DR Congo, M23 wasaini makubaliano ya amani ‘ya kihistoria’ nchini Qatar

Qatar imeandaa vikao vya moja kwa moja kadhaa kati ya serikali ya DRC na M23.
15 Novemba, 2025
Baraza la Maaskofu Tanzania lataka uwajibikaji kwa waliohusika na mauaji ya waandamanaji

Maaskofu wa Tanzania wamelaani mauaji hayo na kuitisha uchunguzi unaoshirikisha wadau wa ndani na wa nje huku wakiiomba serikali iwe tayari kutekeleza ripoti itakayotolewa
15 Novemba, 2025
Baraza la usalama la UN laongezea mwaka mmoja ujumbe wa amani wa Abyei

Azimio, lililoandikwa na Marekani, lilipata kura 12 huku mataifa mengi wanachama yakiibua wasiwasi kuhusu lugha mpya ya mamlaka ya ujumbe huo
15 Novemba, 2025
Kiongozi wa zamani wa waasi wa DRC anayeshtakiwa Paris kwa uhalifu wa kivita aanza mgomo wa kula

Roger Lumbala, aliyekuwa kiongozi wa waasi ameshtakiwa kwa “njama ya uhalifu kuandaa uhalifu dhidi ya ubinadamu” na “ushirikiano wa uhalifu dhidi ya ubinadamu” wakati wa vita kutoka 1998 hadi 2003.
15 Novemba, 2025

UN yaagiza uchunguzi wa dharura ufanyike kuhusu ukiukaji wa sheria katika Al Fasher ya Sudan

Rais wa Tanzania atangaza uchunguzi kuhusu mauaji ya waandamanaji katika uchaguzi

Wakimbizi 57,000 wamewasili kaskazini mwa Sudan baada ya mashambulizi ya RSF huko Darfur, Kordofan

Afrika Kusini yaruhusu kuingia kwa wakimbizi zaidi ya 150 kutoka Gaza, Palestina

Afrika yakumbwa na mlipuko wa kipindupindu mbaya zaidi katika miaka 25
13 Novemba, 2025
Mataifa ya G7 walaani mashambulizi ya RSF dhidi ya raia Sudan, watoa wito wa kusitishwa mapigano
Mawaziri wa mambo ya nje wa matafia ya G7 Jumatano wamelaani vikali mashambulizi wanayoyaita “ya kikabila” yanayotekelezwa na wapiganaji wa RSF dhidi ya raia na wafanyakazi wanaotoa misaada katika miji ya El-Fasher na Kordofan Kaskazini.

13 Novemba, 2025
Wakenya zaidi ya 200 wajiunga na jeshi la Urusi
Serikali ya Kenya imesema zaidi ya raia wake 200 wamejiunga na jeshi la Urusi katika vita vinayvoendelea kati ya Urusi na Ukraine, na kwamba mashirika ya ajira bado yanaendelea kutafuta Wakenya zaidi kujiunga katika mapigano.

13 Novemba, 2025
AU yakanusha tuhuma za Trump kuhusu mauaji ya halaiki Nigeria
Rais wa Marekani, Donald Trump, amedai ya kwamba Wakristo wengi wanauawa nchini Nigeria, na hivyo kutishia kuwashambulia kundi la kigaidi linalotekeleza mauaji hayo.

13 Novemba, 2025
Mwigulu Nchemba ateuliwa Waziri Mkuu Tanzania
Daktari Mwigulu Nchemba anachukua nafasi ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa.

12 Novemba, 2025
Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amfuta kazi makamu wake
Bol Mel aliteuliwa mwezi Februari mwaka huu kama mmoja kati ya mamakamu 5 wa urais nchini humo.

12 Novemba, 2025
Duma wa Botswana aipa India zawadi ya duma 8
Kulingana na Rais Boko Duma wa Botswana, uamuzi huo unalenga kuhuisha idadi ya wanyamapori hao nchini India.

12 Novemba, 2025
Kesi ya Roger Lumbala wa DRC yaanza kusikilizwa
Serikali ya DRC ilitoa hati yake ya kukamatwa kwake mwaka 2011 baada ya kuhusishwa na kukiunga mkono kikundi cha waasi cha M23, na kulazimika kukimbilia nchini Ufaransa.

12 Novemba, 2025
Kesi za ubakaji, watoto kupotea zaripotiwa Darfur, Sudan – Umoja wa Mataifa
Wanawake wanaokimbia mji wa al-Fashir nchini Sudan wameripoti mauaji, ubakaji wa kimfumo na kupotea kwa watoto wao baada ya mji huo kutekwa na wapiganaji wa RSF, kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya wanawake.

12 Novemba, 2025
Libya yatakiwa kufunga vituo vya kuwazuilia wahamiaji katika mkutano wa Umoja wa Mataifa
Libya imetakiwa na Umoja wa Mataifa siku ya Jumanne kufunga vituo vya kuwazuiliia wahamiaji ambapo mashirika ya haki za binadamu yanasema wahamiaji na wakimbizi wamekuwa wakiteswa, kunyanyaswa na wakati mwingine kuuawa.

12 Novemba, 2025
Rais Museveni aonya kuzuka kwa vita endapo nchi za Afrika zitashindwa kufikia Bahari ya Hindi
Katika kauli iliyotafsiriwa kama onyo lililolenga nchi jirani, Rais Yoweri Museveni ameonya kuhusu uwezekano wa kutokea kwa vita katika siku zijazo endapo nchi za Afrika ambazo hazina bandari zitaendelea kunyimwa haki ya kufikia Bahari ya Hindi.



