Mkuu wa majeshi ya Libya,maafisa wakuu wafariki katika ajali ya ndege karibu na Ankara: WM Dbeibeh

Mamlaka za nchini Uturuki zimesema kuwa mawasiliano yalipotea na ndege binafsi aina ya Falcon 50 iliyokuwa njiani kuelekea mjini Tripoli baada ya kutoa taarifa ya dharura karibu na katikati mwa Uturuki.
24 Desemba, 2025
Shirika la Uturuki la TİKA lazindua mradi Msumbiji kusaidia walionusurika vurugu

Shirika la Misaada la Ushirikiano na Uratibu la Uturuki (TİKA) limetoa mchango muhimu katika maendeleo ya jamii nchini Msumbiji unaolenga kusaidia wanawake, walionusurika vurugu.
23 Desemba, 2025
Muungano wa mataifa ya Sahel waanzisha kituo cha Televisheni kukabiliana na taarifa potofu

Televisheni hiyo ya AES imeelezwa katika mawasiliano rasmi kuwa chombo cha kukabiliana na upotoshaji wa taarifa na kuimarisha yanayojiri katika kanda hiyo.
23 Desemba, 2025
Marekani yaendesha ndege za uchunguzi nchini Nigeria baada ya tishio la Trump: Reuters

Marekani imekuwa ikifanya safari za kukusanya taarifa za kijasusi katika maeneo makubwa ya Nigeria tangu mwishoni mwa Novemba, kulingana na data ya ufuatiliaji wa ndege na maafisa wa sasa na wa zamani wa Marekani, kama ishara ya ushirikiano
23 Desemba, 2025

Waziri wa uvuvi wa Somalia apongeza ushirikiano wa kimkakati na Uturuki

Mapigano yarindima mji wa mpaka wa DRC wa Uvira kati ya vikosi vya serikali na waasi wa M23

Kenya yawarudisha nyumbani raia 119 waliotapeliwa Myanmar

Uturuki yaahidi kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na mataifa ya Afrika

Uhaba wa maji Dar: Mamlaka kuchimba visima 14
22 Desemba, 2025
Serikali ya Nigeria imesema wanafunzi 130 zaidi waliotekwa nyara wameokolewa
Mamlaka ya Nigeria imefanikiwa kuokoa watoto wa shule 130 waliotekwa nyara na watu wenye silaha kutoka shule ya Kikatoliki mnamo Novemba 2025, msemaji wa rais alisema Jumapili, baada ya 100 kuachiliwa mapema mwezi huu.

22 Desemba, 2025
Somalia yaimarisha usalama kabla ya uchaguzi wa kwanza wa mitaa katika miongo kadhaa
Somalia itapeleka zaidi ya maafisa 10,000 wa usalama katika mji mkuu, Mogadishu, kabla ya uchaguzi wa mitaa wiki ijayo – uchaguzi wa kwanza wa moja kwa moja katika karibu miaka 60 – waziri wa usalama alisema.

22 Desemba, 2025
Shambulizi la ndege zisizo na rubani za Sudan kwenye soko la Darfur laua watu 10, waokoaji wamesema
Shambulio la ndege zisizo na rubani kwenye soko lenye shughuli nyingi katika jimbo la Darfur Kaskazini nchini Sudan liliua watu 10 mwishoni mwa juma, maafisa wa uokoaji walisema, bila kutaja nani alihusika.

21 Desemba, 2025
Trump aingiza ‘huduma ya Kikristo’ katika mkataba wa afya wa Marekani na Nigeria
Trump alikuwa amesema kuwa Marekani iko tayari kuchukua hatua za kijeshi nchini Nigeria kukabiliana na “mauaji ya Wakristo”.

21 Desemba, 2025
Viongozi wa Somalia na Ethiopia wajadili uhusiano katika maadhimisho ya Azimio la Ankara
Azimio la Ankara, lililotiwa saini mwezi Disemba 2024, lilipongezwa na viongozi wa dunia kwa kutuliza hofu ya mzozo mkubwa wa kikanda katika Pembe ya Afrika.

21 Desemba, 2025
Bunge la Algeria lafungua mjadala kuhusu mswada wa kuharamisha utawala wa kikoloni wa Ufaransa
Rasimu ya sheria inalenga kuainisha utawala wa kikoloni wa Ufaransa nchini Algeria kati ya 1830 na 1962 kama uhalifu.

21 Desemba, 2025
Mabalozi wa Uturuki katika nchi za Afrika watembelea Jumba la Afrika
Mabalozi wa Uturuki barani Afrika walikusanyika mjini Ankara kwa ajili ya Kongamano la Mabalozi, na kutembelea Jumba la Sanaa za Mikono na Utamaduni la Kiafrika, ambalo lilianzishwa chini ya uangalizi wa mke wa Rais Recep Tayyip Erdoğan Emine Erdoğan

20 Desemba, 2025
Uturuki inawasilisha mzigo wa kwanza wa mahema 30,000 ya misaada nchini Sudan
Meli iliyobeba mahema 10,000 ya kwanza kati ya 30,000 yaliyotolewa kwa Sudan na Mamlaka ya Usimamizi wa Maafa na Dharura ya Uturuki (AFAD) kwa ushirikiano na Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) iliwasili Bandari ya Sudan.

20 Desemba, 2025
Baraza la Usalama la UN laongezea MONUSCO mamlaka kwa mwaka mmoja zaidi
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha kwa kauli moja azimiol akuongezea ujumbe wa kulinda amani nchini DRC MONUSCO mwaka mmoja zaidi

20 Desemba, 2025
Umoja wa Afrika waapa uwajibikaji kwa mashambulizi ya RSF dhidi ya raia wa Sudan
AU imethibitisha tena msaada wake kwa umoja na utawala wa Sudan wakati ikiwaonya RSF kwamba vurugu dhidi ya wananchi hazitapita bila adhabu.



