26 Novemba, 2025

Jeshi lasitisha mchakato wa uchaguzi nchini Guinea-Bissau, latangaza kuchukua udhibiti

Maafisa wa jeshi wanaojiita “Uongozi wa Juu wa Kijeshi kwa Marejesho ya Utulivu” wamesitisha uchaguzi, vipindi vya vyombo vya habari, huku wakilitaka taifa “liwe na utulivu,” kwa mujibu wa chombo cha habari cha serikali.

b68714857c5bd422cc926a868a4e9ab37cff4332815464383ed1d9cb5723e1ad main

26 Novemba, 2025

Hatimaye mlipuko wa volkano ya Hayli Gubbi ya Ethiopia wapungua

Huu ni mlipuko wa kwanza uliorekodiwa wa Hayli Gubbi katika miaka 10,000 iliyopita,” aliambia, na Inawezekana itaendelea kwa muda mfupi na kisha itasimama hadi mzunguko unaofuata.

9ee701f8797de9b4d6127d9cf7e143289123fda28d478e52931716d2630bb9dd

26 Novemba, 2025

Jeshi la Sudan linasema kuwa limezuia mashambulizi ya RSF kwenye mji muhimu

Jeshi la Sudan lilisema siku ya Jumanne kuwa limezuia mashambulizi ya Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) kwenye mji wa kimkakati wa Kordofan kusini, siku moja baada ya RSF kutangaza kusitisha mapigano kwa muda wa miezi mitatu kwa upande mmoja.

26caaa31e3b7309c81a55b3b85de57e2f14e3e7f08ce958314ff4f62b1335bc3 main

26 Novemba, 2025

Kampuni ya mafuta ya serikali ya Uganda yagundua hifadhi mpya ‘muhimu’

Kampuni ya Kitaifa ya Mafuta ya Uganda (UNOC) inayomilikiwa na serikali imetambua visima tisa vya mafuta katika mtaa wa Kasuruban na “akiba mpya ya mafuta ghafi”, ilisema Jumanne.

2025 11 24t023008z 1 lynxmpelan02p rtroptp 3 usa oil permian main

25 Novemba, 2025

Wasichana wa shule waliotekwa Nigeria wameachiwa huru

Wasichana 24 waliotekwa katika shule kaskazini-magharibi mwa Nigeria wiki iliyopita wameachiwa huru, msemaji wa gavana wa jimbo la Kebbi alisema siku ya Jumanne.

380f676a0a49d88a00f529d6ef5b11f8385374e872a445160c95761b6bfc3b32 main

25 Novemba, 2025

Watu 10 zaidi watekwa nyara Nigeria

Watekaji nyara wamewateka wanawake na watoto 10 katika tukio jipya la utekaji nyara nchini Nigeria, polisi wamesema siku ya Jumanne.

fe0efa58585fc9ee6826de4662f58d76abebcf0ff972cebeaffd28d1e558dac9

25 Novemba, 2025

Wafuasi 300 wa upinzani wamekamatwa wakati wa kampeni nchini Uganda

Vyombo vya usalama nchini Uganda vimewakamata wafuasi na maafisa zaidi ya 300 kutoka chama cha mgombea wa urais wa upinzani Bobi Wine tangu kampeni za uchaguzi wa Januari kuanza mwezi uliopita, alisema msemaji wa chama hicho Jumanne.

2aca7458998ef2bd59e19f7f2e275cf6b4ffb3b40af20e1bad991c66e972766f main

25 Novemba, 2025

Ndege iliyobeba msaada wa chakula yaanguka Sudan Kusini, watatu wafariki

Ndege iliyokuwa ikisafirisha msaada wa chakula kwa shirika la kimataifa la Samaritan Purse ilianguka katika Jimbo la Unity nchini Sudan Kusini siku ya Jumanne, wafanyakazi wake wote watatu wamefariki, afisa wa shirika hilo amesema.

307c008c3bf4c3cfe9281a150090ce322054616f1bdafa473d4734dfce59b11e main

25 Novemba, 2025

Mwanajeshi wa zamani wa Uingereza anayesakwa nchini Kenya kwa mauaji anyimwa dhamana

Mwili wa Wanjiru ulipatikana kwenye tanki la maji taka katika Hoteli ya Lion’s Court katika mji wa Nanyuki nchini Kenya mnamo Juni 2012. Wanjir alionekana mara ya mwisho akiwa na kundi la wanajeshi wa Uingereza usiku wa Machi 31 na Aprili 1, 2012.

60522c5bf3a6e891a05c627809e8bbc6b4b6657cdb1505700773f93518353e48

25 Novemba, 2025

Marekani yaondoa ushuru wa 15% kwa kakao ya Ghana, mauzo ya nje

Ghana imepata uthibitisho rasmi kutoka Marekani kwamba Washington imeondoa kikamilifu ushuru wa asilimia 15 uliowekwa kwa mauzo ya nje ya kakao na mazao mengine katika taifa hilo la Afrika Magharibi.

2025 10 14t045126z 1912746654 rc2dbhaal9wm rtrmadp 3 china ghana main
Loading...