Watu 13 wauawa katika shambulio lingine la kigaidi kaskazini mwa Nigeria

Walishambulia sehemu moja iliyokuwa na shughuli nyingi sokoni, kusababisha taharuki miongoni mwa wafanyabiashara, wakazi, anasema afisa mmoja
7 Februari, 2026
Maelfu ya Walibya wajitokeza kumzika mtoto wa Gaddafi

Maelfu ya Walibya walijitokeza kwa ajili ya mazishi ya mtoto wa Gaddafi ambaye alipigwa risasi na kuuawa wiki hii.
6 Februari, 2026
AU: Shambulizi la M23 kwenye uwanja wa ndege ni ‘tukio la kigaidi’

Tume ya Umoja wa Afrika imeliita shambulio la hivi karibuni katika uwanja mmoja wa ndege nchini DRC , kama “tukio la kigaidi”.
6 Februari, 2026
Rais wa Congo kuwania tena urais baada ya kuiongoza nchi hiyo kwa zaidi ya miaka 40

Sheria ya nchi hiyo inamruhusu kuwania muhula mpya kufuatia mageuzi ya kikatiba mwaka 2015.
5 Februari, 2026

CCM yaadhimisha miaka 49 tangu kuanzishwa

Maseneta wa Marekani waonesha wasiwasi kuhusu migogoro ya DRC huku kukiwa na hatari ya njaa

Tanzania: Chama cha ACT-Wazalendo chalaani uchomwaji wa nyaraka za Uchaguzi wa Zanzibar

Morocco kuikatia rufaa adhabu waliyopewa Senegal

Vifo 4 kati ya 10 vya Saratani barani Afrika vinaweza kuzuiwa kutokana na ugunduzi wa mapema: WHO
3 Februari, 2026
Saif al-Islam Gaddafi, mtota wa aliyekuwa rais wa Libya, ameripotiwa kuuawa
Hakuna maelezo zaidi kuhusu kifo cha Gaddafi hadi sasa.

3 Februari, 2026
Ethiopia yakanusha madai ya Trump kuwa Marekani ilifadhili bwawa lake kubwa
Waziri Mkuu wa Ethiopia amepinga madai ya Rais wa Marekani Donald Trump, akisema kuwa hakuna mikopo wala msaada wa kifedha wa kigeni uliopokelewa kwa ajili ya ujenzi wa bwawa hilo.

3 Februari, 2026
Urusi yaishutumu Ufaransa kupanga njama za kuwaondoa Traore, Goita, na viongozi wengine wa Afrika
Idara ya Ujasusi ya Urusi (SVR) imedai kuwa utawala wa Ufaransa unajaribu kurejea kisiasa barani Afrika baada ya kupata “hasara”.

3 Februari, 2026
Ujumbe wa UN kuwasili DRC kusaidia jitihada za kusitisha mapigano
Uamuzi huo unakuja siku moja baada ya kikao kilichofanyika Doha, kilichohusisha wawakilishi wa kikosi cha waasi cha M23 na wajumbe kutoka DRC.

3 Februari, 2026
Msumbiji yazindua mtambo wa kuchakata madini ya Grafiti
Kwa sasa, Msumbiji ndiyo kinara wa uzalishaji wa madini hayo, ikifuatiwa na Madagascar na Tanzania.

3 Februari, 2026
Ethiopia yakana kufadhiliwa na Marekani ujenzi wa bwawa la umeme
Kulingana na Waziri Mkuu wa Ethiopia, bwawa hilo lilijengwa kwa kutumia fedha za ndani za nchi hiyo.

2 Februari, 2026
Uganda yapinga wito wa seneta wa Marekani wa kuwekewa vikwazo
Mvutano huu inakuja baada ya uchaguzi wa hivi karibuni nchini Uganda, ambapo Rais Yoweri Museveni alishinda muhula wake wa saba wa miaka mitano.

2 Februari, 2026
Wanajeshi wa Nigeria wamuua kamanda wa Boko Haram, wapiganaji 10 kaskazini mashariki mwa nchi
Jeshi linasema lilifanya operesheni katika msitu wa Sambisa jimbo la Borno

2 Februari, 2026
Jeshi la Somalia lawaua magaidi wa Al Shabaab wakiwa katika mkutano wa kupanga mashambulizi
Operesheni hiyo ililenga viongozi wa Al Shabaab katika eneo la katikati mwa Shabelle, na baadhi yao waliuawa, anasema waziri wa habari.

2 Februari, 2026
Safari za ndege za ndani Sudan zimeanza tena kwa mara ya kwanza tangu kuzuka vita mwaka 2023
Ndege za shirika la ndege la Sudan Airways zikitua katika uwanja wa Khartoum kutoka Port Sudan, hatua ya kiishara ya kurejesha usafiri wa anga baada ya takriban miaka mitatu ya mzozo.


