Wanajeshi wa Marekani kutoa mafunzo ya kupambana na ugaidi kwa vikosi vya Nigeria

Jeshi la Marekani linasema litawapa Nigeria taarifa za kijasusi kwa ajili ya mashambulizi ya angani na kuwasaidia katika ununuzi wa silaha.
11 Februari, 2026
Misri yapitisha mabadiliko ya baraza la mawaziri

Mabadiliko hayo yanaonekana kuweka kipaombele katika uchumi, huku mchumi mwandamizi kutoka Benki ya Dunia Ahmed Rostom akiteuliwa Waziri wa Mipango, na mwenyekiti wa Mamlaka ya Udhibiti wa Fedha Mohamed Farid Saleh akiteuliwa Waziri wa Uwekezaji.
11 Februari, 2026
Mpango wa Marekani kuvuna madini kutoka DRC wapingwa

Rais Felix Tshisekedi alitoa ofa kwa makampuni ya Marekani kuchimba na kuvuna madini yenye thamani ya Dola Trilioni 24, kama sehemu ya mpango wa Marekani kuisaidia DRC kupambana na waasi.
10 Februari, 2026
Baraza la Mawaziri la Zimbabwe lamuongezea muda wa kukaa madarakani Rais Emmerson Mnangagwa

Mabadiliko hayo yanakuja miezi mitano baada ya chama cha Zanu-PF, kupitisha maazimio ya kumuweka madarakani kiongozi huyo mwenye miaka 83 madarakani, hadi 2030.
10 Februari, 2026

Mahakama ya ufisadi nchini Zambia yataifisha mali za mtoto wa Edgar Lungu

Somalia yaripoti kumuua mshirika wa kiongozi wa Al Shabab, Ahmed Diriye

Moto wateketeza kambi ya wakimbizi Sudan Kaskazini mwa Darfur, wawili wafariki dunia

Umoja wa wanafunzi Afrika Kusini wataka shule zifungwe kufuatia mgomo wa usafiri wa wanafunzi

Watu watano wafariki katika ajali ya helikopta nchini Libya
9 Februari, 2026
Sudan yarejea tena IGAD baada ya kuwa nje kwa miaka miwili
Uamuzi wa kurejea IGAD, unafuatia kikao cha mwezi Januari kati ya Katibu Mtendaji wa IGAD, Workneh Gebeyehu, na Waziri Mkuu wa Sudan, Kamil Idris.

9 Februari, 2026
21 wauwawa katika shambulio la waasi mashariki mwa DRC
Katika tukio hilo, wanamgambo walishambulia vijiji vitatu vya Boti, Isigo na Mambimbi vilivyo Kaskazini mwa Kivu na kuharibu mali pamoja na kuua watu.

9 Februari, 2026
Sudan yarudi kuwa mwanachama wa IGAD baada ya kujiondoa kwa miaka miwili
Khartoum inasema hatua hiyo inakuja baada ya kupata uhakika ya kutoingiliwa na kuheshimiwa kwa mamlaka yake kutoka kwa Shirika la Maendeleo la Serikali za Nchi (IGAD).

9 Februari, 2026
Zaidi ya wahamiaji 40 wafariki katika ajali ya boti pwani ya Libya
IOM inataka kuongezeka kwa ushirikiano wa kimataifa na hatua za ulinzi thabiti, ikijumuisha upanuzi wa njia salama na za kisheria za uhamiaji, ili kupunguza vifo.

9 Februari, 2026
Ghana yamrudisha Balozi wake kutoka Nigeria kwa tuhuma za udanganyifu katika uchaguzi
Uamuzi huo unatokana na madai ya uingizaji wa wapiga kura wakati wa uchaguzi wa Bunge.

9 Februari, 2026
Somalia na Saudia Arabia zafanya makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi
Makubaliano hayo ni ya kuimarisha ushirikiano wa ulinzi na kijeshi wa pande mbili, imesema Wizara ya Ulinzi ya Somalia

8 Februari, 2026
Tanzania: Dkt. Nchimbi awaomba viongozi wa dini kumuombea Rais Samia
Kwa namna ya pekee, amewataka viongozi wa dini kumuombea Rais Samia apate wasaidizi waaminifu na wakweli na waendelee kumuomba Mungu afunge mageti ya ikulu dhidi ya ‘watu wabaya’.

8 Februari, 2026
Young Africans ya Tanzania njia panda kutinga Robo Fainali ya CAF
Matokeo hayo, yanaifanya Young Africans kufikisha alama 5, ikishuka hadi nafasi ya tatu kwenye msimamo wa kundi B kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika.

7 Februari, 2026
Wapiganaji wa Sudan RSF wafanya mashambulizi ya droni, kuwaua watu kadhaa ikiwemo watoto
Mashambulizi ya ndege zisizokuwa na rubani yamezidisha hali mbaya kwa watu nchini Sudan, kuwaua ambao walikuwa wameondoka katika makazi yao Kordofan Kaskazini na kuongeza idadi ya waliofariki kwenye vita vinavyoendelea.

7 Februari, 2026
Uingereza yaagizwa kuwalipa fidia dola milioni $572 wachimba migodi wa Nigeria waliouawa 1949
Serikali ya kikoloni ya Uingereza ilipatikana na hatia ya kuwaua wachimba migodi wa Mkaa wa Iva Valley jimbo la Enugu wakati wakiandamana kupinga mazingira mabaya ya kazi.


