Watu 3 wamefariki, na mamia wengine kuondoka katika makazi yao kutokana na mafuriko Nairobi, Kenya

Mwanamke mmoja, na watoto wake 2 walifariki baada ya kuangukiwa na ukuta wakati wa mvua kubwa
22 Aprili, 2025
Rais wa Ghana Mahama amsimamisha kazi Jaji Mkuu

Kumewasilishwa malalamiko rasmi matatu kutaka aondolewe ofisini, hata hivyo madai dhidi yake hayajafahamika wazi kwa umma.
22 Aprili, 2025
Jeshi la Burkina Faso linasema limetibua jaribio la shambulizi kwa rais

Maafisa wa kijasusi wamefanikiwa kutibua mawasiliano kati ya afisa mmoja wa jeshi na viongozi wa kigaidi kuhusu taarifa za pale vikosi vya Burkina Faso vilipo, amesema waziri wa usalama.
22 Aprili, 2025
Shirika la WFP laonya kuhusu ‘viwango vya kutisha’ vya utapiamlo nchini Ethiopia

Shirika hilo la mpango wa chakula la Umoja wa Mataifa limelazimika kusitisha msaada kwa wanawake na watoto 650,000 kutokana na ukosefu wa fedha
22 Aprili, 2025

Rwanda yaongeza mapato ya usafirishaji wa mizigo

Vatican: Mazishi ya Papa Francis Papa kufanyika Aprili 26

Serikali ya Kenya yaonya maafisa wa afya dhidi ya ukiukaji wa maadili

Rais Ruto kuongoza kongamano la biashara nchini China

Jeshi la Sudan Kusini lauteka tena mji muhimu kutoka kwa wanamgambo wa White Army
22 Aprili, 2025
Mamia wafariki wakati Angola ikipambana na mlipuko wa kipindupindu
Zaidi ya visa 14,000 vya kipindupindu na vifo 505 vimeripotiwa tangu mlipuko huo uanze Januari 2025.

22 Aprili, 2025
Jeshi la Sudan Kusini lauteka tena mji muhimu kutoka kwa wanamgambo wa White Army
Wasemaji wa jeshi na jeshi la White Army, ambalo chama cha Machar kinakanusha kuunga mkono, walisema mji wa Nasir ulitekwa tena siku ya Jumapili bila mapigano

21 Aprili, 2025
Raia wasiopungua 33 wameuawa kwenye mashambulizi ya RSF katika mji wa El-Fasher,jeshi linasema
Wapiganaji wa RSF hawajuzungumzia chochote kuhusu tukio hilo

21 Aprili, 2025
Raia wasiopungua 33 wameuawa kwenye mashambulizi ya RSF katika mji wa El-Fasher,jeshi linasema
Wapiganaji wa RSF hawajuzungumzia chochote kuhusu tukio hilo

21 Aprili, 2025
Rais wa Afrika Kusini, Putin wafanya mazungumzo kuhusu vita vya Urusi na Ukraine
Rais Putin alieleza msimamo wake kuhusu umuhimu wa kuondosha chanzo cha vita hivyo na kuhakikisha maslahi ya usalama wa Urusi, serikali ya Urusi imesema.

21 Aprili, 2025
Rais wa Afrika Kusini, Putin wafanya mazungumzo kuhusu vita vya Urusi na Ukraine
Rais Putin alieleza msimamo wake kuhusu umuhimu wa kuondosha chanzo cha vita hivyo na kuhakikisha maslahi ya usalama wa Urusi, serikali ya Urusi imesema.

21 Aprili, 2025
Mpango wa utawala wa Trump kufunga ofisi za ubalozi Afrika – muswada
Marekani inaandaa mpango wa kufunga ofisi za ubalozi nchini Eritrea, Gambia, Sudan Kusini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Lesotho, na Jamhuri ya Afrika ya Kati, kulingana na mapendekezo.

21 Aprili, 2025
Msichana auawa na simba nchini Kenya
Kijana mwingine alishuhudia simba akimshambulia msichana huyo, ambapo alipiga kamsa kuita watu, maafisa wa Mamlaka ya Wanyamapori wa Kenya walifika eneo hilo kwa ajili ya kutoa msaada.

21 Aprili, 2025
Msichana auawa na simba nchini Kenya
Kijana mwingine alishuhudia simba akimshambulia msichana huyo, ambapo alipiga kamsa kuita watu, maafisa wa Mamlaka ya Wanyamapori wa Kenya walifika eneo hilo kwa ajili ya kutoa msaada.

21 Aprili, 2025
Papa Francis na ujumbe wake wa amani Afrika
Barani Afrika ametambuliwa kama papa wa ujumbe wa amani ikiwa amezuru nchi tofdauti katika awamu wake wa uongozi.



