Ghana yampa uraia mtengeneza maudhui ya YouTube Mmarekani IShowSpeed

Ghana imempa uraia mtengeneza maudhui ya YouTube Mmarekani IShowSpeed, waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo ametangaza, huku mtengeneza maudhui akikamilisha ziara ya mwezi mzima ya barani Afrika.
28 Januari, 2026
13 wafa baada ya mgodi kuporomoka Sudan

Hata hivyo, maofisa nchini humo wamelalamikia utoroshwaji wa madini nje ya mipaka ya nchi hiyo, ikiwemo Chad, Sudan Kusini na Misri, kabla ya kufika Umoja wa Falme za Nchi ya Kiarabu, ambayo ni nchi ya pili kwa uzalishaji mkubwa wa dhahabu.
28 Januari, 2026
Malawi yaomba msaada wa kimataifa kupambana na mafuriko

Mafuriko nchini humo yameua watu wapatao 40, na kuwaacha wengine bila makazi
28 Januari, 2026
AU yataka kusitishwa kwa mapigano katika jimbo la Jonglei, Sudan Kusini

Waziri wa Habari wa Sudan Kusini amekana madai kwamba serikali inawalenga raia.
28 Januari, 2026

Tinubu wa Nigeria aahidi kushirikiana na Uturuki katika sekta ya usalama, biashara

Rais wa Guinea Doumbouya amthibitisha waziri mkuu mpya

Mashambulizi ya silaha yawaua watu 10 katika kituo cha polisi cha Niger karibu na mpaka wa Algeria

Njaa inayosababishwa na ukame kaskazini mashariki mwa Kenya yaua watoto na mifugo

Uganda yakana kuwakandamiza wapinzani huku Bobi Wine akiendelea kujificha
27 Januari, 2026
Kenya inapendekeza kupiga marufuku suluhu za nje ya mahakama kwa kesi za ubakaji na unyanyasaji
Kamati ya kiufundi ilibainisha kuwa suluhu za nje ya mahakama mara nyingi hutanguliza shinikizo la kijamii badala ya usalama na utu wa waathirika.

27 Januari, 2026
Somalia yarudisha msaada wa chakula ulioshikiliwa kwa WFP kufuatia mvutano na Marekani
Marekani mapema mwezi huu ilisitisha misaada yote kwa Somalia kufuatia ripoti kwamba maafisa wa eneo hilo wameshikilia chakula cha msaada kilichotolewa na wafadhili katika ghala la Shirika la Mpango wa Chakula (WFP) jijini Mogadishu.

26 Januari, 2026
Mali imewaua zaidi ya magaidi 100 katika mashambulizi ya angani
Jeshi la Mali linasema limefanya mashambulizi ya angani yaliyowaua zaidi ya magaidi 100 katika eneo la msitu katikati mwa nchi siku ya Jumapili, na kuitaja kuwa operesheni muhimu dhidi ya magaidi katika eneo hilo.

26 Januari, 2026
Zaidi ya raia wa Sudan milioni 3 warudi kwao: Umoja wa Mataifa
Raia wa Sudan zaidi ya milioni tatu waliokuwa wameondoka katika makazi yao kutokana na vita vya karibu miaka mitatu wamerudi nyumbani, shirika la Umoja wa Mataifa kuhusu wahamiaji limesema siku ya Jumatatu.

26 Januari, 2026
Rais wa Nigeria Tinubu kufanya ziara Uturuki kwa mualiko wa Rais Erdogan
Ziara ya Bola Ahmed Tinubu itaangazia ushirikiano katika maeneo mbalimbali ikiwemo usalama, elimu, ustawi wa jamii, uvumbuzi, na masuala ya anga, ilisema ofisi ya rais wa Nigeria

26 Januari, 2026
Guinness yathibitisha rekodi ya mwanaharakati wa mazingira wa Kenya kukumbatia mti kwa saa 72
Siku ya Jumatatu Guinness World Records ilithibitisha rekodi ya mwanaharakati wa mazingira wa Kenya Truphena Muthoni ya kuvunja ile yake ya awali kwa kukumbatia mti kwa saa 72 mfululizo.

26 Januari, 2026
Jeshi la Sudan lachukua udhibiti wa maeneo muhimu kutoka kwa RSF karibu na mpaka wa Ethiopia
Jeshi linasema kuwa vikosi vyake vimechukua tena udhibiti wa eneo la Al-Silk katika jimbo la Blue Nile

26 Januari, 2026
Ethiopia yatangaza kumalizika kwa mlipuko wa ugonjwa wa Marburg
Tangu kuzuka kwa ugonjwa huo, takriban watu 14 walithibitishwa kuambukizwa kati yao 9 walifariki wakiwemo wafanyakazi wawili wa afya na wengine 5 walitibiwa na kupona.

26 Januari, 2026
Sudan Kusini yaamuru kuhamishwa kwa maafisa wa UN katika kaunti tatu kabla ya opresheni ya kijeshi
Serikali ya Sudan Kusini imesema operesheni ya kijeshi iliyopewa jina la “Operation Enduring Peace” iko karibu kuanza.

26 Januari, 2026
Hakutakuwa na amani Sudan hadi RSF iondolewe — Burhan
Mkuu wa Jeshi la Sudan, Abdel Fattah al-Burhan, amesema kuwa Sudan ilipendekeza Uturuki au Qatar kuwa wapatanishi, lakini RSF ilikataa wazo hilo.

