Misri inaitaka Israel iondoke Gaza, na kufungua tena kivuko cha Rafah

Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri Badr Abdelatty ametoa wito wa Israel kuondoka Gaza, pamoja na kufunguliwa tena kwa kivuko cha mpaka cha Rafah ili kutimiza makubaliano ya mwaka jana ya kusitisha mapigano.
25 Januari, 2026
Mashambulizi ya bomu yasababisha watu wengi kuhama makazi yao Sudan Kusini

Kukadiria idadi ya vifo haiwezekani kwani raia wengi wanasalia kujificha msituni huku kukiwa na ongezeko la ghasia, kiongozi wa jumuiya ya kiraia anasema.
25 Januari, 2026
Mkuu wa WHO anasema Marekani ilitoa sababu za uongo kujiondoa uanachama

Tedros Adhanom Ghebreyesus anasema anatumai Marekani itarejea katika ushiriki kikamilifu katika WHO katika siku zijazo.
25 Januari, 2026
Mkuu wa afya Afrika atangaza dharura ya afya ya mpox imekwisha

Mpox sio tena dharura ya afya ya umma katika bara hilo, mkuu wa Afrika CDC alisema, akitaja ugunduzi ulioimarishwa, tiba na usambazaji wa chanjo.
24 Januari, 2026

WHO yaonya kuhusu mlipuko wa magonjwa ya maji katika maeneo yaliyoathiriwa na mafuriko

Rais wa Côte d’Ivoire Ouattara amteua kaka yake kama makamu wa waziri mkuu

Mgodi wa dhahabu wa Sudan ulioporomoka na kuua watu sita huku makumi kadhaa wakisalia kukwama

Msumbiji inaomba msaada wa kibinadamu baada ya mafuriko mabaya zaidi katika miongo kadhaa

Tanzania: Utekelezwaji wa Bima ya Afya kwa Wote kuanza Januari 26
23 Januari, 2026
Mkuu wa Majeshi Uganda asema wamewaua wapinzani 30
Rais wa Uganda Yoweri Museveni, mwenye umri wa miaka 81, alishinda muhula wake wa saba kwa kupata asilimia 72 ya kura dhidi ya mpinzani wake Bobi Wine ambaye amepata asilimia 25, kwa mujibu wa Tume ya Uchaguzi nchini Uganda.

23 Januari, 2026
Rais Putin wa Urusi ampongeza Rais Museveni wa Uganda
Rais Yoweri Museveni alipata asilimia 71.6 ya kura katika uchaguzi wa urais uliofanyika tarehe 15 Januari, na hivyo kushinda muhula wa saba madarakani.

23 Januari, 2026
Morocco yasema matukio ya fainali AFCON hayataathiri uhusiano wa karibu na nchi za Afrika
Mfalme Mohammed wa Sita wa Morocco alisema siku ya Alhamisi kuwa undugu wa Afrika utaendelea kushamiri licha ya kile alichokiita vitendo “vya kusikitisha” vilivyotia doa fainali ya AFCON dakika za mwisho kati ya Morocco na Senegal.

23 Januari, 2026
Afrika Kusini yazuia magari 60 baada ya ajali mbaya ya basi la shule
Polisi katika mkoa wa Gauteng wamethibitisha kuwa wanafunzi wawili wamefariki wakiwa hospitali siku ya Alhamisi, kufanya idadi ya waliofariki katika ajali kufikia 14.

22 Januari, 2026
Rwanda kufanyia majaribio kliniki zenye kutumia teknolojia ya Akili Mnemba (AI)
Nchini Rwanda, muhudumu mmoja wa afya huhudumia wagonjwa 1,000, ambao ni uwiano tofauti na ule pendekezwa wa wahudumu wa afya wanne kwa kila wagonjwa 1,000.

22 Januari, 2026
Nyota wa YouTube IShowSpeed afikisha wafuasi milioni 50 akiwa Afrika
Ziara yake ya Afrika imehusisha matukio ya kipekee kama kushindana mbio na duma nchini Afrika Kusini, kucheza mechi ya soka na watoto 100 nchini Angola, kutembelea jamii ya Wamaasai nchini Kenya, pamoja na kuhudhuria fainali ya AFCON nchini Morocco.

22 Januari, 2026
Trump anasema makubaliano yanaweza kupatikana kati ya Misri na Ethiopia kuhusu mzozo wa bwawa
Rais wa Marekani Donald Trump alisema siku ya Jumatano kwamba anaamini makubaliano yanaweze kupatikana kati ya Misri na Ethiopia, akiashiria juhudi za kutatua mzozo wao wa muda mrefu kuhusu Bwawa kubwa lililojengwa na Ethiopia.

21 Januari, 2026
Bobi Wine: Mimi si mhalifu
Akizungumzia tishio kutoka kwa Mkuu wa Majeshi wa nchi hiyo na mtoto wa Rais Yoweri Museveni, Muhoozi Kainerugaba, Wine alisema:“Mimi si mhalifu bali mgombea Urais na sio hatia kugombea dhidi ya baba yake.”

21 Januari, 2026
Wafanyakazi wa anga Kenya watoa notisi ya siku 7 ya kufanya mgomo
Notisi hii ya mgomo imetolewa baada ya kusambaratika kwa mazungumzo ya upatanishi yaliyoagizwa na mahakama, ikitaja matakwa muhimu ambayo hayajatatuliwa ikiwa ni pamoja na nyongeza ya mishahara iliyochelewa kwa muda mrefu.

21 Januari, 2026
Uwekezaji katika sekta ya madini Tanzania
Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kunufaika na ushirikiano wa kimkakati na Marekani katika utafiti, uwekezaji katika sekta ya madini, hususan madini yanayohitajika kwa wingi katika teknolojia za kisasa duniani.


