27 Januari, 2026

Kenya inapendekeza kupiga marufuku suluhu za nje ya mahakama kwa kesi za ubakaji na unyanyasaji

Kamati ya kiufundi ilibainisha kuwa suluhu za nje ya mahakama mara nyingi hutanguliza shinikizo la kijamii badala ya usalama na utu wa waathirika.

09ceff76241c51f4b4803cd1b984182a764937db31f15dd2c53230cdf11984c8

27 Januari, 2026

Somalia yarudisha msaada wa chakula ulioshikiliwa kwa WFP kufuatia mvutano na Marekani

Marekani mapema mwezi huu ilisitisha misaada yote kwa Somalia kufuatia ripoti kwamba maafisa wa eneo hilo wameshikilia chakula cha msaada kilichotolewa na wafadhili katika ghala la Shirika la Mpango wa Chakula (WFP) jijini Mogadishu.

2026 01 08t182112z 1795329478 rc25xiargahp rtrmadp 3 usa somalia assistance

26 Januari, 2026

Mali imewaua zaidi ya magaidi 100 katika mashambulizi ya angani

Jeshi la Mali linasema limefanya mashambulizi ya angani yaliyowaua zaidi ya magaidi 100 katika eneo la msitu katikati mwa nchi siku ya Jumapili, na kuitaja kuwa operesheni muhimu dhidi ya magaidi katika eneo hilo.

59e959f1f5b1c84a510a8bd1e0a9013663ef859f68e1b089c3c9bd95a20cc8ff

26 Januari, 2026

Zaidi ya raia wa Sudan milioni 3 warudi kwao: Umoja wa Mataifa

Raia wa Sudan zaidi ya milioni tatu waliokuwa wameondoka katika makazi yao kutokana na vita vya karibu miaka mitatu wamerudi nyumbani, shirika la Umoja wa Mataifa kuhusu wahamiaji limesema siku ya Jumatatu.

859f198745a0a9da0b60cab3684922810f51e391576993be35a7ab2ca65f19c8

26 Januari, 2026

Rais wa Nigeria Tinubu kufanya ziara Uturuki kwa mualiko wa Rais Erdogan

Ziara ya Bola Ahmed Tinubu itaangazia ushirikiano katika maeneo mbalimbali ikiwemo usalama, elimu, ustawi wa jamii, uvumbuzi, na masuala ya anga, ilisema ofisi ya rais wa Nigeria

7d7d806c27e52dd83b5616b6fb97fd15f98fc2f5adf751f47b611cd466b0893a

26 Januari, 2026

Guinness yathibitisha rekodi ya mwanaharakati wa mazingira wa Kenya kukumbatia mti kwa saa 72

Siku ya Jumatatu Guinness World Records ilithibitisha rekodi ya mwanaharakati wa mazingira wa Kenya Truphena Muthoni ya kuvunja ile yake ya awali kwa kukumbatia mti kwa saa 72 mfululizo.

ae4c59c22b2c71ba7618cd3f5e7ec4cf9af4ac4745dc69d0a33ef62a350566e2

26 Januari, 2026

Jeshi la Sudan lachukua udhibiti wa maeneo muhimu kutoka kwa RSF karibu na mpaka wa Ethiopia

Jeshi linasema kuwa vikosi vyake vimechukua tena udhibiti wa eneo la Al-Silk katika jimbo la Blue Nile

a74b0174fc2cf4140c718c404fa8989521399f54e04e2dca0d4751311551f2b2

26 Januari, 2026

Ethiopia yatangaza kumalizika kwa mlipuko wa ugonjwa wa Marburg

Tangu kuzuka kwa ugonjwa huo, takriban watu 14 walithibitishwa kuambukizwa kati yao 9 walifariki wakiwemo wafanyakazi wawili wa afya na wengine 5 walitibiwa na kupona.

7ecd517f43862dd19f6969b766a5e5979f82d9b78ce2952510cfd68e9f61bfd8

26 Januari, 2026

Sudan Kusini yaamuru kuhamishwa kwa maafisa wa UN katika kaunti tatu kabla ya opresheni ya kijeshi

Serikali ya Sudan Kusini imesema operesheni ya kijeshi iliyopewa jina la “Operation Enduring Peace” iko karibu kuanza.

f763c1f208bc0acb688774edd805db778cc940621050f83f1db11342a4107d5c

26 Januari, 2026

Hakutakuwa na amani Sudan hadi RSF iondolewe — Burhan

Mkuu wa Jeshi la Sudan, Abdel Fattah al-Burhan, amesema kuwa Sudan ilipendekeza Uturuki au Qatar kuwa wapatanishi, lakini RSF ilikataa wazo hilo.

a15e78c56350045099d4b97e3b1d0b8c81ff5aa975d0b938a95c1c632b2addf7
Loading...