Kiongozi wa upinzani nchini Uganda Bobi Wine amechukuliwa na helikopta ya jeshi, chama chasema

Chama cha National Unity Platform kinasema kiongozi wa upinzani alipelekwa mahali pasipojulikana huku kukiwa na kukatika kwa mtandao na ripoti za ghasia za baada ya uchaguzi.
17 Januari, 2026
Trump ajitolea kupatanisha kati ya Misri na Ethiopia kuhusu bwawa lililozua utata

Rais wa Marekani ameiambia Misri kuwa yuko tayari kufungua tena diplomasia kwenye bwawa kubwa la Ethiopia, akitoa uungwaji mkono huku akimsifu mshirika wake al-Sisi kwa jukumu lake la kusitisha mapigano Gaza.
17 Januari, 2026
Chad yatoa ‘onyo la mwisho’ kwa wanajeshi wa RSF wa Sudan baada ya kuwaua wanajeshi wake

Msemaji wa serikali ya Chad alisema uvamizi wa wapiganaji wenye silaha kutoka Sudan ulisababisha mapigano wakati wanajeshi wa Chad walipowaamuru kuondoka.
17 Januari, 2026
Takriban watu kumi wauawa Uganda, kufuatia ghasia za baada ya uchaguzi

Takriban watu kumi wameuawa katika ghasia zilizotokea usiku katikati mwa Uganda, polisi walisema siky ya Ijumaa, kufuatia uchaguzi ambao unaonekana kumpa Rais mkongwe Yoweri Museveni ushindi.
17 Januari, 2026

Wanigeria waomboleza kifo cha Imamu aliyewaokoa Wakristo wakati wa shambulio

Rais wa Somalia Mohamud, Waziri Mkuu Barre wafanya ziara maalum Lasanod

Rais Museveni wa Uganda aongoza katika matokeo ya awali ya Uchaguzi Mkuu

Ethiopia inasema imekamata zaidi ya risasi 56,000 kutoka Eritrea

Kenya yafikia makubaliano ya awali ya ‘kutotoza ushuru’ bidhaa na China: wizara
15 Januari, 2026
Misri haitachelewa kuchukua hatua zinazohitajika’ ili kulinda umoja wa Sudan: Waziri wa Mambo ya Nje
Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri, Badr Abdelatty, alisema Jumatano kuwa Misri itachukua hatua zote zinazohitajika ili kulinda umoja wa Sudan, wakati nchi jirani hiyo inapokaribia mwaka wake wa nne wa vita kati ya jeshi na vikosi vya RSF.

15 Januari, 2026
Wananchi Uganda waanza kupiga kura, huku ulinzi ukiimarishwa
Zoezi la upigaji kura linatarajiwa kufungwa saa kumi jioni huku matokeo yakitarajiwa kutangazwa ndani ya saa 48, yaani kufikia Jumamosi alasiri.

14 Januari, 2026
Rwanda yaungana na Ghana katika kutuma wahandisi wa kijeshi nchini Jamaica
Rwanda imetuma kikosi cha wahandisi wa kijeshi kwenda Jamaica ili “kusaidia juhudi za kujenga upya taifa hilo la Karibi kwa kukarabati miundombinu iliyoharibiwa na kimbunga kikali” mwaka 2025, Jeshi la Ulinzi la Rwanda (RDF) lilisema Jumatano.

14 Januari, 2026
Waziri Mkuu wa Tanzania ataka Watanzania wapewe kipaumbele katika masuala ya ajira
Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amezitaka wizara zinazohusika na masuala ya ajira kuhakikisha utekelezaji madhubuti wa sheria zinazolinda nafasi za kazi kwa Watanzania.

14 Januari, 2026
Uganda inasema iko tayari kwa uchaguzi mkuu
Serikali ya Uganda imetangaza rasmi tarehe 15 na 16 Januari 2026 kuwa siku za mapumziko ili kutoa fursa kwa raia ya kushiriki kwa ukamilifu katika zoezi la kupiga kura

13 Januari, 2026
Uganda kuzima mtandao wa intaneti siku ya uchaguzi: Mamlaka ya mawasiliano
Mamlaka ya mawasiliano nchini Uganda imetangaza kuwa itazima mtandao wa intaneti siku ya Jumanne, siku mbili tu kabla ya uchaguzi ambao Rais Yoweri Museveni atagombea dhidi ya Bobi Wine.

13 Januari, 2026
Afrika Kusini yaonya kuwepo kwa mamba na viboko katika maeneo ya makazi baada ya mvua kubwa
Mamlaka nchini humo zimewataka wakazi wa maeneo hayo kuwa waangalifu, na kuepuka maeneo yenye mafuriko.

13 Januari, 2026
Jeshi la Sudan linasema limepata mafanikio dhidi ya wapiganaji wanaowaunga mkono RSF
Serikali ya Sudan inasema itaendelea kuimarisha usalama katika miji na maeneo ya kimkakati.

13 Januari, 2026
Sudan yaandaa sherehe za kupatikana vito 570 vilivyoporwa
Mamlaka hapo awali zilisema baadhi ya vito vilivyoibiwa tayari vimesafirishwa kwa magendo kuvuka mipaka, na sehemu kubwa ya vito hivyo bado haijulikani viliko.

13 Januari, 2026
Sudan kuijenga upya Khartoum baada ya serikali kurudi katika mji mkuu
Serikali ya Sudani Jumatatu ilipitia mipango ya kujenga upya mji mkuu wa Khartoum na kurudisha huduma za msingi, baada ya serikali kuchukua uamuzi wa kuendelea na shughuli zake kutoka mjini humo.


