10 Septemba, 2025

Rwanda kubadilisha sheria ya matumizi ya barabara

Sheria iliyopo ya barabarani, iliyotungwa mwaka 1987, inaonekana kama imepitwa na wakati hivyo haiendani na hali halisi ya matumizi ya sasa ya barabara, kwa mujibu wa maelezo yanayoambatana na muswada huo mpya.

2025 05 15t094411z 1 lynxmpel4e0fy rtroptp 3 migration britain rwanda

10 Septemba, 2025

Misri inapinga kuanzishwa kwa bwawa la Ethiopia, inaandika kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa

Misri imesema kuwa imewasilisha barua kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ikionya dhidi ya uendeshaji wa Ethiopia wa bwawa lake jipya , ikielezea hatua hiyo kama “ukiukaji” wa sheria za kimataifa.

2025 09 09t110008z 1 lynxnpel880gd rtroptp 3 ethiopia dam main

10 Septemba, 2025

Meli ya msaada ya Tunisia inayoelekea Gaza inaripoti shambulio la pili la ndege isiyo na rubani

“Boti nyingine imegongwa katika shambulio linaloshukiwa kuwa la ndege isiyo na rubani. Hakuna majeraha yaliyoripotiwa. Taarifa zitafuata hivi karibuni,” flotilla inasema.

a113784793bcd6988721afe46368807b0f1eb5f56f086c239b09ab4fe90d54f3

9 Septemba, 2025

Samia: Chagueni mafiga matatu

Uchaguzi Mkuu nchini Tanzania, unatarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025, huku CCM kikimsimamisha kwa mara ya kwanza, mgombea mwanamke katika nafasi ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

5bf9c2e40bb3e24a0d6d7524440a1a0a015a53d74fa64bbdb9f279f3a1d214da

9 Septemba, 2025

Gombo wa CUF aahidi ‘kuwapunguzia’ Watanzania makali ya maisha

Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu wake Oktoba 29, 2025.

dc955f2daa7da0a15174b26d5565b1456232971ffe3abb25370c5954bac463a3 main

9 Septemba, 2025

Mgombea Urais aahidi kufuga mamba Ikulu

Kwa mujibu wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania (INEC), jumla ya vyama vya siasa 18 vitashiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, huku vyama 17 vikisimamisha wagombea Urais.

fdbc6350e3ce87f8f07b6214e1d1705fa61972232aed0c2143d3c39853c6a27d

9 Septemba, 2025

ICC kuwasilisha ushahidi kesi ya uhalifu wa kivita dhidi ya Joseph Kony wa Uganda

Kinachojulikana kama uthibitisho wa kusikilizwa kwa mashtaka kinakuja miongo miwili baada ya ICC kutoa hati ya kukamatwa kwa Joseph Kony kwa madai ya uongozi wake wa kundi la kikatili la waasi.

uganda joseph kony explainer 72837

9 Septemba, 2025

Ethiopia yazindua bwawa kubwa la kuzalisha umeme kwa maji licha ya upinzani mkali wa Misri

Utafiti huru unaonyesha kuwa kufikia sasa, hakuna usumbufu mkubwa wa mtiririko wa maji uliorekodiwa – kwa sehemu kutokana na mvua nzuri na kujazwa kwa uangalifu kwa hifadhi wakati wa misimu ya mvua katika kipindi cha miaka mitano.

1757395670624 f5rdw dc312a84bc63b69e3f9fa0ccea54f05eca2de65066ff5da6554edca7da05f7be

8 Septemba, 2025

Afrika yatoa wito wa uwezkezaji katika sekta ya hali ya hewa na suluhisho zinazoongozwa na Afrika

Mkutano wa siku tatu wenye kaulimbiu “Kukuza Haraka Suluhisho za Hali ya Hewa Duniani: Ufadhili kwa Maendeleo Endelevu na Yenye Mazingira Safi Afrika” ulianza kwa sherehe ya kupanda miti katika viwanja vya ukumbi wa mkutano.

1757349012951 cc5vlm 0cf1ff2a93e58b5199868701b7329f9995b94f0c61a8bc305cac4bf528c0405e

8 Septemba, 2025

Mahakama ya ICC kuanza kusikiliza kesi ya Joseph Kony

Kony anakabiliwa na mashitaka 39 ya uhalifu wa kivita na dhidi ya ubinadamu, yakiwemo mauaji, ubakaji, utumwa wa kingono, na utekaji wa watoto.

1a8acee114c59c12b7c68a3483b8f2ee3e5cef1bdc00dd176f7bc7268268daa1
Loading...