Katibu Mkuu wa kwanza wa EAC Edwin Mtei kuzikwa Januari 24

Kulingana na Mashinda Mtei, ambaye ni mtoto wa Gavana huyo wa kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Mzee Mtei anatarajiwa kupumzishwa katika kata ya Ambureni, eneo la Tengeru, Arusha, Jumamosi ya Januari 24.
20 Januari, 2026
Tanzania yapanda juu nafasi mbili viwango vya ubora wa soka vya FIFA

Kulingana na orodha hiyo ya ubora ya FIFA, Tanzania imevuna jumla ya alama 1186.14 kutoka alama 1181.22, ilizokuwa nazo awali.
20 Januari, 2026
Mfalme wa Morocco akubali mwaliko wa Trump kujiunga na Bodi ya Amani ya Gaza

Morocco inasema hatua hiyo inaangazia jukumu la mfalme katika kuendeleza amani ya Mashariki ya Kati.
20 Januari, 2026
Sisi wa Misri kukutana na Trump Davos

Huu utakuwa mkutano wa kwanza wa viongozi hao wawili.
20 Januari, 2026

Afya ya Besigye yazorota, chama chake chasema

Somalia na Qatar zaimarisha uhusiano wao wa kijeshi

ICC yapata ushahidi wa uhalifu wa kivita nchini Sudan

Jeshi la DRC lachukua udhibiti wa mji wa kimkakati baada ta M23 kujiondoa

Vifo vilivyotokana na mafuriko nchini Msumbiji, Afrika Kusini vyaongozeka
19 Januari, 2026
Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) kumuadhibu kocha wa Senegal Pape Thiaw
Thiaw anatuhumiwa kwa kuwashawishi wachezaji wake kutoka uwanjani muda mfupi baada ya mwamuzi wa mchezo wao, Jean-Jacques Ndala kuizawadia Morocco penati iliyoghubikwa na utata.

19 Januari, 2026
Viongozi wa Afrika wampongeza Museveni kwa ushindi wa Uchaguzi Mkuu
Ushindi wa Museveni unathibitisha nafasi yake kama mmoja wa viongozi wa Afrika wa muda mrefu, tangu kuingia madarakani mwaka 1986.

19 Januari, 2026
Rais Chapo avunja safari ya Davos kwa sababu ya mafuriko Msumbiji
Ripoti ya Umoja wa Mataifa imenukuu vyanzo vya serikali vikikadiria kuathirika kwa zaidi ya watu 400,000

19 Januari, 2026
Nigeria yauwa magaidi 40 wa Boko Haram
Jeshi la Anga limesema operesheni zilizolenga kundi la kigaidi zilifanyika katika jimbo la Borno kaskazini-mashariki.

19 Januari, 2026
Museveni asema upinzani ‘una bahati,’ na kwamba ushindi ungekuwa mkubwa zaidi
Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema katika hotuba yake ya Jumapili kuwa ushindi wake wa kishindo katika uchaguzi wa Uganda unaonyesha nguvu ya chama chake.

19 Januari, 2026
Afrika Kusini yatangaza janga la kitaifa baada ya mvua kali na mafuriko
Afrika Kusini mwishoni mwa juma ilitangaza hali ya hatari ya kitaifa baada ya mafuriko makubwa kuharibu makazi na kusababisha vifo vya watu wengi, huku maelfu wakiomba hifadhi katika nchi jirani ya Msumbiji.

18 Januari, 2026
Watu saba wauawa katika shambulio la ndege zisizo na rubani za RSF sokoni huko Kordofan, Sudan
Watu saba waliuawa katika shambulio la ndege zisizo na rubani za Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) ambacho kililenga soko maarufu huko Kordofan Kusini, kikundi cha madaktari kilisema Jumamosi.

18 Januari, 2026
Rais wa Guinea Doumbouya aapa kutotumia mamlaka kwa manufaa binafsi
Doumbouya ameshinda uchaguzi wa Desemba kwa 86.7% ya kura.

17 Januari, 2026
Museveni wa Uganda ashinda uchaguzi wa urais kwa kishindo na kurefusha utawala wa miaka 40
Rais wa sasa Yoweri Museveni alipata asilimia 71.65 ya kura huku mpinzani wake mkuu Bobi Wine akienda mafichoni baada ya uvamizi wa polisi nyumbani kwake katika mji mkuu, Kampala.

17 Januari, 2026
Polisi nchini Uganda wamekanusha kumkamata kiongozi wa upinzani kabla ya matokeo ya kura ya urais
Polisi wamewataka raia kuwa na amani baada ya chama cha upinzani kusema kuwa kiongozi wake Bobi Wine amekamatwa nyumbani kwake na kupelekwa katika helikopta ya jeshi.


