Misri imerejelea wito kwa Israel kukubali pendekezo la kusitisha mapigano Gaza

Misri imewataka Israeli tena kukubali mapendekezo ya mara kwa mara ya kusimamisha vita katika Ghaza, huku ikiwakashifu kwa nguvu uvamizi unaoendelea wa Israeli dhidi ya Wapalestina.
8 Septemba, 2025
Waasi wa M23 wauteka tena mji wa mashariki mwa DRC huku mazungumzo ya amani yakikwama

Waasi wa M23 wameuteka tena mji wa Shoa katika jimbo la Kivu Kaskazini nchini DRC baada ya mapigano na vikosi vinavyounga mkono serikali, wakaazi walisema Jumapili.
8 Septemba, 2025
Balozi wa Somalia nchini Syria awasilisha hati za utambulisho kwa kiongozi wa Syria

Balozi mteule wa Somalia nchini Syria amewasilisha hati zake za utambulisho kwa Rais Ahmad al-Sharaa.
8 Septemba, 2025
Sudan Kusini yamrejesha Mexico mhamiaji waliyempokea kutoka Marekani

Sudan Kusini inasema Mexico ilikuwa imetoa hakikisho kwamba aliyefukuzwa hatakabiliwa na mateso.
7 Septemba, 2025

Watoto kati ya 11 waliotoweka baada ya kiboko kupindua mashua nchini Côte d’Ivoire

Jamii forums yafungiwa kwa siku 90 kwa ‘kudhalilisha serikali na Rais’ wa Tanzania

Watu sita wamefariki na wengine 20 wanaswa kwenye mgodi wa dhahabu ulioporomoka Sudan

Trump kutohudhuria mkutano wa G20 nchini Afrika Kusini, na badala yake kumtuma makamu, Vance

Marekani inaibadilisha Uganda na Eswatini kumhamishia mhamiaji mwenye utata, Garcia
5 Septemba, 2025
Watoto 200 wafariki katika maporomoko ya ardhi Sudan – shirika la misaada
Shirika la Save the Children linasema watu 150, ikiwemo watoto 40, wamenusurika na wanatibiwa kwa sasa.

5 Septemba, 2025
Mlipuko wa Mpox Afrika siyo suala la dharura duniani tena – WHO
Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema kuwa kikosi kazi cha dharura kilichoundwa baada ya mlipuko kimeshauri kuwa hali hiyo siyo ya dharura ya kimataifa tena

5 Septemba, 2025
Waasi wa Sudan wametekeleza uhalifu dhidi ya binadamu katika mji wa El-Fasher – Umoja wa Mataifa
Uhalifu dhidi ya binadamu wa wapiganaji wa RSF ni pamoja na mauaji ya halaiki, dhulma za ngono, uporaji, na uharibifu wa maisha ya watu, wakati mwingine ikiwa pamoja na mateso na uangamizaji.

5 Septemba, 2025
Maulidi yaadhimishwa kwa sherehe kubwa Somalia
Somalia imetangaza siku ya Maulidi kuwa sikukuu ya kitaifa ili kuimarisha sherehe hizo, huku mikusanyiko ikiwa mikubwa zaidi kuliko miaka ya nyuma kutokana na hali bora ya usalama.

4 Septemba, 2025
Zaidi ya miili 370 yapatikana baada ya maporomoko ya ardhi eneo la Darfur, Sudan
Zaidi ya watu 1,000 wamefariki katika kijiji kimoja eneo la Kati la Jimbo la Darfur baada ya maporomoko ya ardhi yaliyosababishwa na mvua kubwa

4 Septemba, 2025
DRC, Rwanda yasisitiza makubaliano ya amani katika mkutano wa pili Marekani
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetangaza kuwa maafisa wa DRC na Rwanda wamekutana jijini Washington, DC siku ya Jumatano kwa mkutano wa pili wa ufuatiliaji.

4 Septemba, 2025
DRC yatangaza mlipuko mwingine wa Ebola, watu 15 wafariki
Maambukizi 28 yameripotiwa katika mkoa wa Kasai, huku vifo vikiwa asilima 57 vilivyothibitishwa na taasisi ya utafiti ya kitaifa, amesema Waziri wa Afya Roger Kamba

4 Septemba, 2025
Boko Haram: Mashambulizi ya angani Nigeria yawaua magaidi zaidi ya 15 katika msitu
Mashambulizi ya angani yamelenga eneo jipya la magaidi magharibi mwa Zuwa katika sehemu ya Sambisa, anasema msemaji wa Jeshi la Anga la Nigeria

4 Septemba, 2025
CHAUMMA wajinadi na sera ya mabadiliko
Chama hicho cha upinzani kimeendelea kuomba ridhaa ya kuiongoza Tanzania, siku sita toka kuanza kwa kampeni za nchi nzima kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.

4 Septemba, 2025
Papa Leo XIV atoa wito wa kusitishwa kwa ‘janga la kibinadamu’ Sudan
Ni wakati wa kuanzisha mazungumzo ya kina, ya dhati na jumuishi ili kumaliza mzozo huo,” Papa anasema.



