9 Februari, 2026

Sudan yarejea tena IGAD baada ya kuwa nje kwa miaka miwili

Uamuzi wa kurejea IGAD, unafuatia kikao cha mwezi Januari kati ya Katibu Mtendaji wa IGAD, Workneh Gebeyehu, na Waziri Mkuu wa Sudan, Kamil Idris.

d19b24031a8096ac5d96d4f6d776a4c34f620742823cbafa4b4dd94dfb794a24

9 Februari, 2026

21 wauwawa katika shambulio la waasi mashariki mwa DRC

Katika tukio hilo, wanamgambo walishambulia vijiji vitatu vya Boti, Isigo na Mambimbi vilivyo Kaskazini mwa Kivu na kuharibu mali pamoja na kuua watu.

6fc827c63f5c74482b10cc83af926c2dbbbddf4da777cf0925cda2f117737f4b

9 Februari, 2026

Sudan yarudi kuwa mwanachama wa IGAD baada ya kujiondoa kwa miaka miwili

Khartoum inasema hatua hiyo inakuja baada ya kupata uhakika ya kutoingiliwa na kuheshimiwa kwa mamlaka yake kutoka kwa Shirika la Maendeleo la Serikali za Nchi (IGAD).

473c9629b37524c7a9edfc0ec67159b4ca281ea8ef8130d31b0afd59fb0360fe

9 Februari, 2026

Zaidi ya wahamiaji 40 wafariki katika ajali ya boti pwani ya Libya

IOM inataka kuongezeka kwa ushirikiano wa kimataifa na hatua za ulinzi thabiti, ikijumuisha upanuzi wa njia salama na za kisheria za uhamiaji, ili kupunguza vifo.

d82f046ecd3039ead30377ea01407e031d0ef24da1d01cd596bee3e4a61dcff1

9 Februari, 2026

Ghana yamrudisha Balozi wake kutoka Nigeria kwa tuhuma za udanganyifu katika uchaguzi

Uamuzi huo unatokana na madai ya uingizaji wa wapiga kura wakati wa uchaguzi wa Bunge.

5921d8d40f9c7b66e4d8882b32f3d83c0367c79d9ef40ccba86893cd4853e517

9 Februari, 2026

Somalia na Saudia Arabia zafanya makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi

Makubaliano hayo ni ya kuimarisha ushirikiano wa ulinzi na kijeshi wa pande mbili, imesema Wizara ya Ulinzi ya Somalia

856d110d1b9c388ce4e3e78ba238e46887e5b8f264c3327128d6c76c3fc076e7

8 Februari, 2026

Tanzania: Dkt. Nchimbi awaomba viongozi wa dini kumuombea Rais Samia

Kwa namna ya pekee, amewataka viongozi wa dini kumuombea Rais Samia apate wasaidizi waaminifu na wakweli na waendelee kumuomba Mungu afunge mageti ya ikulu dhidi ya ‘watu wabaya’.

fdeb7f756cabcb3b3d238b780d8d6a479c726447c4575fc6fb027868d8cbcfed

8 Februari, 2026

Young Africans ya Tanzania njia panda kutinga Robo Fainali ya CAF

Matokeo hayo, yanaifanya Young Africans kufikisha alama 5, ikishuka hadi nafasi ya tatu kwenye msimamo wa kundi B kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika.

7b48b1fd0845c52a63791315fd99dc052b8df03f559c3913918385e300984e6d

7 Februari, 2026

Wapiganaji wa Sudan RSF wafanya mashambulizi ya droni, kuwaua watu kadhaa ikiwemo watoto

Mashambulizi ya ndege zisizokuwa na rubani yamezidisha hali mbaya kwa watu nchini Sudan, kuwaua ambao walikuwa wameondoka katika makazi yao Kordofan Kaskazini na kuongeza idadi ya waliofariki kwenye vita vinavyoendelea.

63b2f7524e04073b95f94fc295635c3c916681f3f4c21ebbe8a805f7a4f26f36

7 Februari, 2026

Uingereza yaagizwa kuwalipa fidia dola milioni $572 wachimba migodi wa Nigeria waliouawa 1949

Serikali ya kikoloni ya Uingereza ilipatikana na hatia ya kuwaua wachimba migodi wa Mkaa wa Iva Valley jimbo la Enugu wakati wakiandamana kupinga mazingira mabaya ya kazi.

73d793b1abaf4fdf332d151f12aea321c87a4575725678db463d710e7633cfe1
Loading...