5 Septemba, 2025

Watoto 200 wafariki katika maporomoko ya ardhi Sudan – shirika la misaada

Shirika la Save the Children linasema watu 150, ikiwemo watoto 40, wamenusurika na wanatibiwa kwa sasa.

65f45de378c2ca071d50cfda13b017ed38f76a6a483a48c1cdf3033e098a05e7

5 Septemba, 2025

Mlipuko wa Mpox Afrika siyo suala la dharura duniani tena – WHO

Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema kuwa kikosi kazi cha dharura kilichoundwa baada ya mlipuko kimeshauri kuwa hali hiyo siyo ya dharura ya kimataifa tena

2b89edc7bed42851984308029029ced4c47ba8cbf3f8d110202c1ece4653e76d

5 Septemba, 2025

Waasi wa Sudan wametekeleza uhalifu dhidi ya binadamu katika mji wa El-Fasher – Umoja wa Mataifa

Uhalifu dhidi ya binadamu wa wapiganaji wa RSF ni pamoja na mauaji ya halaiki, dhulma za ngono, uporaji, na uharibifu wa maisha ya watu, wakati mwingine ikiwa pamoja na mateso na uangamizaji.

6b16cd7b7fcf30d13bd5e5ee135f93e0bad0484361c871f343e77b6c76243105

5 Septemba, 2025

Maulidi yaadhimishwa kwa sherehe kubwa Somalia

Somalia imetangaza siku ya Maulidi kuwa sikukuu ya kitaifa ili kuimarisha sherehe hizo, huku mikusanyiko ikiwa mikubwa zaidi kuliko miaka ya nyuma kutokana na hali bora ya usalama.

85624285336a8a6744ed6487b4ba51216ec78b0ec0ca9fa6865f6e90499b095a

4 Septemba, 2025

Zaidi ya miili 370 yapatikana baada ya maporomoko ya ardhi eneo la Darfur, Sudan

Zaidi ya watu 1,000 wamefariki katika kijiji kimoja eneo la Kati la Jimbo la Darfur baada ya maporomoko ya ardhi yaliyosababishwa na mvua kubwa

d225861066cb321036bbb140d46695e033d61d6ee6b5637698067d551cbf066d

4 Septemba, 2025

DRC, Rwanda yasisitiza makubaliano ya amani katika mkutano wa pili Marekani

Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetangaza kuwa maafisa wa DRC na Rwanda wamekutana jijini Washington, DC siku ya Jumatano kwa mkutano wa pili wa ufuatiliaji.

b73a60ff82a342221163a9f75d72e43ebd9e4745d2d0b38eb074dfb59687d550

4 Septemba, 2025

DRC yatangaza mlipuko mwingine wa Ebola, watu 15 wafariki

Maambukizi 28 yameripotiwa katika mkoa wa Kasai, huku vifo vikiwa asilima 57 vilivyothibitishwa na taasisi ya utafiti ya kitaifa, amesema Waziri wa Afya Roger Kamba

899f47506a8f22f15467513a7466a3be26e415ea6a3a33d52176c86af72177cc

4 Septemba, 2025

Boko Haram: Mashambulizi ya angani Nigeria yawaua magaidi zaidi ya 15 katika msitu

Mashambulizi ya angani yamelenga eneo jipya la magaidi magharibi mwa Zuwa katika sehemu ya Sambisa, anasema msemaji wa Jeshi la Anga la Nigeria

543d8e94b4a7d3f6ee12644729ca1b1ca7a70c79467450c48e0b0a937c02a2a9

4 Septemba, 2025

CHAUMMA wajinadi na sera ya mabadiliko

Chama hicho cha upinzani kimeendelea kuomba ridhaa ya kuiongoza Tanzania, siku sita toka kuanza kwa kampeni za nchi nzima kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.

7d532b1733299b614755261756fffa19b8a9d61eed91d8a04fb654a8eb94fbb7

4 Septemba, 2025

Papa Leo XIV atoa wito wa kusitishwa kwa ‘janga la kibinadamu’ Sudan

Ni wakati wa kuanzisha mazungumzo ya kina, ya dhati na jumuishi ili kumaliza mzozo huo,” Papa anasema.

vatican pope 58290
Loading...