Mgodi wa kuchimba madini DRC waporomoka: Zaidi ya 200 wauawa katika eneo lenye utajiri wa coltan

Maafa yakumba kitovu cha uchimbaji madini kinachodhibitiwa na waasi cha Rubaya, chanzo kikuu cha madini ya simu mahiri duniani.
31 Januari, 2026
Umoja wa Afrika waapa kuunga mkono Niger baada ya shambulio la uwanja wa ndege

“Vitendo hivi vya kikatili ni sehemu ya kampeni ya ugaidi inayofanywa na vikundi vya itikadi kali vinavyolenga raia na miundombinu ya umma kwa makusudi,” anasema mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika.
31 Januari, 2026
Israel yamfukuza balozi wa Afrika Kusini Palestina

Inafuatia uamuzi wa Afrika Kusini kumfukuza Balozi mdogo wa Israel, na kuzidisha mvutano wa kidiplomasia unaohusiana na kesi ya mauaji ya halaiki ya Gaza
30 Januari, 2026
Serikali za Afrika zinaangazia mifumo ya fedha ya Kiislam baada ya mafanikio ya sukuk nchini Benin

Hatifungani za Sukuk za 2026 kufikia sasa ni zaidi ya dola milioni 580, kiwango kikubwa kikiwa ni cha nchini Benin cha dola milioni 500, kulingana na wataalamu.
30 Januari, 2026

Afrika Kusini yamfukuza mjumbe wa Israel kwa kumkashifu Rais Ramaphosa

Air Tanzania yazindua safari za Ghana

Somalia yazuia ndege ya Israel kupita katika anga yake

Mkuu wa Majeshi wa Uganda aiomba radhi Marekani

Mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani wa DRC Patrice Emery Lumumba afariki dunia
30 Januari, 2026
Kiongozi wa Guinea-Bissau N’Tam apandishwa cheo cha juu zaidi cha jeshi
Meja Jenerali N’Tam sasa ana nyota nne badala ya mbili.

30 Januari, 2026
Burkina Faso yafuta vyama vyote vya kisiasa kwa madai ya Kusababisha ‘mgawanyiko’
Waziri wa Utawala Emile Zerbo alisema upigaji marufuku wa vyama hivyo ni baada ya mamlaka kubaini kuwa vyama vimekiuka miongozo iliyowaanzisha.

29 Januari, 2026
Shirika la Umoja wa Mataifa linasema watu wengine 285 wameachwa bila makazi Kordofan Kusini Sudan
Ukosefu wa usalama kumefanya familia kadhaa kukimbia kutoka eneo la Kordofan Kusini

29 Januari, 2026
ECOWAS yaiondolea vikwazo Guinea
Jumuiya hiyo iliiwekea Guinea vikwazo kufuatia mapinduzi ya kijeshi ya mwaka 2021.

29 Januari, 2026
CAF yashusha rungu zito kwa Morocco na Senegal baada ya fujo za katika Fainali ya AFCON 2025
Kupitia Kamati yake ya Nidhamu CAF imetangaza adhabu kali dhidi ya timu za taifa za Morocco na Senegal kufuatia matukio yaliyotokea katika mchezo wa Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 uliyofanyika Januari 18, 2026.

29 Januari, 2026
Mlio wa mabomu, sauti za risasi zasikika mji mkuu wa Niger karibu na uwanja wa ndege wa kimataifa
Wakazi katika maeneo jirani na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Diori Hamani wamesema kwamba ufyatuaji wa risasi umeendelea kwa takriban saa mbili kabla ya kuacha.

29 Januari, 2026
Misri imesema iko tayari kupokea wagonjwa kutoka Gaza Mpaka wa Rafah utakapofunguliwa
Gavana wa Kaskazini mwa Sinai Meja Jenerali Khaled Mujawir ameiambia televisheni ya taifa Jumatano kwamba upande wa Misri wa mpaka wa Rafah umejiandaa kwa kitakachojiri.

28 Januari, 2026
Al Fasher nchini Sudan imeharibiwa baada ya RSF kuchukua udhibiti
Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) walisema siku ya Jumatano kuwa mji mkuu Kaskazini mwa Sudan Darfur wa Al Fasher umeharibiwa na hakuna watu wanaoishi baada ya wapiganaji wa Rapid Support Forces (RSF) kuwepo hapo kwa miezi kadhaa.

28 Januari, 2026
Waziri Mkuu wa Ethiopia ajadili usalama, ushirikiano na maafisa waandamizi wa Marekani Addis Ababa
Naibu waziri wa mambo ya nje wa Marekani, kamanda wa vikosi vya AFRICOM wamekamilisha ziara yao nchini Ethiopia kwa kuangazia usalama wa katika kanda, ushirikiano wa kijeshi

28 Januari, 2026
Watu wsilaha wawaua polisi watatu katika jimbo kaskazini magharibi la Katsina nchini Nigeria
Maafisa watatu wa polisi wameuawa na wengine wawili kujeruhiwa baada ya washukiwa wa ujambazi kuwashambulia wakiwa kwenye doria yao katika jimbo la kaskazini magharibi la Katsina nchini Nigeria siku ya Jumanne.

