30 Novemba, 2025

Serikali ya Sudan inaonyesha utayari wa kufanya kazi na Umoja wa Mataifa ili kuhakikisha amani

Serikali ya Sudan imeonyesha nia yake ya kufanya kazi na kushirikiana na Umoja wa Mataifa ili kufikia amani na usalama nchini na kuhakikisha utoaji wa msaada wa kibinadamu.

eb313ece4133ed5e3b01deaaa24c42388635464db4d7d4bf658a7e0a39bfb8d9 main

30 Novemba, 2025

Watawala wa kijeshi wa Guinea-Bissau wateua maafisa watano wa jeshi kwa serikali

Watawala wa kijeshi wa Guinea-Bissau waliunda serikali siku ya Jumamosi siku kadhaa baada ya kuchukua madaraka kwa mapinduzi, wakati Rais aliyepinduliwa Umaro Sissoco Embalo akiwasili katika mji mkuu wa Jamhuri ya Congo Brazzaville.

2025 11 27t192321z 1 lynxmpelaq0ww rtroptp 3 bissau security army main

30 Novemba, 2025

Marais wa DRC, Rwanda kutia saini mkataba wa amani mjini Washington wiki ijayo

Marais wa DRC na Rwanda watasafiri hadi Washington wiki ijayo kutia saini mkataba wa amani na kukutana na Rais wa Marekani Donald Trump, vyanzo vitatu vimeiambia Reuters.

71513d56fd213a7546d14c999754bdbb865259953b4939dabd9be7dcfce08027 main

30 Novemba, 2025

KWS imekanusha madai kuwa ujenzi wa hoteli umevuruga uhamaji wa nyumbu katika Maasai Mara

Hoteli hii ndiyo kielelezo cha hivi punde zaidi katika mpasuko mpana zaidi wa sekta ya utalii wa wanyamapori Afrika Mashariki.

b5fa6d5bbf0e5b81aefbc2e20cff34777bfbebef8b10ba228ffdbd7058afc53d

30 Novemba, 2025

Takriban watu 20 wanahofiwa kufariki baada ya boti kupinduka kaskazini magharibi mwa DRC

Takriban watu 20 wamefariki na wengine kadhaa hawajulikani waliko baada ya mashua kupinduka kaskazini magharibi mwa Congo, kulingana na wakaazi wa eneo hilo.

cd635742859cc98f7df02f5b36993569e6f0172085e1c1ad1bebf5b5e7cbe988 main

30 Novemba, 2025

Watu saba wauawa nchini Kenya, wakiwemo askari polisi wa akiba, katika tukio la wizi wa ng’ombe

Watu saba, wakiwemo askari wa akiba wa Huduma ya Kitaifa ya Polisi, waliuawa siku ya Jumamosi katika mashambulizi yaliyopangwa ya wizi wa mifugo ambayo yalikumba vijiji vingi vya kaskazini Mashariki ya Kenya, mamlaka ilisema.

2025 11 13t181955z 321998399 rc2lvha41z98 rtrmadp 3 mali security main

28 Novemba, 2025

Umoja wa Afrika umesitisha uanachama wa Guinea-Bissau kufuatia mapinduzi ya kijeshi

Jeshi la Guinea-Bissau limemteua Jenerali Horta Inta-A kama Rais wa mpito wa nchi hiyo siku ya Alhamisi.

2025 11 27t192321z 1 lynxmpelaq0wu rtroptp 3 bissau security army main

28 Novemba, 2025

RSF nchini Sudan watuhumiwa kuigeuza hospitali ya Kordofan Magharibi kuwa kambi ya kijeshi

Kundi la Madaktari nchini Sudan limesema kwamba wapiganaji wa RSF wameigeuza Hospitali ya Al-Nuhud kuwa kituo cha kijeshi, hatua iliyowalazimu wahudumu wa afya kukimbia na kuwaacha raia bila huduma muhimu.

3011b5a78d685c263b214cd3f1caf404ced9609724608c938b0eca64e107f3e4 main

28 Novemba, 2025

Binti wa Zuma ajiuzulu ubunge Afrika Kusini

Zuma-Sambudla hajatoa ufafanuzi wowote hadharani kuhusu madai ya kuwarubuni watu kuenda kupigana nje ya nchi.

f4ac680a83a38675777ca13e4d735a5fd11c89c3342fcb1c1f042927c2aa953a

28 Novemba, 2025

Mwanasiasa Adolf Hitler ashinda kwa mara ya 5 mfululizo Namibia

Mwanasiasa huyo mwenye umri wa miaka 59 anasema yeye ni tofauti kabisa na dikteta huyo wa Ujerumani, na anapenda atambuliwe kwa jina lake la asili

5e3179dd4f55c1a2b80a36736f72147c7685daa885b25c95cf9e0cfe9d125563
Loading...