Tanzania yawashtaki watu 98 kwa uhaini

Miongoni walioshikwa ni mfanyabiashara, Jenifer Bilikwiza Jovin almaarufu Niffer amefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam leo Ijumaa.
7 Novemba, 2025
Rais Ruto atoa wito wa kuachiliwa kwa Wakenya wanaoshikiliwa Ukraine

Rais wa Kenya William Ruto atoa wito wa kuachiliwa kwa Wakenya wanaoshikiliwa nchini Ukraine baada ya kufanya maongezi ya simu na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky.
7 Novemba, 2025
Paul Biya, kiongozi mkongwe zaidi duniani, aapishwa kuwa Rais wa Cameroon

Paul Biya, kiongozi mkongwe zaidi duniani, mwenye umri wa miaka 92 ameapishwa kuwa Rais wa Cameroon kwa muhula wa nane.
7 Novemba, 2025
Kenya yathibitisha kuuwawa kwa mwalimu Mkenya Tanzania

John Okoth Ogutu, Mkenya mwenye umri wa miaka 33 aliyeishi Tanzania kwa zaidi ya miaka kumi, amethibitishwa kuuwawa kwa risasi wakati wa machafuko yaliyotokea Dar es Salaam baada ya uchaguzi.
7 Novemba, 2025

Hamas warudisha mwili wa Mtanzania Joshua Loitu Mollel

Malawi yapiga marufuku usafirishaji wa mazao kuimarisha usalama wa chakula

Mahakama ya ICC yathibitisha mashitaka dhidi ya Joseph Kony wa Uganda

Kenya: Kampuni ya Safaricom yapata faida zaidi

Benki Kuu ya Sudan yaondoa marufuku ya dhahabu kutouzwa nje ya nchi
5 Novemba, 2025
Tanzania: Bei ya Petroli yabakia pale pale
Gharama hiyo ni sawa na ile iliyokuwa ikitumika kwa kipindi cha kuishia Oktoba 31, 2025.

5 Novemba, 2025
‘Karibuni Tanzania, ipo salama’, yasema Wizara ya Utalii
Hakikisho hilo linafuatia vurugu zilizoibuka wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 na kusabisha vifo vya watu, majeruhi na uharibu wa mali.

5 Novemba, 2025
Zohran Mamdani mazaliwa Uganda achaguliwa kuwa Meya wa mji wa New York
Zohran Mamdani,mwenye umri wa miaka 34 na anayejitambulisha kama msoshalisti, amechaguliwa kuwa Meya wa mji wa New York.

5 Novemba, 2025
Mwalimu Mkenya aripotiwa kuuwawa Tanzania
John Okoth Ogutu, Mkenya mwenye umri wa miaka 33 aliyeishi Tanzania kwa zaidi ya miaka kumi, ameripotiwa kuuawa kwa risasi wakati wa machafuko yaliyotokea Dar es Salaam baada ya uchaguzi.

4 Novemba, 2025
Tanzania: Chama Cha Mapinduzi (CCM) chatangaza nafasi za kuwania Uspika bara na visiwani
Hatua hiyo inakuja siku moja baada ya kuapishwa wa Samia Suluhu Hassan kama rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kufuatia ushindi wake wa kiti hicho katika uchaguzi wa Oktoba 29, 2025.

4 Novemba, 2025
Hemed Suleiman ‘Morocco’ kutoipeleka Tanzania AFCON Morocco
Nafasi ya kocha huyo kwa sasa inachukuliwa na mzawa Miguel Gamondi, raia wa Argentina ambaye alikuwa akiifundisha Singida Big Stars ya nchini Tanzania.

4 Novemba, 2025
Kiongozi wa kijeshi Guinea atangaza kugombea urais
Kiongozi wa utawala wa kijeshi nchini Guinea amewasilisha rasmi jina lake kugombea urais katika uchaguzi wa Disemba, akibatilisha ahadi yake ya awali kwamba hatagombea baada ya kuongoza mapinduzi miaka minne iliyopita.

4 Novemba, 2025
Huduma za Intaneti zarejea tena nchini Tanzania
Samia Suluhu Hassan alitangazwa mshindi katika uchaguzi wa urais wa Tanzania na kupata muhula mwingine licha ya ghasia zilizoshuhudiwa nchini humu.

2 Novemba, 2025
RSF iliwaua wanawake 300, kubaka 25 katika saa 48 za kwanza Al Fasher: waziri wa Sudan
Wanawake ”wamedhalilishwa kingono, vurugu, na mateso” na RSF, ikiwemo waandishi wa habari wa kike, waziri wa nchi masuala ya jamii amesema.

1 Novemba, 2025
Jeshi la Guinea-Bissau lasema limetibua jaribio la mapinduzi lilohusisha maafisa kadhaa
Maafisa waliokamatwa kwa madai ya kuhusiska na jaribio hilo, wanahojiwa kwa sawa, naibu mkuu wa majeshi amesema



