9 Mei, 2025

Erastus Edung Ethekon Mwenyekiti mteule wa tume huru ya uchaguzi Kenya ni nani?

Rais wa Kenya, William Ruto, amemteua Erastus Edung Ethekon kuwa Mwenyekiti mpya wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka – IEBC, pamoja na makamishna sita wapya.

nation 20media 20group

9 Mei, 2025

Vita vya Sudan: Mashambulizi zaidi ya ndege zisizo na rubani yaikumba Port Sudan

Mashambulizi hayo mapya yamezua hofu ya uhaba wa mafuta na kuzorota kwa hali mbaya ya kibinadamu.

port 20sudan

9 Mei, 2025

Trump anapanga ‘kuwachukua Marekani’ wakimbizi wa Afrika Kusini

Maafisa wa Marekani wanasema wakulima Wazungu wanaodaiwa kuathiriwa na sheria mpya ya unyakuzi wa ardhi ya Afrika Kusini watawasili wiki ijayo.

2025 05 09t041341z 1 lynxmpel48036 rtroptp 3 usa trump safrica whites

9 Mei, 2025

Tanzania yalitaka Bunge la Ulaya kuheshimu uhuru, sheria na maadili ya Taifa

Kauli hiyo ya Tanzania imekuja kufuatia mjadala uliofanyika katika Bunge la Ulaya kuhusu masuala ya ndani ya Tanzania.

wazir 20thabit

8 Mei, 2025

Rais wa Kenya ateua makamishna wa tume huru ya uchaguzi

Rais wa Kenya William amemteua Erastus Edung Ethekon kuwa mwenyekiti wa tume huru ya uchaguzi nchini humo.

ruto 20rut

8 Mei, 2025

Rwanda yatuma maafisa wa polisi Jamhuri ya Afrika ya Kati

Rwanda ilianza oparesheni zake za usaidizi wa amani nchini CAR mwaka 2014, na kwa sasa ina vikosi vinne nchini humo.

rwanda 20police

8 Mei, 2025

Rais wa Tanzania amewafutia rasmi faini za madeni ya bili za maji raia wake

Baadhi ya raia wa Tanzania wanaodaiwa faini ya bili za maji, wamepata afuweni baada ya rais Samia Suluhu Hassan kutangaza kuwafutia mzigo huo wadaiwa.

2025 03 21t120200z 281019961 rc2ohdasa39y rtrmadp 3 namibia election main

8 Mei, 2025

Wanamgambo wa RSF waanzisha mashambulizi mapya katika maeneo ya mashariki, kusini mwa Sudan

Mashambulizi yamelenga maghala ya kimkakati ya mafuta na kambi za kijeshi nchini Sudan, ikijumuisha maeneo muhimu yanayodhibitiwa na jeshi kama vile Port Sudan na Kosti.

2025 05 06t142532z 1011591175 rc2 cea35prx rtrmadp 3 sudan politics

8 Mei, 2025

Kenya yasajili wafungwa katika huduma mpya ya bima ya taifa ya afya

Kuanzia Oktoba 2024, Mfuko wa Bima ya Afya ya Jamii (SHA) umechukua nafasi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) ambao umekuwepo tangu 1966.

kamiti main

8 Mei, 2025

UAE ‘haitambui’ uamuzi wa Sudan wa kukata uhusiano wa kidiplomasia

UAE inasema serikali inayoambatana na jeshi la Sudan sio serikali halali ya nchi hiyo ya Kiafrika. Hii inakuja siku moja baada ya Sudan kukata uhusiano wa kidiplomasia na kufunga ubalozi wake na ubalozi wake katika jimbo la Ghuba.

2025 03 26t225147z 1804210971 rc2 h rtrmadp 3 sudan politics burhan
Loading...