Somalia yafuta mikataba ya usalama na ulinzi na UAE

Baraza la Mawaziri la Somalia limefuta mikataba na makubaliano (MoU) zinazohusiana na ushirikiano wa usalama na ulinzi kati ya Somalia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), likitaja ukiukaji wa mamlaka yake.
12 Januari, 2026
AU yatoa tahadhari baada ya Marekani kutangaza mpango wa kujiondoa kutoka kwa mashirika ya UN

Shirika la Umoja wa Afrika (AU) limetoa tahadhari baada ya serikali ya Marekani hivi karibuni kuagiza kusitishwa kwa ufadhili na kujihusiha katika baadhi ya mashirika ya Umoja wa Mataifa.
12 Januari, 2026
IShowSpeed ni nani, nyota wa mtandaoni aliyevuma Kenya?

IShowSpeed, anayejulikana pia kama Speed, ni nyota maarufu wa mitandao ya kijamii kutoka Marekani ambaye hivi karibuni amevutia hisia za maelfu ya vijana barani Afrika, hasa Kenya.
12 Januari, 2026
Vita Sudan: Maelfu walazimika kuhama kufuatia vurugu za hivi karibuni za Kusini Kordofan

Kwa sasa kuna dalili za kuongezeka kwa idadi ya watu wanaokimbilia maeneo mengine kutokana na kuongezeka kwa hali ya usalama katika mji wa Kadugli.
12 Januari, 2026

China yapinga uingiliaji kati wa mataifa ya kigeni nchini Tanzania kutokana na uchaguzi wenye utata

Ethiopia yaanza ujenzi wa ‘uwanja wa ndege mkubwa zaidi barani Afrika’

Kenya inalenga kubadilisha machimbo makubwa ya zamani ya madini kuwa ardhi ya kilimo

OIC na mataifa 22 ya Kiislamu yamelaani ziara ya waziri wa Israel ya Somaliland

Jeshi la Sudan lasema limewakabili vikali RSF Darfur, Kordofan
9 Januari, 2026
Trump aonya kuhusu mashambulizi zaidi ya Marekani nchini Nigeria
Rais wa Marekani Donald Trump amesema huenda kukawa na mashambulizi zaidi ya kijeshi ya Marekani nchini Nigeria iwapo Wakristo wataendelea kuuawa nchini humo, licha ya Nigeria kukana mara kwa mara madai ya kuwa Wakristo wanateswa kwa mfumo maalumu.

9 Januari, 2026
Makundi ya waasi kuteka eneo la Uvira karibu na mpaka wa DRC na Burundi yatia hofu katika kanda
Jumuiya ya kikanda imetoa wito kwa wanachama kuchukua hatua ili kuepusha mapigano kuzidi huku mkutano ukianza kujadili ‘hali mbaya kwa watu na hatari ya usalama kwa mataifa jirani’

9 Januari, 2026
Rais Samia wa Tanzania afanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri ndani ya siku 54
Mabadiliko hayo ambayo yamefanyika ndani ya siku 54 tangu kutangazwa kwa Baraza la Kwanza la Mawaziri wa kipindi cha pili cha serikali ya Awamu ya Sita.

8 Januari, 2026
Waafrika Kusini waandamana nje ya ubalozi wa Marekani dhidi ya mashambulizi ya kijeshi Venezuela
Waaandamanaji walitoa kauli dhidi ya Marekani nje ya ubalozi wao mjini Pretoria

8 Januari, 2026
Somalia yachunguza madai ya kutumika kwa anga yake na kiongozi wa Yemen anayetaka kujitenga
Somalia inaunga mkono wito wa Saudi Arabia wa kutaka majadiliano mjini Riyadh kama ‘mchakato sahihi wa kisiasa’ wa kutatua matatizo nchini Yemen, inasema idara ya Uhamiaji ya Somalia

8 Januari, 2026
Bobi Wine kutathmini mikataba ya mafuta iwapo atachaguliwa kuwa rais Uganda
Mgombea wa urais wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine, amesema kuwa iwapo atapata ridhaa wa wananchi ya kuliongoza taifa hilo, basi atapitia upya mikataba ya mafuta ya nchi hiyo.

8 Januari, 2026
Sokwe wa DRC ajifungua mapacha
Picha zilizotolewa na shirika la habari la hifadhi ya nchi hiyo zilimuonesha sokwe huyo aliyepewa jina la Mafuko mwenye umri wa miaka 22 akiwa amewakumbatia watoto wake.

8 Januari, 2026
Mshambuliaji wa Algeria awaomba radhi mashabiki wa DRC
Mshambuliaji wa Algeria, Mohamed Amoura, ameomba radhi kufuatia ishara tata aliyoifanya wakati wa kusherehekea ushindi wa timu yake dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwenye Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025.

7 Januari, 2026
Rais Touadera amualika Putin wa Urusi kutembelea Jamhuri ya Afrika ya Kati
Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Faustin-Archange Touadera, amemualika Rais wa Urusi Vladimir Putin kutembelea nchi yake, shirika la habari la serikali la Urusi TASS liliripoti siku ya Jumatano.

7 Januari, 2026
Waziri wa zamani wa sheria Nigeria Malami apewa dhamana katika kesi ya fedha zilizoibwa
Waendesha mashtaka wanasema Abubakar Malami alitakatisha fedha za umma kati ya 2015 na 2023 kupitia washirika wake.


