AU yaeleza wasiwasi wake kuhusu makubaliano ya wahamiaji ya Marekani na mataifa ya Afrika

Makubaliano ya kuwapeleka wahamiaji maeneo mengine ni sehemu ya kukwepa majukumu ya uhamiaji na kuwaweka watu katika hatari ya mateso na ukiukwaji wa haki zao za msingi,’ shirika la haki la AU limesema
1 Septemba, 2025
Mwanasiasa wa upinzani Uganda akataa kufika mahakamani akidai jaji ana upendeleo

Kesi ya Kizza Besigye na msaidizi wake, Obed Lutale, ilitakiwa kuanza kusikilizwa Jumatatu baada ya kuchelewa kwa miezi kadhaa, lakini washtakiwa wote waliamua kususia kesi hiyo baada ya hakimu, Emmanuel Baguma kukataa kujiondoa kwenye shauri hilo.
1 Septemba, 2025
Maambukizi zaidi 100,000 ya kipindupindu Sudan ndani ya mwaka 1 huku kukiwa na njaa: UN

‘Sudan inakabiliwa na janga baya la njaa duniani, huku kipindupindu kikiongezeka,’shirika la OCHA limesema
1 Septemba, 2025
Afisa polisi wa Kenya afariki katika ajali ya barabarani Haiti

Maafisa polisi wanane wa Misheni ya Usaidizi ya Usalama wa Kimataifa (MSS) nchini Haiti wamejeruhiwa kufuatia ajali ya barabarani Jumapili, huku afisa mmoja wa Kenya akifariki dunia.
1 Septemba, 2025

Rwanda kutoza faini wenye magari yasiyotumika

Takriban watu 70 wamefariki katika ajali ya boti ya wahamiaji kutoka Afrika Magharibi

Kamanda wa zamani wa Israel aghairi safari ya Afrika Kusini, akihofia kukamatwa

Somalia inaipongeza Uturuki kwa Siku ya Ushindi, inasifu uhusiano thabiti

Chama cha upinzani Tanzania CHAUMMA, kimezindua rasmi Jumapili Kampeni yake ya Urais
30 Agosti, 2025
Hemetti wa RSF aapishwa kama kiongozi wa serikali sanjari huku raia wakiuawa Kordofan
Jeshi la Sudan linasema watu watano kutoka familia moja, ikiwemo wasichana wawili wadogo, waliuawa kwa shambulio la RSF la ndege zisizo na rubani Kaskazini mwa Jimbo la Kordofan kusini mwa Sudan.

29 Agosti, 2025
Mzimu wa Shakahola wazuka tena Kenya, miili 32 imefukuliwa.
Miili 32 imefukuliwa wiki hii katika kijiji cha Kwa Binzaro, karibu na Shakahola, Kaunti ya Kilifi nchini Kenya.

29 Agosti, 2025
Kampeni zang’oa nanga Tanzania, upinzani hauonekani
Kampeni za Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 nchini Tanzania, zimeanza rasmi. Kitakuwa ni kipindi cha panda shuka kwa vyama vya siasa nchini humo ambapo kila chama kitakuwa kinanadi sera zake ili kupata ridhaa ya wananchi

29 Agosti, 2025
Tanzania: Jakaya Kikwete ‘awashangaa’ waliopinga uteuzi wa Samia Suluhu Hassan
Rais huyo mstaafu wa Tanzania, amekosoa hatua ya baadhi ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupinga uamuzi wa chama hicho kumpitisha Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa chama hicho.

29 Agosti, 2025
Mchakato wa kujisajili kwa wapiga kura Kenya kuanza tena Septemba 29
Tume Huru ya Uchaguzi nchini Kenya (IEBC) imetangaza kuanza tena kwa mchakato wa kusajili wapiga kura kote nchini.

29 Agosti, 2025
Chad yapokea chanjo ya kipindupindu milioni 1.1 huku idadi ya vifo ikiongezeka
Vifo vinavyotokana na mlipuko wa kipindupindu mashariki mwa Chad zimefika 75, imethibitisha Wizara ya Afya ya nchi hiyo.

29 Agosti, 2025
Zaidi ya 6,000 waondoka kambi ya wakimbizi ya Kakuma iliyopo nchini Kenya
Mashirikia ya kibinadamu yameshindwa kutoa chakula kwa idadi kubwa ya wakimbizi kutokana na kupunguzwa kwa ratiba za chakula baada ya kupunguzwa kwa misaada kutoka Marekani na wahisani wengine.

28 Agosti, 2025
Rwanda yapokea wahamiaji waliotimuliwa kutoka Marekani mapema mwezi huu
Rwanda imepokea wahamiaji saba waliotimuliwa kutoka Marekani mapema mwezi huu, msemaji wa serikali alisema kupitia taarifa siku ya Alhamisi, wiki chache baada ya nchi hizo mbili kufikia makubaliano ya kuhamisha hadi watu 250.

28 Agosti, 2025
Wakuu wa jeshi kutoka Somalia na Uturuki watembelea kambi za kijeshi za kupambana na Al-Shabaab
Wakuu hao wa kijeshi walifanya mazungumzo yaliyolenga kutathmini hali ya usalama, mahitaji ya wanajeshi, na mikakati ya kuongeza mashambulizi dhidi ya kundi la kigaidi la Al-Shabaab.

28 Agosti, 2025
Rwanda yapokea kundi la kwanza la wahamiaji kutoka Marekani
Wahamiaji saba wamepewa makazi na Shirika la Kimataifa la Wahamiaji na ndiyo wenye idhini ya kuwatembelea, msemaji wa serikali amesema.



