2 Septemba, 2025

Waziri wa Mambo ya Nje Misri aomba mabadiliko Baraza la Usalama, akemea ‘undumakuwili’ wa Magharibi

Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri ametoa wito wa kufanyiwa mabadiliko Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, akisema lilivyo kwa sasa haliakisi uhalisia wa enzi hizi.

f92051b331f70ad9c4b5425ed8ad36f6a150db11e0098e127d00909e57a9143c

2 Septemba, 2025

Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yaifutia Somalia deni la miaka 38

Somalia imeishkuru Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, ikieleza uamuzi huo kuwa mafanikio ya ”kihistoria”.

59fa571c9620555084bd0f3dcda45ac2147e462f86b1d6593e37e2f2d3139998

2 Septemba, 2025

WHO: Zaidi ya watu bilioni moja wana changamoto ya afya ya akili

Shirika la afya Duniani, WHO, linatoa wito kwa seriklai kuwekeza zaidi katika matibabu ya changamoto ya afya ya akili ambayo bado imekithiri.

1756820669873 17c38l fe4c2a60a125a5ad1f65dd38e30977ef594db827724fb867a8ab85a638c6814b

2 Septemba, 2025

Burkina Faso yapitisha sheria ya kuzuia mapenzi ya jinsia moja

Serikali ya Burkina Faso Jumatatu ilipitisha kwa kauli moja sheria inayozuia mapenzi ya jinsia moja kama sehemu ya mageuzi makubwa ya sheria za familia na uraia.

98f990ddd78d42a0430c72c8df69c02766be01ee589856c24a10ffcec0311f3e

2 Septemba, 2025

Waziri Mkuu wa Ethiopia adai madini ya nchi hiyo yamekuwa yakipotea kupitia Mto Nile

Ethiopia inasema itazindua hivi karibuni bwawa lake kuu, limejengwa kwenye Mto Nile na Serikali inasema lina na uwezo wa kuzalisha megawati 6000 ya umeme ikikamilika

353967ca1b6097e6950ef14685b83350b9388d7cba389b526904ef85b126d4e9

2 Septemba, 2025

Uchumi wa Sudan Kusini taabani huku Sudan ikifunga bomba la mafuta

Wizara ya Nishati na Petroli ya Sudan imeamuru kufungwa kwa dharura kwa vituo vya mafuta katika eneo la Heglig karibu na mpaka na Sudan Kusini kufuatia shambulio la ndege isiyo na rubani mapema Jumamosi.

5de0901f438a695137d9bd94fdbdf8f3858ca520f228008dc6e6e1e5edc72ae2

2 Septemba, 2025

“Afrika inaweza kulisha dunia nzima,” asema Rais wa Senegal

Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, siku ya Jumatatu alisema kuwa Afrika inaweza kulisha dunia nzima, akisisitiza kuwa vijana lazima wawe kiini cha mageuzi ya kilimo.

f50d12a52c3510840790d3ad17ea1422a12fd046ab9890f5f2bc836095f3037c

2 Septemba, 2025

Rais Salva Kiir awafukuza kazi mawaziri wake watatu

Taifa hilo, ambalo lilijitenga kutoka Sudan mwaka 2011, limekumbana na hali ya machafuko kufuatia kuhasimiana kati ya Kiir na Naibu wake, Riek Machar uliopelekea kuanzishwa kwa makubaliano ya kugawana madaraka, mwaka 2018.

ae39cdede3f92c97c8aff0208b3f11e211d95f10b31883cd23fda27502fd434c

2 Septemba, 2025

Zaidi ya 1,000 wafariki katika maporomoko ya ardhi katika kijiji cha Sudan Magharibi

Maporomoko ya ardhi yalitokea Agosti 31 baada ya siku kadhaa za mvua kunyesha, kundi linaloongozwa na Abdelwahid Mohamed Nour lilisema katika taarifa.

1756792144673 2uekrm b2c19a2871f8b64e52babae5458b686636314193de06c78833acae04f3b76b08

2 Septemba, 2025

Guinea inaondoa vikwazo vya vyombo vya habari kabla ya kura ya maoni

Vyombo vya habari vya Guinea vinaweza kutoa sauti kwa vyama vilivyopigwa marufuku kabla ya kura ya maoni ya Septemba, rais wa mdhibiti wa vyombo vya habari nchini humo alisema Jumatatu.

50ddb121fbfd0fc3407d89c8e9fc19007687e26d110de2702d15134de560b3db main
Loading...