Mwanasiasa maarufu wa Kenya Cyrus Jirongo afariki

Kulingana na ripoti rasmi iliyowasilishwa katika Kituo cha Trafiki cha Naivasha, ajali hiyo ilitokea saa 3:00 asubuhi kwenye Barabara Kuu ya Nairobi-Nakuru.
13 Desemba, 2025
Marekani yailaumu Rwanda kwa kuzusha mapigano DRC licha ya makubaliano ya amani yaliyosainiwa

Balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa anadai Rwanda hivi majuzi ilitoa msaada wa vifaa kwa waasi wa M23 na kupigana nao katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
13 Desemba, 2025
Jeshi la Polisi Tanzania lakiri kumshikilia aliyekuwa Waziri wa Uwekezaji Geofrey Mwambe

Kulingana na taarifa yake iliyotolewa Disemba 12, 2025, jeshi hilo limesema kuwa lilimkamata Mwambe Disemba 7, 2025 katika eneo la Tegeta wilaya ya Kinondoni.
12 Desemba, 2025
Eritrea yajiondoa IGAD

Ikumbukwe kwamba, hapo awali, Eritrea ilisitisha uanchama wake ndani ya IGAD mnamo mwezi Aprili, 2007.
12 Desemba, 2025

UN yawasihi Eritrea na Ethiopia kuheshimu makubaliano ya mpaka wa miaka 25 iliyopita

Benki Kuu ya Ufaransa yahusishwa na mauaji ya Watutsi wakati wa mauaji ya kimbari nchini Rwanda

Tanzania yamuombeleza mbunge wa Peramiho Jenista Mhagama

IOM: Zaidi ya 1,000 wakimbia Kordofan, Sudan huku mapigano yakiongezeka

Rwanda yazilaumu DRC na Burundi kwa kukiuka mkataba wa amani wa Washington
10 Desemba, 2025
Watu 22 wapoteza maisha, 16 kujeruhiwa baada ya majengo kuporomoka nchini Morocco
Waendesha mashitaka nchini humo, wametoa amri ya kuanza kwa uchunguzi wa kubaini chanzo cha tukio hilo.

10 Desemba, 2025
Serikali ya Ghana ‘yatimua’ raia 3 wa Israel kama kisasi kwa nchi hiyo
Kulingana na serikali ya Ghana, raia wake saba, wakiwemo wajumbe kutoka bunge la nchi hiyo, waliwekwa vizuizini bila sababu za msingi, na baada yake kuachiwa, huku wengine watatu wakirudishwa nchini mwao.

10 Desemba, 2025
Takriban watu 19 wamefariki dunia baada ya majengo ya ghorofa kuporomoka Morocco
Mamlaka za mitaa zimeonyesha kwamba idadi ya waliofariki inaweza kuongezeka katika saa zijazo.

10 Desemba, 2025
Mpatanishi Marekani, anazitaka Rwanda, M23 ‘kuondoa’ wanajeshi mashariki mwa DRC
Mataifa yenye nguvu ya Ulaya na Marekani yametoa wito kwa wanajeshi wa Rwanda na wapiganaji wa M23 kusitisha mara moja mashambulizi mashariki mwa DRC, siku chache baada ya marais wa nchi hizo kutia saini makubaliano mjini Washington.

10 Desemba, 2025
Seneti ya Nigeria yaidhinisha wanajeshi wa Tinubu kwenda Benin baada ya jaribio la mapinduzi
Baraza la Seneti la Nigeria siku ya Jumanne lilitoa idhini yake kwa Rais Bola Tinubu kupeleka wanajeshi nchini Benin baada ya serikali ya Rais Patrice Talon kuiomba Nigeria msaada kuzima jaribio la mapinduzi siku ya Jumapili.

9 Desemba, 2025
Ivory Coast yamrejesha kikosini Wilfred Zaha kwa ajili ya fainali za AFCON
Zaha, mwenye umri wa miaka 33, ambaye kwa sasa anachezea timu ya Charlotte, inayoshiriki Ligi Kuu ya nchini Marekani, alikuwa sehemu ya kikosi cha wachezaji 26 ambacho kitakabaliana Msumbiji, Cameroon na Gabon kwenye Kundi F.

9 Desemba, 2025
ECOWAS yatangaza hali hatari Afrika Magharibi
Kulingana na Jumuiya hiyo ya Kiuchumi Magharibi mwa Afrika, michakato ya uchaguzi Magharibi mwa Afrika inaendelea kusababisha ukosefu wa amani katika eneo hilo.

9 Desemba, 2025
Mhifadhi wa Tembo Afrika Mashariki Iain Douglas-Hamilton afariki dunia
Mhifadhi huyo alizaliwa na kukulia nchini Uingereza, ingawa muda mwingi wa kazi zake, alitumia akiwa Uganda, Tanzania na Kenya ambako ndipo yalipokuwa makazi yake hadi umauti ulipomkuta.

9 Desemba, 2025
Polisi wa Kenya wafika Haiti katika hatua ya kwanza tangu UN ipanue majukumu ya operesheni
Kikosi kipya cha polisi 230 wa Kenya kimewasili Haiti siku ya Jumatatu, polisi nchini Haiti wamesema, hatua inayoashiria kuwasili kwa maafisa wa kigeni kwa mara ya kwanza tangu Baraza la Usalama la UN liridhie kuongeza uwezo wa kikosi nchini humo.

9 Desemba, 2025
Tanzania yaadhimisha miaka 64 ya Uhuru huku kukiwa na hofu ya usalama
Tanzania Bara kwa kawaida, kila tarehe 9 Desemba huadhimisha Siku ya Uhuru, na mwaka huu taifa hilo linatimiza miaka 64 tangu lipate uhuru wake.



