Ubalozi wa Uganda nchini Tanzania wafanya jitihada za kumtafuta mwanaharakati Agather Atuhaire

Agather, ni kati ya wanaharakati wanaodaiwa kukamatwa Mei 19, 2025 jijini Dar es Salaam, wakati wakijiandaa kuhudhuria usikilizwaji wa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, Tundu Lissu.
22 Mei, 2025
Wakenya wakosa kulipa mikopo ya zaidi ya dola milioni 46 chini ya “Hustler Fund”

Pesa hizi zilitolewa kupitia simu chini ya fungu maalumu la “Hustler Fund” mradi wa mikopo midogo midogo iliyoanzishwa na Rais William Ruto alipoingia madarakani 2022.
22 Mei, 2025
Tanzania yamuachilia Boniface Mwangi

Boniface Mwangi mwanaharakati wa Kenya na mwenzake wa Uganda Agather Atuhaire walikamatwa na mamlaka za Tanzania siku ya Jumatatu walipokwenda nchini humo wakitaka kuhudhuria kesi ya kiongozi wa upinzani Tundu Lissu.
22 Mei, 2025
Umoja wa Afrika ‘hauwezi kuwa na furaha’ kuhusu kuwafukuza Wapalestina: Angola

“Kwa hakika tunatetea suluhisho la serikali mbili,” Waziri wa Mambo ya Nje wa Angola Tete Antonio anasema.
22 Mei, 2025

Kenya yaitaka Tanzania kumuachia mwanaharakati Boniface Mwangi

Waziri wa zamani wa madini nchini Senegal ashitakiwa kwa ufisadi

Uganda yapitisha sheria ya raia kushtakiwa katika mahakama ya kijeshi

DRC yamhukumu waziri mkuu wa zamani miaka 10 ya kazi ngumu kutokana na ufisadi

Serikali ya Trump yawapeleka wahamiaji wa Asia Sudan Kusini, yakiuka agizo la mahakama
20 Mei, 2025
Kenya: Gachagua na siasa zake
Rigathi Gachagua anasema kuwa alipokea taarifa za kijasusi akidai kuwa rais wa nchi hiyo aligiza vyombo vya usalama kumuwekea sumu kupitia kemikali ambazo zitafanya ubongo wake kupooza katika muda wa miezi mitatu.

20 Mei, 2025
Tume ya Uchaguzi Tanzania yasema hakuna muda wa ziada uandikishaji Daftari la Kudumu
Zoezi hilo pia linahusisha kuwaondoa wasio na sifa kwenye Daftari hilo.

20 Mei, 2025
Kongamano la amani Rwanda lajadili mustakbali wa Afrika
Rwanda imeandaa mkutano wa kujadili amani na usalama, wenye kuendesha mijadala ya kina juu ya changamoto za usalama za Afrika na kuhimiza suluhisho endelevu.

20 Mei, 2025
Baadhi wapongeza hatua ya Tanzania kuwatimua wanaharakati wa Kenya
Ingawa baadhi wamekosowa hatua ya Rais Samia Suluhu wa Tanzania kuwatimua wanaharakati wa Kenya waliokwenda kushuhudia kesi ya Tundu Lissu, wengine wameipongeza

20 Mei, 2025
Rwanda yafanya matibabu ya moyo ya aina yake
Utaratibu huo ulifanyika Ijumaa, Mei 16, katika hospitali ya King Faisal kuziba tundu la moyo

20 Mei, 2025
Rais Ruto akabidhi nyumba za bei nafuu Kenya
Rais wa Kenya William Ruto siku ya Jumatano alikabidhi familia 1080 nyumba za bei nafuu katika mtaa wa Mukuru, mji mkuu wa Kenya, Nairobi.

20 Mei, 2025
Kongamano la kwanza la usalama barani Afrika laanza wito ukiwa uwajibikaji katika kanda
Rais wa Rwanda Kagame amewaambia viongozi wa Afrika katika mkutano wa masuala ya usalama kuwa kutafuta misaada ya usalama kutoka nje hakujafanikiwa na kwamba suluhu inahitajika kutoka ndani ya bara la Afrika.

19 Mei, 2025
Ufaransa ‘yatupilia mbali’ kesi ya aliyekuwa mke wa Juvenal Habyarimana
Kulingana na mahakimu waliokuwa wanafuatilia kesi hiyo, hapakuwa na ushahidi wa moja kwa moja wa kumuhusisha na tukio hilo.

19 Mei, 2025
Somalia yazindua chanjo ya dhidi ya suruwa, polio, na nimonia
Shirika la Afya Duniani WHO, likishirikiana na serikali kuu ya Somalia pamoja na serikali za majimbo,linapanga kuwapa chanjo watoto milioni 3.1 walio chini ya umri wa miaka 5 katika kampeni ya wiki nzima

19 Mei, 2025
UN, Baraza la Rais Libya waunda ‘kamati ya mapatano’ baada ya mapigano Tripoli
Kamati hiyo ina lengo la kufikia makubaliano ya usitishaji wa mapigano na kulinda raia baada ya mapigano ya hivi karibuni katika mji mkuu wa Libya.



