Urusi, Jamhuri ya Congo yajadiliana kuhusu kuimarisha ushirikiano wa kijeshi

Urusi imefanya mazungumzo na Jamhuri ya Congo kujadili namna ya kuimarisha ushirikiano wa masuala ya kijeshi kati ya nchi hizo mbili.
7 Mei, 2025
Serikali ya Trump inapanga kuwasafirisha wakimbizi Libya kwa kutumia ndege za kijeshi

Maafisa wa Marekani wanasema watu wanaweza kuanza kusafirishwa kutoka nchini humo kuanzia wiki hii, licha ya kuwa mpango huo umezua taharuki na watu kuupinga
7 Mei, 2025
Jela kwa wasafirishaji wa siafu Kenya

Miongoni mwa wanne hao kuna raia wawili wa Ubelgiji ambao walipatikana na hatia kwa kujaribu kusafirisha siafu hao adimu nje ya nchi.
7 Mei, 2025
Rwanda kuongeza wakunga 5000

Wizara ya afya inasema kuna wakunga 2,236 pekee waliosajiliwa na kupewa leseni koite nchini kufikia Machi mwaka huu.
7 Mei, 2025

Sudan yasitisha uhusiano wa kidiplomasia na UAE

Wanajeshi watatu wa Rwanda wauawa nchini Msumbiji

DRC na waasi wa M23 waanza tena mazungumzo ya amani mjini Doha

Kenya Airways ya Nairobi- Dar es Salaam ililazimika kurudi JKIA kutokana na dharura ya kiafya

London Marathon: Assefa wa Ethiopia avunja rekodi ya dunia ya mbio za wanawake
27 Aprili, 2025
Wafungwa 4,887 wasamehewa katika sherehe za maadhimisho ya 61 ya Muungano, Tanzania
Hata hivyo kwa mujibu wa vigezo vilivyowekwa, hakuna msamaha kwa watuhumiwa wa hujuma ya uchumi wa nchi, ujambazi wa kutumia silaha, mauaji ya watoto wachanga, ugaidi, biashara ya dawa za kulevya na uhalifu wa mtandaoni.

27 Aprili, 2025
Tanzania yaondoa marufuku ya uagizaji bidhaa kutoka Afrika Kusini, Malawi kuruhusu mazungumzo
Maafisa wa Tanzania wanasema kuwa nchi hizo mbili ziliwasiliana kivyake kutafuta suluhu ya mzozo wa kibiashara kwa njia ya mazungumzo.

26 Aprili, 2025
Uganda yatangaza kumalizika mlipuko wa hivi punde wa Ebola
Tangazo la kumalizika kwa mlipuko huo lilifuata siku 42 “bila maambukizi mapya tangu mgonjwa wa mwisho aliyethibitishwa kuruhusiwa kwenda nyumbani.”

26 Aprili, 2025
Viongozi wa Afrika watoa wito kwa walinda amani zaidi Somalia kukabiliana na al-Shabab
Viongozi hao waliokutana nchini Uganda walipendekeza kuwa wanajeshi zaidi wanaweza kutumwa kutoka Misri

26 Aprili, 2025
DRC na Rwanda zatia saini njia ya kufikia amani katika makubaliano yaliyosimamiwa na Marekani
Pata habari na uchambuzi zaidi kwa lugha 45 kutoka TRT Global. Zikiangazia siasa, biashara, michezo na mengineyo.

25 Aprili, 2025
Burkina Faso yaipa kampuni ya Urusi Nordgold leseni ya uchimbaji dhahabu
Mgodi wa Niou unatarajiwa kupata tani 20.22 ya dhahabu katika kipindi cha zaidi ya miaka minane, maafisa wamesema

25 Aprili, 2025
Umeme wakatika Sudan baada ya shambulizi la ndege isiyokuwa na rubani katika kituo kimoja
Shambulizi hilo ni la hivi karibuni la ndege zisizokuwa na rubani katika miundombinu ya umeme kaskazini mwa Sudan ambapo mamlaka zimekuwa zikilaumu wapiganaji wa RSF.

25 Aprili, 2025
Mahakama ya Gabon yamthibitisha kiongozi wa kijeshi Nguema mshindi rasmi wa uchaguzi wa urais
Brice Oligui Nguema alipata 94.85% ya kura ikilinganishwa na mpinzani wake mkuu, Alain-Claude By-Nze, aliyepata 3.11%, kulingana na matokeo rasmi ya mwisho.

25 Aprili, 2025
Shirika la Umoja wa Mataifa limefikia watu milioni 4 Sudan lakini linaonya kuhusu njaa kali
Mratibu wa shughuli za dharura anasema Sudan ni nchi pekee ambayo imethibitika kuwa na njaa kali, huku watu milioni 25 wakiwa hawana chakula

25 Aprili, 2025
Uchunguzi wa huduma za mauzo ya viungo nchini Kenya waanza
Kamati huru itafanya ukaguzi wa kina wa huduma zote za upandikizaji wa figo katika hospitali ya Mediheal iliyopo kaunti ya Eldoret katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, baada ya hospitali hiyo kushutumiwa kwa kuhusika na mauzo ya figo.



