30 Januari, 2026

Kiongozi wa Guinea-Bissau N’Tam apandishwa cheo cha juu zaidi cha jeshi

Meja Jenerali N’Tam sasa ana nyota nne badala ya mbili.

c1e5d188656450ee8ebb76d8530f98081afc2d63578fd2a6471dc7928fd8db99

30 Januari, 2026

Burkina Faso yafuta vyama vyote vya kisiasa kwa madai ya Kusababisha ‘mgawanyiko’

Waziri wa Utawala Emile Zerbo alisema upigaji marufuku wa vyama hivyo ni baada ya mamlaka kubaini kuwa vyama vimekiuka miongozo iliyowaanzisha.

00c83474af090eeb0c88be3dc51dedae8abd4c840568cf64b6cf5668796a6695

29 Januari, 2026

Shirika la Umoja wa Mataifa linasema watu wengine 285 wameachwa bila makazi Kordofan Kusini Sudan

Ukosefu wa usalama kumefanya familia kadhaa kukimbia kutoka eneo la Kordofan Kusini

e52606188a92797bafbd36978c9e02037630f979c8afd5a0cd47318821408bb7

29 Januari, 2026

ECOWAS yaiondolea vikwazo Guinea

Jumuiya hiyo iliiwekea Guinea vikwazo kufuatia mapinduzi ya kijeshi ya mwaka 2021.

690166d22ba016917fe307955c8ce9df30341fbaa696c4276c71b5c8de851b32

29 Januari, 2026

CAF yashusha rungu zito kwa Morocco na Senegal baada ya fujo za katika Fainali ya AFCON 2025

Kupitia Kamati yake ya Nidhamu CAF imetangaza adhabu kali dhidi ya timu za taifa za Morocco na Senegal kufuatia matukio yaliyotokea katika mchezo wa Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 uliyofanyika Januari 18, 2026.

cb55df153151007f9475b3f9a2a2220a6dddc97d3d0da09030362d139228f9cd

29 Januari, 2026

Mlio wa mabomu, sauti za risasi zasikika mji mkuu wa Niger karibu na uwanja wa ndege wa kimataifa

Wakazi katika maeneo jirani na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Diori Hamani wamesema kwamba ufyatuaji wa risasi umeendelea kwa takriban saa mbili kabla ya kuacha.

f0fcfd805fef8a62205cf1aa1df4326022e26e04f89832bc96b90fec0c0429af

29 Januari, 2026

Misri imesema iko tayari kupokea wagonjwa kutoka Gaza Mpaka wa Rafah utakapofunguliwa

Gavana wa Kaskazini mwa Sinai Meja Jenerali Khaled Mujawir ameiambia televisheni ya taifa Jumatano kwamba upande wa Misri wa mpaka wa Rafah umejiandaa kwa kitakachojiri.

2026 01 27t122806z 1670163925 rc2i9ja086ay rtrmadp 3 israel palestinians egypt rafah

28 Januari, 2026

Al Fasher nchini Sudan imeharibiwa baada ya RSF kuchukua udhibiti

Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) walisema siku ya Jumatano kuwa mji mkuu Kaskazini mwa Sudan Darfur wa Al Fasher umeharibiwa na hakuna watu wanaoishi baada ya wapiganaji wa Rapid Support Forces (RSF) kuwepo hapo kwa miezi kadhaa.

db1fe5c46a486b713ca6f3791a57136e295b960d5b41a4caf6b9f2f548f4061f

28 Januari, 2026

Waziri Mkuu wa Ethiopia ajadili usalama, ushirikiano na maafisa waandamizi wa Marekani Addis Ababa

Naibu waziri wa mambo ya nje wa Marekani, kamanda wa vikosi vya AFRICOM wamekamilisha ziara yao nchini Ethiopia kwa kuangazia usalama wa katika kanda, ushirikiano wa kijeshi

af1bb60e8f85eacf01cfcdfd7ec7b99d4b57d4aa6bafcf7278a96af76d7b4d98

28 Januari, 2026

Watu wsilaha wawaua polisi watatu katika jimbo kaskazini magharibi la Katsina nchini Nigeria

Maafisa watatu wa polisi wameuawa na wengine wawili kujeruhiwa baada ya washukiwa wa ujambazi kuwashambulia wakiwa kwenye doria yao katika jimbo la kaskazini magharibi la Katsina nchini Nigeria siku ya Jumanne.

a0da135cf66bf368927fd44df703ae8bca18e758e8759425b4856894cbfda34e
Loading...