20 Mei, 2025

Kenya: Gachagua na siasa zake

Rigathi Gachagua anasema kuwa alipokea taarifa za kijasusi akidai kuwa rais wa nchi hiyo aligiza vyombo vya usalama kumuwekea sumu kupitia kemikali ambazo zitafanya ubongo wake kupooza katika muda wa miezi mitatu.

2025 05 15t122810z 611303276 rc26ieaefafc rtrmadp 3 kenya politics

20 Mei, 2025

Tume ya Uchaguzi Tanzania yasema hakuna muda wa ziada uandikishaji Daftari la Kudumu

Zoezi hilo pia linahusisha kuwaondoa wasio na sifa kwenye Daftari hilo.

1747748313698 mpohc7 inec7763 scaled

20 Mei, 2025

Kongamano la amani Rwanda lajadili mustakbali wa Afrika

Rwanda imeandaa mkutano wa kujadili amani na usalama, wenye kuendesha mijadala ya kina juu ya changamoto za usalama za Afrika na kuhimiza suluhisho endelevu.

isca

20 Mei, 2025

Baadhi wapongeza hatua ya Tanzania kuwatimua wanaharakati wa Kenya

Ingawa baadhi wamekosowa hatua ya Rais Samia Suluhu wa Tanzania kuwatimua wanaharakati wa Kenya waliokwenda kushuhudia kesi ya Tundu Lissu, wengine wameipongeza

2025 05 19t103035z 1908986671 rc2pkea9tv2i rtrmadp 3 tanzania politics 1 scaled

20 Mei, 2025

Rwanda yafanya matibabu ya moyo ya aina yake

Utaratibu huo ulifanyika Ijumaa, Mei 16, katika hospitali ya King Faisal kuziba tundu la moyo

king 20faisal

20 Mei, 2025

Rais Ruto akabidhi nyumba za bei nafuu Kenya

Rais wa Kenya William Ruto siku ya Jumatano alikabidhi familia 1080 nyumba za bei nafuu katika mtaa wa Mukuru, mji mkuu wa Kenya, Nairobi.

mkuru

20 Mei, 2025

Kongamano la kwanza la usalama barani Afrika laanza wito ukiwa uwajibikaji katika kanda

Rais wa Rwanda Kagame amewaambia viongozi wa Afrika katika mkutano wa masuala ya usalama kuwa kutafuta misaada ya usalama kutoka nje hakujafanikiwa na kwamba suluhu inahitajika kutoka ndani ya bara la Afrika.

kagame

19 Mei, 2025

Ufaransa ‘yatupilia mbali’ kesi ya aliyekuwa mke wa Juvenal Habyarimana

Kulingana na mahakimu waliokuwa wanafuatilia kesi hiyo, hapakuwa na ushahidi wa moja kwa moja wa kumuhusisha na tukio hilo.

agathe

19 Mei, 2025

Somalia yazindua chanjo ya dhidi ya suruwa, polio, na nimonia

Shirika la Afya Duniani WHO, likishirikiana na serikali kuu ya Somalia pamoja na serikali za majimbo,linapanga kuwapa chanjo watoto milioni 3.1 walio chini ya umri wa miaka 5 katika kampeni ya wiki nzima

somalia 20vaccine

19 Mei, 2025

UN, Baraza la Rais Libya waunda ‘kamati ya mapatano’ baada ya mapigano Tripoli

Kamati hiyo ina lengo la kufikia makubaliano ya usitishaji wa mapigano na kulinda raia baada ya mapigano ya hivi karibuni katika mji mkuu wa Libya.

libya 20922
Loading...