Burkina Faso yapitisha sheria ya kuzuia mapenzi ya jinsia moja

Serikali ya Burkina Faso Jumatatu ilipitisha kwa kauli moja sheria inayozuia mapenzi ya jinsia moja kama sehemu ya mageuzi makubwa ya sheria za familia na uraia.

Newstimehub

Newstimehub

2 Septemba, 2025

98f990ddd78d42a0430c72c8df69c02766be01ee589856c24a10ffcec0311f3e

Sheria hii mpya, inalingana na kampeni ya kuzuia mapenzi ya jinsia moja, inatoa adhabu ya kifungo cha hadi miaka mitano gerezani.

Mapenzi ya jinsia moto ni kinyume na sheria katika takriban nchi 30 za Afrika, kabla ya Burkina Faso kuchukua hatua hiyo.