13 Novemba, 2025

Mataifa ya G7 walaani mashambulizi ya RSF dhidi ya raia Sudan, watoa wito wa kusitishwa mapigano

Mawaziri wa mambo ya nje wa matafia ya G7 Jumatano wamelaani vikali mashambulizi wanayoyaita “ya kikabila” yanayotekelezwa na wapiganaji wa RSF dhidi ya raia na wafanyakazi wanaotoa misaada katika miji ya El-Fasher na Kordofan Kaskazini.

a1814576f813db284fc0e788fda2dce46d0414fbfcb2c4db30c78fd0e2a1f783

13 Novemba, 2025

Wakenya zaidi ya 200 wajiunga na jeshi la Urusi

Serikali ya Kenya imesema zaidi ya raia wake 200 wamejiunga na jeshi la Urusi katika vita vinayvoendelea kati ya Urusi na Ukraine, na kwamba mashirika ya ajira bado yanaendelea kutafuta Wakenya zaidi kujiunga katika mapigano.

c5d49a484e9f74f0de0aa0e0d99c7736f247a364716cc8a04a989354b2a9c4e5 main

13 Novemba, 2025

AU yakanusha tuhuma za Trump kuhusu mauaji ya halaiki Nigeria

Rais wa Marekani, Donald Trump, amedai ya kwamba Wakristo wengi wanauawa nchini Nigeria, na hivyo kutishia kuwashambulia kundi la kigaidi linalotekeleza mauaji hayo.

1763028510401 e44bpk 3f3420e07eb2cc19965076d11badb0c5f3aa443acb03a9224afd8e0b61b11b19 main

13 Novemba, 2025

Mwigulu Nchemba ateuliwa Waziri Mkuu Tanzania

Daktari Mwigulu Nchemba anachukua nafasi ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa.

daf398b3957d34928fe68242775f8a22b91ca52ea20a8a0c40531c2513441709

12 Novemba, 2025

Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amfuta kazi makamu wake

Bol Mel aliteuliwa mwezi Februari mwaka huu kama mmoja kati ya mamakamu 5 wa urais nchini humo.

1990ce04b841b8febd310f224ef1d862a4256872cebc6ff99ae0c9cf87410310

12 Novemba, 2025

Duma wa Botswana aipa India zawadi ya duma 8

Kulingana na Rais Boko Duma wa Botswana, uamuzi huo unalenga kuhuisha idadi ya wanyamapori hao nchini India.

bc3fe30ef585d6478c03fc892aa5013aef7656e79cd506f2d4c4466110ca1848

12 Novemba, 2025

Kesi ya Roger Lumbala wa DRC yaanza kusikilizwa

Serikali ya DRC ilitoa hati yake ya kukamatwa kwake mwaka 2011 baada ya kuhusishwa na kukiunga mkono kikundi cha waasi cha M23, na kulazimika kukimbilia nchini Ufaransa.

15dd7113ac49c2afcd199538cb3883a2af9c68d58e6d862ee12cce3a3cf57ebc

12 Novemba, 2025

Kesi za ubakaji, watoto kupotea zaripotiwa Darfur, Sudan – Umoja wa Mataifa

Wanawake wanaokimbia mji wa al-Fashir nchini Sudan wameripoti mauaji, ubakaji wa kimfumo na kupotea kwa watoto wao baada ya mji huo kutekwa na wapiganaji wa RSF, kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya wanawake.

c5a34c1413ccb4f1866706b394f1c6895b4f3e528331edc0f5655bf52ecf7cad

12 Novemba, 2025

Libya yatakiwa kufunga vituo vya kuwazuilia wahamiaji katika mkutano wa Umoja wa Mataifa

Libya imetakiwa na Umoja wa Mataifa siku ya Jumanne kufunga vituo vya kuwazuiliia wahamiaji ambapo mashirika ya haki za binadamu yanasema wahamiaji na wakimbizi wamekuwa wakiteswa, kunyanyaswa na wakati mwingine kuuawa.

1762938528624 clangi 8454c0b8fe4a5fe9eb3dde8db0a2b396efbc07a8c1065deedbf556eee2e1b1ac

12 Novemba, 2025

Rais Museveni aonya kuzuka kwa vita endapo nchi za Afrika zitashindwa kufikia Bahari ya Hindi

Katika kauli iliyotafsiriwa kama onyo lililolenga nchi jirani, Rais Yoweri Museveni ameonya kuhusu uwezekano wa kutokea kwa vita katika siku zijazo endapo nchi za Afrika ambazo hazina bandari zitaendelea kunyimwa haki ya kufikia Bahari ya Hindi.

29cf5ee705f03d7629c5e55219272a9348fe86a198e015b955038865a676ec9c main
Loading...