Gabon yamhamishia kifungo cha nyumbani mke na mtoto wa Rais wa zamani Bongo

Kuhamishiwa kifungo cha nyumbani – ambapo sasa wameunganishwa tena na Ali Bongo – kulikuja Mei 9 baada ya shinikizo kutoka kwa maafisa wa Umoja wa Afrika kuwaachilia.
15 Mei, 2025
Uturuki inatoa wito kwa pande zote Libya kuanza majadiliano ya kutafuta suluhu

Wizara ya Mambo ya Nje imeeleza kuwa Uturuki iko tayari kutoa mchango wake katika kuhakikisha ‘kunapatikana suluhu endelevu na ya kudumu kwa mzozo huo’
14 Mei, 2025
Jaji wa Mali anatarajiwa kuruhusu kufunguliwa tena kwa mgodi wa Barrick chini ya usimamizi mpya

Jaji mmoja nchini Mali anatarajiwa kuamuru kufunguliwa tena kwa kampuni ya uchimbaji madini ya dhahabu ya Barrick Loulo-Gounkoto chini ya uongozi mpya kufuatia ombi la serikali ya Mali.
14 Mei, 2025
Mali yapiga marufuku shirika la Televisheni la Ufaransa TV5 Monde kwa taarifa za maandamano

TV5 Monde imekuwa televisheni ya Ufaransa ya hivi karibuni kupigwa marufuku kupeperusha matangazo yake katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
14 Mei, 2025

Wazungu wa Afrika Kusini wakimbilia Marekani, kanisa lakataa kuwapokea

Serikali ya Kenya yakana kuuza makampuni ya sukari

Mshukiwa akamatwa kwa mauaji ya mbunge Kenya

Kampeni za uchaguzi zaanza rasmi nchini Burundi kwa wabunge, serikali za mitaa

Watu zaidi 84,000 wameathiriwa na mafuriko Somalia tangu mwezi Aprili: Umoja wa Mataifa
13 Mei, 2025
Mahakama ya Kenya yaidhinisha kusafirishwa Marekani kwa naibu spika wa zamani wa Afghanistan
Mwanasiasa wa Afghanistan Abdul Zahir Qadir anakabiliwa na mashtaka kuhusu dawa za kulevya na silaha nchini Marekani lakini mawakili wake wanapinga kuwa ushahidi uliowasilishwa dhidi yake umechochewa kisiasa.

13 Mei, 2025
Uganda yasimamisha kwa muda mabasi za kampuni ya YY Coaches kutoa huduma
Katika wiki mbili mabasi ya kampuni hiyo yameripotiwa kufanya ajali mara mbili, ya hivi karibuni ilikuwa Mei 5 iliyoua abiria watatu.

13 Mei, 2025
Kenya yahitaji ufadhili zaidi kwa vyombo vya usalama
Mkurugenzi Mkuu wa Huduma ya Kitaifa ya Ujasusi nchini Kenya amesema vikosi vya usalama vimekuwa na changamoto ya kifedha kwa muda mrefu na haviwezi kupata vifaa vya kisasa vya ulinzi.

13 Mei, 2025
Wazalishaji Uganda wataka nafaka isiuzwe nje ya nchi
Wazalsihaji wanadai kuwa uuzaji wa nafaka kwa nchi nyengine zimesababisha viwanda kufungwa na madalali kupata faida badala ya wakulima.

13 Mei, 2025
Serikali ya kijeshi ya Guinea yatangaza tarehe mpya ya uchaguzi
Tangazo hilo linakuja mwezi mmoja baada ya serikali kuweka tarehe 21 Septemba 2025 kuwa siku ya kura ya maoni ya katiba, ambayo ilisema itakuwa utangulizi wa kurejea kwa utawala wa kikatiba.

13 Mei, 2025
Wabunge 40 Kenya wafungiwa ofisi kwa kushindwa kulipa kodi
Wabunge na wafanyakazi wa Tume ya Huduma za Bunge (PSC) walifungiwa nje ya ofisi zao katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Kenyatta (KICC) kwa madai ya kutolipa kodi kwa muda mrefu.

12 Mei, 2025
Kiongozi wa upinzani Côte d’Ivoire Thiam ajiuzulu kufuatia utata wa uraia wa Ufaransa
Kwa miezi kadhaa, kampeni ya Tidjane Thiam ya kuwania urais imekumbwa na wasiwasi kuhusu uraia wake.

12 Mei, 2025
Waafrika weupe wa Afrika Kusini wahamia Marekani kama wakimbizi
Kutoa hadhi ya ukimbizi kwa Wazungu wa Afrika Kusini kumekumbwa na hisia tofauti kutoka mamlaka za Afrika Kusini, ambazo zinasema utawala wa Trump umeingia katika suala la kisiasa la ndani ambalo halielewi.

12 Mei, 2025
Polisi Uganda yamkamata mhalifu sugu
Mhalifu aliyekamatwa anaitwa Imanantireganya Alfadudu, maarufu kama “ MCongo”.

12 Mei, 2025
Mafuriko yasababisha vifo zaidi DRC
Waziri wa Afya wa jimbo la Kivu Kusini Theophile Walulika Muzaliwa amewaambia waandishi wa habari kuwa juhudi za utafutaji na uokoaji zimetatizwa pakubwa.



