10 Desemba, 2025

Watu 22 wapoteza maisha, 16 kujeruhiwa baada ya majengo kuporomoka nchini Morocco

Waendesha mashitaka nchini humo, wametoa amri ya kuanza kwa uchunguzi wa kubaini chanzo cha tukio hilo.

be5d093b507783581bda1320d82fc570f8f32aa6030d30713558f9bede4f67f1

10 Desemba, 2025

Serikali ya Ghana ‘yatimua’ raia 3 wa Israel kama kisasi kwa nchi hiyo

Kulingana na serikali ya Ghana, raia wake saba, wakiwemo wajumbe kutoka bunge la nchi hiyo, waliwekwa vizuizini bila sababu za msingi, na baada yake kuachiwa, huku wengine watatu wakirudishwa nchini mwao.

1ba03360c804560c8f507619c0934a4699da72fc21c01641cfb5f69f768ec770

10 Desemba, 2025

Takriban watu 19 wamefariki dunia baada ya majengo ya ghorofa kuporomoka Morocco

Mamlaka za mitaa zimeonyesha kwamba idadi ya waliofariki inaweza kuongezeka katika saa zijazo.

5ade522fe724a64879d1447a1ad5d6ccad9f0cb4db4d4d9411527247e39f472a

10 Desemba, 2025

Mpatanishi Marekani, anazitaka Rwanda, M23 ‘kuondoa’ wanajeshi mashariki mwa DRC

Mataifa yenye nguvu ya Ulaya na Marekani yametoa wito kwa wanajeshi wa Rwanda na wapiganaji wa M23 kusitisha mara moja mashambulizi mashariki mwa DRC, siku chache baada ya marais wa nchi hizo kutia saini makubaliano mjini Washington.

ffa362028e2595e7dce18dcdca0c6a29fa5ea39e4b885d98afe5aa849eef670e

10 Desemba, 2025

Seneti ya Nigeria yaidhinisha wanajeshi wa Tinubu kwenda Benin baada ya jaribio la mapinduzi

Baraza la Seneti la Nigeria siku ya Jumanne lilitoa idhini yake kwa Rais Bola Tinubu kupeleka wanajeshi nchini Benin baada ya serikali ya Rais Patrice Talon kuiomba Nigeria msaada kuzima jaribio la mapinduzi siku ya Jumapili.

2025 11 26t202528z 1 lynxmpelap16g rtroptp 3 nigeria security main

9 Desemba, 2025

Ivory Coast yamrejesha kikosini Wilfred Zaha kwa ajili ya fainali za AFCON

Zaha, mwenye umri wa miaka 33, ambaye kwa sasa anachezea timu ya Charlotte, inayoshiriki Ligi Kuu ya nchini Marekani, alikuwa sehemu ya kikosi cha wachezaji 26 ambacho kitakabaliana Msumbiji, Cameroon na Gabon kwenye Kundi F.

40f17edbd0681fd0b2788386aa284041447a1926db5fe216d1579c5cfc3fa585

9 Desemba, 2025

ECOWAS yatangaza hali hatari Afrika Magharibi

Kulingana na Jumuiya hiyo ya Kiuchumi Magharibi mwa Afrika, michakato ya uchaguzi Magharibi mwa Afrika inaendelea kusababisha ukosefu wa amani katika eneo hilo.

4198df156d26cc1959408c9550ad805be78a6c2f858eb513bb15c1b99108ea53

9 Desemba, 2025

Mhifadhi wa Tembo Afrika Mashariki Iain Douglas-Hamilton afariki dunia

Mhifadhi huyo alizaliwa na kukulia nchini Uingereza, ingawa muda mwingi wa kazi zake, alitumia akiwa Uganda, Tanzania na Kenya ambako ndipo yalipokuwa makazi yake hadi umauti ulipomkuta.

57f636508f4f6be7f54debfc21a9a289c950640b4fc8b3b684d9912c364a4dbf scaled

9 Desemba, 2025

Polisi wa Kenya wafika Haiti katika hatua ya kwanza tangu UN ipanue majukumu ya operesheni

Kikosi kipya cha polisi 230 wa Kenya kimewasili Haiti siku ya Jumatatu, polisi nchini Haiti wamesema, hatua inayoashiria kuwasili kwa maafisa wa kigeni kwa mara ya kwanza tangu Baraza la Usalama la UN liridhie kuongeza uwezo wa kikosi nchini humo.

abfa0e69871505cb72fbfb3c50be9814d3eee0002e8818f41c49e266843525e1

9 Desemba, 2025

Tanzania yaadhimisha miaka 64 ya Uhuru huku kukiwa na hofu ya usalama

Tanzania Bara kwa kawaida, kila tarehe 9 Desemba huadhimisha Siku ya Uhuru, na mwaka huu taifa hilo linatimiza miaka 64 tangu lipate uhuru wake.

a8ca248b640bd70b83b28cf8e2d510ec3e14b0d9d860822ba215992935451921
Loading...