Rais wa Marekani Donald Trump ameionya Iran kufungua njia ya Strait of Hormuz ndani ya saa 48, akitishia kushambulia miundombinu ya nishati iwapo haitafanya hivyo.
Onyo hilo linakuja wakati mashambulizi kati ya Iran na Israel yakiendelea kushika kasi. Iran imeonya kuwa itajibu kwa nguvu zaidi, ikisema kuwa miundombinu ya eneo hilo inaweza kushambuliwa endapo Marekani itaingilia kati.
Kwa mujibu wa Fatih Birol wa International Energy Agency, mgogoro huu unaweza kuathiri nchi zote duniani kutokana na utegemezi wa mafuta.
CHANZO: Newstimetr














