25 Mei, 2025

Siku ya Afrika: Mwenyekiti wa Tume ya AU atoa wito nchi zote za Afrika kujiinua ili kuinua Afrika

Siasa za jiografia za kimataifa zinaendeshwa kwa gharama ya bara Afrika; mamlaka za kimataifa zenye ushawishi hazitoi umakini mzuri kwa matamanio ya bara hili..

fab 1 2

25 Mei, 2025

Uturuki, Somalia wakubali kuimarisha ushirikiano katika kukabiliana na taarifa potofu

Nchi zote mbili zilisisitiza dhamira yao ya kukuza uhusiano wa karibu kati ya watu wa Somalia na Uturuki na kufanya kazi pamoja ili kupambana na taarifa potofu ambazo zinaweza kuathiri urafiki wao wa muda mrefu.

fab

24 Mei, 2025

Lissu ateuliwa katika uongozi wa Muungano wa Kimataifa wa Demokrasia – IDU

Tundu Lissu amechaguliwa katika nafasi ya mojawapo ya Makamu Wenyeviti wa Muungano huo wa Kisiasa duniani wenye lengo la kupigania sera za kisiasa za vyama vya mrengo wa kulia, akiwa bado anazuiliwa gerezani Tanzania.

2025 05 23t084122z 499273969 rc2p 0nv1d rtrmadp 3 tanzania politics

24 Mei, 2025

Kiongozi wa zamani wa DRC akashifu mfumo wa haki baada ya kuondolewa kwa kinga ya kushtakiwa

Rais huyo wa zamani anasema mfumo wa haki unatumiwa waziwazi kwa malengo ya kisiasa katika nchi ambayo anasakwa kwa madai ya uhalifu dhidi ya ubinadamu.

fab 1 2 3 4 5

24 Mei, 2025

Mwanaharakati wa Uganda apatikana ametupwa mpakani baada ya kukamatwa nchini Tanzania

Mwanaharakati wa Uganda Agather Atuhaire alikwenda Tanzania kuonyesha mshikamano na kiongozi wa upinzani Tundu Lissu katika kusikilizwa kwa kesi yake ya uhaini Jumatatu.

fab

23 Mei, 2025

Washukiwa watatu wa wizi kutoka Uganda wakamatwa Kenya

Kitengo cha makosa ya jinai nchini Kenya kimesema uchunguzi umebaini kuwa watatu hao kutoka Uganda waliwasili nchini Kenya tarehe Mei 21, 2025 kupitia mpaka wa Malaba.

wezi

23 Mei, 2025

Karibu wachimba migodi 300 wakwama Afrika Kusini

Msemaji anasema wafanyakazi wote wako salama na wanajulikana waliko na kwamba wako katika mchakato wa kuwafikishia chakula.

s 20africa 20getty

23 Mei, 2025

Uganda kufunga baadhi ya balozi zake

Kulingana na ripoti yake ni balozi 10 tu kati ya 38 zilizokaguliwa na kupokea ufadhili kutoka kwa serikali katika mwaka 2024.

2025 05 20t164838z 1 lynxmpel4j0u6 rtroptp 3 uganda politics

23 Mei, 2025

Marekani kuiwekea vikwazo Sudan kwa madai ya kutumia silaha za kemikali

Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani inasema kuwa itaiwekea vikwazo serikali ya Sudan kwa madai ya kutumia silaha za kemikali katika vita vyao na wapiganaji wa RSF.

sudan 20afp

23 Mei, 2025

Tanzania yamuachilia Agather, mwanaharakati wa Uganda

Agather Atuhaire alikamatwa pamoja na mwanaharakati wa Kenya Boniface Mwangi walipokuwa wameenda nchini humo kushuhudia kesi ya mwanasiasa wa upinzani Tanzania, Tundu lissu.

agather 202 main
Loading...