Naibu rais wa zamani wa Kenya ataka fidia kwa kutimuliwa

Aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya ambaye aliondolewa madarakani na bunge sasa anataka kulipwa fidia ya miaka mitano kamili ambayo angehudumu katika wadhifa huo.
30 Mei, 2025
Rais wa zamani wa DRC akutana na viongozi wa kidini mjini Goma

Kurudi kwake katika mji wa Goma kunaweza kuashiria sura mpya katika mzozo kati ya rais Tshisekedi na waasi wa M23, ambao wamedhibiti maeneo mengi, ikiwa ni pamoja na Bukavu, mji mkuu wa jimbo la Kivu Kusini, tangu mapema 2025.
30 Mei, 2025
Wabunge Uganda waidhinisha mkopo wa dola milioni 568 kwa serikali ya Rais Museveni

Deni la jumla la umma nchini Uganda limeongezeka kwa 18% hadi dola bilioni 29.1 mwaka jana kutokana na kuongezeka kwa ukopaji wa ndani, kulingana na wizara ya fedha.
30 Mei, 2025
Rais wa zamani wa DRC Joseph Kabila arudi nchini humo kupitia Goma

Licha ya kuondoka nchini humo mwaka 2023, kiongozi huyo bado ana ushawishi mkubwa nchini DRC.
29 Mei, 2025

Maadhimisho ya walinda amani duniani

Bei ya matibabu ya saratani Kenya kupungua kwa zaidi ya mara tatu

Mwanamke wa Afrika Kusini afungwa maisha kwa kumuuza binti yake

Mwanafasihi maarufu Afrika Mashariki Ngugi Wa Thiong’o afariki dunia

Tanzania kujenga kituo kikubwa cha upandikizaji wa figo Dodoma
28 Mei, 2025
Rais wa Afrika Kusini asema wananchi wote nchini mwake wana haki sawa
Rais huyo amesema serikali imeanzisha sheria katika maeneo kama vile umiliki wa ardhi, usawa wa ajira na uwezeshaji wa kiuchumi kwa ajili ya kuhakikisha kila mtu anapata haki sawa.

28 Mei, 2025
Ethiopia yaadhimisha miaka 34 tangu kuanguka kwa uongozi wa Derg
Derg haikuwa maarufu kwa sababu ya sera mbaya na mauaji ya watu wengi, ambayo yalisababisha mshtuko kote nchini.

28 Mei, 2025
Kipindipindu chaongezeka katikati ya vita Sudan
Taarifa ya Wizara imesema kuwa watu 2,700 walipata ugonjwa huo ndani ya wiki moja tu, kati yao 172 walikufa.

28 Mei, 2025
Wanafunzi wa chuo Senegal wamzomea na kumfurusha balozi wa Israel chuoni mwao
Video zinaonyesha wanafunzi wakipeperusha bendera za Palestina, wakiimba “Palestine Huru” na wakimzomea mjumbe huyo mpya.

28 Mei, 2025
DRC inakabiliwa na kuongezeka gharama za kijeshi, nakisi ya kodi katika ‘bajeti mpya ya vita’
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo inakabiliana na kupanda kwa gharama za kijeshi na kushuka kwa mapato ya kodi kutokana na mashambulizi ya waasi wa M23, bajeti iliyorekebishwa ya wakati wa vita inayozingatiwa na wabunge.

28 Mei, 2025
Utawala wa Trump waitaka mahakama kuruhusu kuhamishwa wahamiaji Sudan Kusini
Serikali ya kitaifa ilisema kwamba Jaji Murphy anasimamisha juhudi zake za kuwafukuza wahamiaji ambao hawawezi kurudishwa katika nchi zao

27 Mei, 2025
Rwanda yafanya makubaliano ya usafiri wa anga na nchi 12
Mikataba ya huduma za anga ya nchi mbili ni mikataba inayoruhusu huduma za kimataifa za usafiri wa anga za kibiashara kati ya maeneo yao.

27 Mei, 2025
Zaidi ya maafisa polisi 1000 wamekufa katika kipindi cha miaka mitatu Kenya
Kwa jumla, maafisa 4,569 waliacha huduma tangu 2022, zaidi ya nusu yao walitoka Huduma ya Polisi ya Kenya pekee.

27 Mei, 2025
Benki ya Dunia yashusha matarajio ya ukuaji wa uchumi wa Kenya 2025
Benki ya Dunia imeshusha matarajio ya ukuaji wa uchumi wa Kenya kwa nusu pointi hadi 4.5%, ilisema siku ya Jumanne, sababu ikiwa ni deni kubwa la serikali, na riba kubwa kwa mikopo.

27 Mei, 2025
Ujerumani inakanusha shutuma dhidi ya balozi wake baada ya jeshi la Uganda kukata uhusiano
Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Ujerumani alisema katika mkutano na waandishi wa habari mjini Berlin siku ya Jumatatu kuwa shutuma hizo ni “upuuzi na hazina mashiko



