli Mexico auaawa, askari 25 wauawa katika mapigano

Kiongozi wa karteli ya dawa za kulevya ameuawa huku wanajeshi na maafisa wa usalama 25 wakipoteza maisha katika operesheni kali ya kijeshi nchini Mexico.

35

24 Februari, 2026

Benki ya Dunia yapanga kutoa dola bilioni 6 kwa Msumbiji

Fedha hizo zitalenga kusaidia miradi ya uwekezaji wa umma huku nchi hiyo ikikabiliwa na changamoto za madeni na hali dhaifu ya kifedha.

35 1
Loading...