13 Februari, 2026

Motsepe: AFCON 2027 itafanyika Afrika Mashariki na si kwingineko

Michuano hiyo inaandaliwa kwa pamoja na Tanzania, Kenya na Uganda.

cc7b868ede290ae5368e2dcd9bdacd81b055b2debd8b11563443d7ff3a7472bd

13 Februari, 2026

Serikali ya DRC yakubali kumaliza mapigano na waasi wa M23

Hata hivyo, hapakuwa na taarifa yoyote kuhusu jambo hilo kutoka kambi ya AFC/M23.

244bd4b93c1cb82b6caa1c86b4c213a55dcafc78b4c975668946e7bddc407c6a

13 Februari, 2026

Afrika Kusini kupeleka jeshi katika kukabiliana na magenge ya uhalifu

Rais Cyril Ramaphosa ameutaja uhalifu wa magenge kuwa tishio kwa maendeleo ya demokrasia na uchumi nchini Afrika Kusini.

9b41cb3c3a3e01563b4f42dab4bea4720a34451a26046e39018cee4f7fd47cce

13 Februari, 2026

Umoja wa Afrika wafurahishwa na mpango wa usitishaji wa mapigano DRC

Mchakato huo wa mazungumzo uliongozwa na Rais wa Togo Faure Essozimna Gnassingbe.

094e046c97c94ab0b4ceef8875d59deace4bbafc22b19d313d506a0514c58d24

12 Februari, 2026

Waziri Mkuu wa Tanzania Mwigulu Nchemba ataka mikakati ya kulinda viwanda vya ndani

Wakati huohuo, Waziri Mkuu huyo wa Tanzania, ameitaka Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania na Vyombo vya ulinzi kuhakikisha hakuna bidhaa za magendo zinazoingia nchini.

630e549622363e586b6c170def37add72c00e9858fb222aa6638b8844165d041

12 Februari, 2026

Wasioendeleza ardhi kwa miaka mitatu Tanzania kunyang’anywa na serikali

Dkt. Akwilapo amesema mwenendo wa kuhodhi maeneo bila ya kuyaendeleza unakwamisha mipango ya maendeleo ya miji na matumizi bora ya ardhi.

dc19d89a383c6abc22712d8db0973a704b528e4dc907328bf40ffedff64e23e4

12 Februari, 2026

Wataka uwajibikaji kwa familia zilizoathirika migodini

Wametaka kuwepo kwa kanuni madhubuti, ufuatiliaji huru na uwajibikaji zaidi kutoka kwa makampuni ya madini na serikali zinazotoa leseni.

3e18b2e704dd950f4a79cc5c954d19f162b5ed692fd4871e8f7bd69904e605bf

12 Februari, 2026

DR Congo yakana kutoa rasilimali zake za madini katika makubaliano ya amani ya Trump

Makubaliano hayo yanawezesha upatikanaji wa shaba, cobalt, coltan na Lithium kwa kampuni za Marekani, lakini Waziri wa Madini wa Congo amesema nchi yake haijauza chochote mpaka sasa.

1770830207256 0ifa1q 1ed891e354294a12ee899609520ae3628fa339143ace023135c68af56e4063d1

11 Februari, 2026

Mchungaji Mackenzie wa Shakahola matatani tena kwa kusababisha vifo vingine 52

Mackenzie alijipatia umaarufu kwa kuwahubiria waumini wake, washinde njaa, na baada ya kufa wakutane na Yesu.

bb673e1cfc44e46376a587e074e0e05a6978f12edde7b627d137c635945b133d

11 Februari, 2026

Shirika la misaada la Uturuki laanzisha mradi wa ufugaji kuku kwa wanawake wa Tanzania

Shirika la TIKA linalenga kuboresha vipato vya wanawake, na kuwajengea uwezo wa kupata vyenye virutubisho vya protini.

8f84513833c897f642a9edfc731fec9062f4afc62561109298761aee5b4ccbb2
Loading...