1 Januari, 2026

DRC yaishutumu Rwanda kwa kuua zaidi ya raia 1,500 katika mwezi uliopita

Tangu waasi wa M23 walipoanza tena mapigano mwaka 2021, wamechukua maeneo makubwa ya mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) yenye utajiri wa madini, hali iliyosababisha mgogoro mkubwa wa kibinadamu unaozidi kuongezeka.

1748930053214 xap9u9 23b5ab9f6745f3499e505da3ed575799be23e77c8036db35dcad4e87151a7fb9

1 Januari, 2026

‘Hatutaki Israel ituletee matatizo,’ rais wa Somalia anasema

‘Kama Israel inajiweka katika maeneo ya watu kushambulia sehemu za watu wengine, basi hao watu pia watashambulia Somaliland na Somalia,’ rais wa Somalia ameonya baada ya Israel kutambua eneo lililojitenga.

050d59beeeceaa0b61dfa132aeacc118e4d9febb65b56051e6df8652d646a1ea

1 Januari, 2026

Kiongozi wa Sudan Burhan aapa ushindi dhidi ya RSF, anasema upatanishi unawezekana

Tunawahakikishia watu wetu kote kwamba ushindi unakuja,’ Abdel Fattah al-Burhan anasema

234cd8b1ed88bdc6dff34de679f4927be37ca2724a9f84369b2c2155603b7fcd

1 Januari, 2026

Bondia Anthony Joshua aruhusiwa kutoka hospitali

Imethibitishwa kwamba, afya ya bingwa wa zamani wa ngumi za uzito wa juu iko imara, kuruhusiwa kutoka hospitali na kufuatilia maendeleo ya afya yake akiwa nyumbani.

1767253015331 yvk1e ab5bcec29c59f22c1648bc1dcf31ba0d6b4a74c2cf27484bf018758fb546b7ea

1 Januari, 2026

Madagascar yatangaza kuthibitishwa kwa maambukizi 5 ya ugonjwa wa mpox

Kituo cha dharura cha afya ya umma kimeanzishwa ili kuweza kutambua na kuwatenga wenye maambukizi, kuimarisha tathmini za kiafya katika maeneo ya mipakani na viwanja vya ndege

0d2fadf677070a60d817ef3b4b5ca0ea4ac1c791042053a9384964dd01273599

31 Desemba, 2025

Jeshi la Sudan lachukua udhibiti wa miji miwili kutoka RSF Kordofan Kaskazini

Jeshi la Sudan limefanikiwa kurejesha udhibiti wa miji ya Kazgeil na Riyadh katika jimbo la Kordofan Kaskazini baada ya mapigano na wanamgambo wa RSF, vyanzo vya kijeshi vilisema Jumatano.

e019bc2754b272ec077ce62d72797f30ede98cb07bc2cdc96b162f94e41df79b

31 Desemba, 2025

Israel yaitambua Somaliland kwa lengo la kijeshi na kuwahamisha Wapalestina: Rais wa Somalia

Rais wa Somalia amesema Israel haipo katika eneo hilo kwa ajili ya amani, bali inalenga kuwafurusha Wapalestina kwenda Somalia.

46361b3c8940b6a697840a4286e5fceebf09fea1ff14f6f3a44483f9bffc4bf1

31 Desemba, 2025

Jaji wa Marekani azuia mpango wa Trump wa kuwafukuza wahamiaji wa Sudan Kusini

Jaji wa Marekani amezuia mpango wa serikali kuu kuanza kuwafukuza wahamiaji hadi kesi inayopinga agizo la Rais Donald Trump itakapomalizika.

2025 11 25t165407z 1696827663 rc28zga7benv rtrmadp 3 usa tiktok

31 Desemba, 2025

Burkina Faso, Mali wanaweka vikwazo vya visa kwa raia wa Marekani kama hatua ya kulipiza kisasi

Hatua hizo za nchi za Afrika Magharibi zinakuja huku Marekani ikipanua vikwazo vya usafiri kwa mataifa kadhaa, hasa barani Afrika, kuanza kutekelezwa tarehe 1 Januari.

c9f115dc8b5caa1443c76421ff51ad426e9fbfce885d1e8a4edb8962664dab02

31 Desemba, 2025

Marekani inakagua Uraia waliopewa Wasomalia kwa ajili ya uwezekano wa kubatilishwa walio laghai

Kwa mujibu wa sheria za uhamiaji za marekani, ikiwa mtu alipata uraia kwa njia za udanganyifu, uraia huo unaweza kubatilishwa.

1767160849174 rm7694 0d686f093a644fd4631adfa34f3ad27ed2deb2956809a61e55842734aeb72abc
Loading...