Kenya inaunga mkono mpango wa mamlaka ya kujisimamia Sahara Magharibi chini ya ufalme wa Morocco

Kenya, baada ya miaka 60 ya uhusiano wa kidiplomasia baina ya nchi mbili na Morocco, pia ilifungua ubalozi huko Rabat siku ya Jumatatu.
27 Mei, 2025
Nigeria yaondoa mswada unaotaka wasiopiga kura kufungwa hadi miezi sita

Bunge la Kitaifa la Nigeria limetupilia mbali mswada ambao ungefanya upigaji kura kuwa wa lazima, taarifa kutoka kwa spika wa Baraza la Wawakilishi alisema Jumatatu.
27 Mei, 2025
Salim Mvurya: Kenya iko tayari kuandaa michuano ya CHAN 2025

Michuano hiyo imepangwa kufanyika mwezi Agosti, 2025.
26 Mei, 2025
Kikundi cha M23 chafurahia Joseph Kabila kurejea nchini DRC

Kabila, mwenye umri wa miaka 53, alikuwa kiongozi wa DRC kutoka mwaka 2001 hadi 2019, aliporithiwa na Tshisekedi.
26 Mei, 2025

Mashirika binafsi ya matibabu Rwanda yataka mfumo wa ushuru kurekebishwa

Serikali ya Kenya kuuza zaidi hisa zake Safaricom, waziri wa fedha amesema

Uganda yasitisha ushirikiano wa kijeshi na Ujerumani

Ethiopia yathibitisha visa vya kwanza vya ugonjwa wa mpox kwa mtoto mchanga na mama

DRC yalenga makubaliano ya madini ya Marekani kufikia mwisho wa Juni
25 Mei, 2025
Siku ya Afrika: Mwenyekiti wa Tume ya AU atoa wito nchi zote za Afrika kujiinua ili kuinua Afrika
Siasa za jiografia za kimataifa zinaendeshwa kwa gharama ya bara Afrika; mamlaka za kimataifa zenye ushawishi hazitoi umakini mzuri kwa matamanio ya bara hili..

25 Mei, 2025
Uturuki, Somalia wakubali kuimarisha ushirikiano katika kukabiliana na taarifa potofu
Nchi zote mbili zilisisitiza dhamira yao ya kukuza uhusiano wa karibu kati ya watu wa Somalia na Uturuki na kufanya kazi pamoja ili kupambana na taarifa potofu ambazo zinaweza kuathiri urafiki wao wa muda mrefu.

24 Mei, 2025
Lissu ateuliwa katika uongozi wa Muungano wa Kimataifa wa Demokrasia – IDU
Tundu Lissu amechaguliwa katika nafasi ya mojawapo ya Makamu Wenyeviti wa Muungano huo wa Kisiasa duniani wenye lengo la kupigania sera za kisiasa za vyama vya mrengo wa kulia, akiwa bado anazuiliwa gerezani Tanzania.

24 Mei, 2025
Kiongozi wa zamani wa DRC akashifu mfumo wa haki baada ya kuondolewa kwa kinga ya kushtakiwa
Rais huyo wa zamani anasema mfumo wa haki unatumiwa waziwazi kwa malengo ya kisiasa katika nchi ambayo anasakwa kwa madai ya uhalifu dhidi ya ubinadamu.

24 Mei, 2025
Mwanaharakati wa Uganda apatikana ametupwa mpakani baada ya kukamatwa nchini Tanzania
Mwanaharakati wa Uganda Agather Atuhaire alikwenda Tanzania kuonyesha mshikamano na kiongozi wa upinzani Tundu Lissu katika kusikilizwa kwa kesi yake ya uhaini Jumatatu.

23 Mei, 2025
Washukiwa watatu wa wizi kutoka Uganda wakamatwa Kenya
Kitengo cha makosa ya jinai nchini Kenya kimesema uchunguzi umebaini kuwa watatu hao kutoka Uganda waliwasili nchini Kenya tarehe Mei 21, 2025 kupitia mpaka wa Malaba.

23 Mei, 2025
Karibu wachimba migodi 300 wakwama Afrika Kusini
Msemaji anasema wafanyakazi wote wako salama na wanajulikana waliko na kwamba wako katika mchakato wa kuwafikishia chakula.

23 Mei, 2025
Uganda kufunga baadhi ya balozi zake
Kulingana na ripoti yake ni balozi 10 tu kati ya 38 zilizokaguliwa na kupokea ufadhili kutoka kwa serikali katika mwaka 2024.

23 Mei, 2025
Marekani kuiwekea vikwazo Sudan kwa madai ya kutumia silaha za kemikali
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani inasema kuwa itaiwekea vikwazo serikali ya Sudan kwa madai ya kutumia silaha za kemikali katika vita vyao na wapiganaji wa RSF.

23 Mei, 2025
Tanzania yamuachilia Agather, mwanaharakati wa Uganda
Agather Atuhaire alikamatwa pamoja na mwanaharakati wa Kenya Boniface Mwangi walipokuwa wameenda nchini humo kushuhudia kesi ya mwanasiasa wa upinzani Tanzania, Tundu lissu.



