Waziri Mkuu wa Somalia apongeza uchimbaji mafuta wa ‘kihistoria’ baharini na Uturuki

Barre amepongeza mpango huo wa uchimbaji na Uturuki kama chachu ya ukuaji wa Somalia
16 Februari, 2026
Somalia na Tanzania yakubaliana kuhusu ziara bila viza, na kupata viza mtu anapowasili

Maafisa wanasema makubaliano hayo ya viza, pamoja na mipango ya ndege za mojakwa moja kati ya mataifa hayo mawili yataimarisha biashara, utalii, na masuala ya elimu.
16 Februari, 2026
Wakazi wa Morocco warejea katika mji uliokumbwa na mafuriko

Mvua hizo zimemaliza hali ya miaka saba ya kiangazi.
16 Februari, 2026
RSF yashambulia hospitali Sudan, na kuwaua watu kadhaa

RSF ilifanya mashambulio katika Hospitali ya Al Mazmoum katika jimbo la kusini mashariki la Sennar state, taarifa kutoka kwa Mtandao wa Madaktari wa Sudan zimesema.
16 Februari, 2026

Watu 59 wafariki kufuatia Kimbunga Gezani huku wengine 16000 wakikosa makazi nchini Madagascar

Mgomo wa wafanyakazi wadumaza safari za ndege katika Uwanja Mkuu wa Jomo Kenyatta, Kenya

Nigeria, Angola wanakubaliana kuondoa visa kwa mabalozi

Umoja wa Afrika wataka kukomeshwa kwa mauaji ya Wapalestina

China kuziondolea ushuru nchi za Afrika ifikapo mwezi Mei
13 Februari, 2026
Motsepe: AFCON 2027 itafanyika Afrika Mashariki na si kwingineko
Michuano hiyo inaandaliwa kwa pamoja na Tanzania, Kenya na Uganda.

13 Februari, 2026
Serikali ya DRC yakubali kumaliza mapigano na waasi wa M23
Hata hivyo, hapakuwa na taarifa yoyote kuhusu jambo hilo kutoka kambi ya AFC/M23.

13 Februari, 2026
Afrika Kusini kupeleka jeshi katika kukabiliana na magenge ya uhalifu
Rais Cyril Ramaphosa ameutaja uhalifu wa magenge kuwa tishio kwa maendeleo ya demokrasia na uchumi nchini Afrika Kusini.

13 Februari, 2026
Umoja wa Afrika wafurahishwa na mpango wa usitishaji wa mapigano DRC
Mchakato huo wa mazungumzo uliongozwa na Rais wa Togo Faure Essozimna Gnassingbe.

12 Februari, 2026
Waziri Mkuu wa Tanzania Mwigulu Nchemba ataka mikakati ya kulinda viwanda vya ndani
Wakati huohuo, Waziri Mkuu huyo wa Tanzania, ameitaka Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania na Vyombo vya ulinzi kuhakikisha hakuna bidhaa za magendo zinazoingia nchini.

12 Februari, 2026
Wasioendeleza ardhi kwa miaka mitatu Tanzania kunyang’anywa na serikali
Dkt. Akwilapo amesema mwenendo wa kuhodhi maeneo bila ya kuyaendeleza unakwamisha mipango ya maendeleo ya miji na matumizi bora ya ardhi.

12 Februari, 2026
Wataka uwajibikaji kwa familia zilizoathirika migodini
Wametaka kuwepo kwa kanuni madhubuti, ufuatiliaji huru na uwajibikaji zaidi kutoka kwa makampuni ya madini na serikali zinazotoa leseni.

12 Februari, 2026
DR Congo yakana kutoa rasilimali zake za madini katika makubaliano ya amani ya Trump
Makubaliano hayo yanawezesha upatikanaji wa shaba, cobalt, coltan na Lithium kwa kampuni za Marekani, lakini Waziri wa Madini wa Congo amesema nchi yake haijauza chochote mpaka sasa.

11 Februari, 2026
Mchungaji Mackenzie wa Shakahola matatani tena kwa kusababisha vifo vingine 52
Mackenzie alijipatia umaarufu kwa kuwahubiria waumini wake, washinde njaa, na baada ya kufa wakutane na Yesu.

11 Februari, 2026
Shirika la misaada la Uturuki laanzisha mradi wa ufugaji kuku kwa wanawake wa Tanzania
Shirika la TIKA linalenga kuboresha vipato vya wanawake, na kuwajengea uwezo wa kupata vyenye virutubisho vya protini.


