Jopo la mawakili wa makamu wa Rais wa Sudan Kusini wasema wako tayari kwenda mahakamani

Makamu huyo wa Kwanza wa Rais wa Sudan Kusini Riek Machar ameshtakiwa kwa mauaji, uhaini na uhalifu dhidi ya binadamu.
15 Septemba, 2025
Mpina aondolewa tena kwenye mchakato wa kugombea Urais

Tume Huru ya Uchaguzi ya Tanzania (INEC) imemuondoa Luhaga Mpina kama mgombea urais kufuatia pingamizi dhidi yake iliyotolewa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Tanzania, Hamza Johari.
15 Septemba, 2025
DRC yaanza kutoa chanjo dhidi ya mlipuko mpya wa Ebola

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeanza mpango wa chanjo dhidi ya ugonjwa mpya wa Ebola, ambao umeua watu 28 nchini humo tangu mwishoni mwa Agosti.
15 Septemba, 2025
Sudan inakaribisha juhudi za amani kumaliza vita na RSF, inakataa kuingiliwa na mataifa ya kigeni

Matamshi ya Sudan yanakuja baada ya taarifa ya pamoja ya Misri, Saudi Arabia, Imarati na Marekani kutaka kufikiwe makubaliano ya kibinadamu ili kuruhusu misaada katika maeneo yote ya Sudan.
14 Septemba, 2025

Mgombea wa upinzani aruhusiwa kugombea urais wa Tanzania baada ya amri ya mahakama

Malawi kufanya uchaguzi huku kukiwa na msukosuko wa kiuchumi

Rais Kagame, akutana na kiongozi wa Qatar, kuonyesha mshikamano baada ya shambulio la Israel

Zaidi ya watu 100 wafariki baada ya boti kushika moto kwenye mto Congo

UN yaonya ya kwamba mafuriko makubwa Sudan Kusini yanaweza kuathiri zaidi ya watu milioni 1
12 Septemba, 2025
Wanajeshi kusimamia ujenzi wa hospitali Kenya
Ujenzi wa Hospitali ya Sogoo katika kaunti ya Narok haukumfurahisha Rais wa Kenya William Ruto alipozuru eneo hilo Mei mwaka huu, jambo lililomfanya kuagiza wanajeshi kuingilia kati.

12 Septemba, 2025
Raia wa Afrika kutolipia viza kuingia Burkina Faso
Hata hivyo, urahisi huo unaweza kubadilika baada ya nchi hiyo kujiondoa kutoka Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS).

11 Septemba, 2025
Sudan Kusini yamshtaki Makamu Rais Riek Machar kwa makosa ya mauaji na uhaini
Makamu wa Rais wa Sudan Kusini, Riek Machar, ameshtakiwa kwa makosa ya mauaji, uhaini na uhalifu dhidi ya binadamu kwa madai ya kuhusika katika mashambulizi yaliyofanywa na kundi la ‘White Army’ dhidi ya vikosi vya serikali mwezi Machi.

11 Septemba, 2025
Mahakama Kuu ya Afrika Kusini imeruhusu wanaume kuchukua majina ya ukoo ya wake zao
Katika uamuzi wake wa Alhamisi, Mahakama Kuu ya Afrika Kusini iligundua kuwa kipengele fulani cha sheria kinahusiana na ubaguzi wa kijinsia usio wa haki.

11 Septemba, 2025
Hospitali ya Recep Tayyip Erdoğan: Daraja la afya na undugu nchini Somalia
Hospitali hii pia imekuwa daraja katika safari ya Somalia kuelekea ustawi wa kudumu, ikipiga jeki ufufuaji wa mfumo dhaifu wa afya uliodorora kwa miongo kadhaa kutokana na vita vya ndani na miundombinu dhaifu na isiyotosha.

11 Septemba, 2025
Ghana imepokea Wanigeria waliotimuliwa Marekani, rais anasema
Rais John Mahama amewaambia waandishi wa habari kuwa Ghana ilikubali kupokea raia kutoka Afrika Magharibi, ambapo makubaliano ya kikanda yanaruhusu kusafiri bila visa.

10 Septemba, 2025
Raia wa China wahukumiwa miaka 20 jela kwa kosa la utekaji nyara Afrika Kusini
Mamlaka ya Mashtaka ya Kitaifa (NPA) imepongeza hukumu hiyo kama hatua muhimu katika vita dhidi ya biashara haramu ya binadamu nchini Afrika Kusini.

10 Septemba, 2025
Nchi za Afrika zalaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Qatar
Rais wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC) ameonya kuwa shambulio hilo linaweza kuathiri hali ambayo tayari ni dhaifu katika Mashariki ya Kati.

10 Septemba, 2025
Kesi ya Joseph Kony yaendelea ICC bila mwenyewe kuwepo
Mahakama ya ICC imeanza kusikiliza kesi ya Joseph Kony, kiongozi wa kundi la Lord’s Resistance Army, LRA.

10 Septemba, 2025
Rwanda kubadilisha sheria ya matumizi ya barabara
Sheria iliyopo ya barabarani, iliyotungwa mwaka 1987, inaonekana kama imepitwa na wakati hivyo haiendani na hali halisi ya matumizi ya sasa ya barabara, kwa mujibu wa maelezo yanayoambatana na muswada huo mpya.
