Modibo Sacko wa Mali amechaguliwa kuwa rais mpya wa Mahakama ya Afrika

Jaji Modibo Sacko wa Mali amechaguliwa kuwa rais mpya wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR).
3 Juni, 2025
Wanaastronomia wanahofia athari ya Starlink kwenye uchunguzi wa darubini kubwa ya Afrika Kusini

Afrika Kusini ilisema itapitia sheria zake za sekta ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano lakini haitarudi nyuma kwenye sera za serikali za kubadilisha uchumi miongo mitatu baada ya utawala wa wazungu wachache kumalizika.
3 Juni, 2025
Jeshi la Mali linasema limetibua shambulio katika kambi ya jeshi, ‘kuwakata makali’ magaidi 13

‘Jaribio la wapiganaji magaidi’ kutaka kuingia katika kambi ya jeshi ya Timbuktu lilitibuliwa, na hali sasa imetulia na ‘imedhibitiwa,’ Jeshi la Mali lilisema
2 Juni, 2025
Magaidi waua zaidi ya wanajeshi 30 Mali

Taarifa zinasema baada ya mauaji ya wanajeshi kadhaa katika eneo la Boulkessi katikati mwa Mali siku ya Jumapili, magaidi walifanya mashambulizi mengine Timbuktu Jumatatu.
2 Juni, 2025

Uganda: Mahujaji wa Namugongo

Rwanda yakabiliwa na changamoto ya ongezeko la uhalifu kwa watoto

Kanisa Katoliki limefunga vituo vyake Kerio Valley baada ya ukosefu wa usalama

Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu (AfCHPR) kuwachagua viongozi wapya

Kiongozi wa Chadema Tanzania, Tundu Lissu arudishwa mahakamani
2 Juni, 2025
Waziri Mkuu mpya wa Sudan, Kamil avunja serikali ya muda
Hoja ya Kamil Idris inalenga kufungua njia kwa Baraza jipya la Mawaziri huku kukiwa na vita vinavyoendelea na ukosefu wa utulivu wa kisiasa.

1 Juni, 2025
Ndege zisizo na rubani zagonga maeneo ya wanamgambo magharibi mwa Sudan
Mashambulizi matatu ya ndege zisizo na rubani yamegonga maeneo muhimu ya kijeshi magharibi mwa Sudan, walioshuhudia walisema Jumapili.

1 Juni, 2025
Mfanyabiashara wa Namibia auawa na simba jike akiwa safari mbugani na mkewe
Bernd Kebbel, mfanyabiashara wa Namibia na mfadhili anayejulikana ambaye aliunga mkono uhifadhi wa wanyamapori, ameuawa na simba jike alipokuwa safari mbugani.

1 Juni, 2025
Raila Odinga amtaka Rais Ruto kutoa fidia kwa waliouawa wakati wa maandaman ya Gen Z Kenya
Raila, ambaye ni kiongozi wa upinzani na Waziri Mkuu wa zamani, alikua akihutubia umati uliokusanyika kwa maadhimisho ya Madaraka jijini Kisumu Magharibi mwa Kenya.

1 Juni, 2025
Uturuki yatuma salamu za rambirambi kwa Nigeria kutokana na maafa ya mafuriko
Idadi ya vifo nchini Nigeria imepanda hadi vifo 151, huku zaidi ya watu 3,018 wakiwa wameyahama makazi yao, mamlaka zilisema.

31 Mei, 2025
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa laidhinisha tena vikwazo vya silaha Sudan Kusini
Sudan Kusini ilikuwa imepinga vikwazo vya silaha na wajumbe sita wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa hawakupiga kura, ikimaanisha kuwa ilipita kwa kura tisa za ndio, ambazo ni kiwango cha chini zaidi kupitishwa.

30 Mei, 2025
Marekani yataka kesi ya Boeing mahakamani itupiliwe mbali
Kampuni hiyo inalaumiwa kwa ajali mbili mbaya za ndege ya 737 MAX iliyoua watu 346, Wizara ya Sheria ya Marekani inasema imefikia makubaliano na kampuni hiyo ya kutengeneza ndege.

30 Mei, 2025
Shirika la WFP kupunguza msaada kwa watu Ethiopia
WFP inaonya kwamba kuendelea kuwepo kwa upungufu wa fedha kunatatiza uwezo wake wa kuendeleza utoaji wa misaada ya chakula nchini Ethiopia kwa watu waliolazimika kuhama makazi yao na wakimbizi.

30 Mei, 2025
Serikali ya Kenya kununua mchele wote wa wakulima
Wizara ya kilimo imesema serikali itanunua zaidi ya tani 5000 za mchele kwa wakulima hao ambao wamelalamika kukwama na mazao yao kufuatia ununuzi wa mchele kutoka nje ya nchi.

30 Mei, 2025
Naibu rais wa zamani wa Kenya ataka fidia kwa kutimuliwa
Aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya ambaye aliondolewa madarakani na bunge sasa anataka kulipwa fidia ya miaka mitano kamili ambayo angehudumu katika wadhifa huo.
