12 Septemba, 2025

Wanajeshi kusimamia ujenzi wa hospitali Kenya

Ujenzi wa Hospitali ya Sogoo katika kaunti ya Narok haukumfurahisha Rais wa Kenya William Ruto alipozuru eneo hilo Mei mwaka huu, jambo lililomfanya kuagiza wanajeshi kuingilia kati.

f2b1640dbbef4b5b59b1f83be454872418e771258ddb34d590abe2db0bac5e1b

12 Septemba, 2025

Raia wa Afrika kutolipia viza kuingia Burkina Faso

Hata hivyo, urahisi huo unaweza kubadilika baada ya nchi hiyo kujiondoa kutoka Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS).

db307f5928ee8efba35109402bc8269a29e4c446e53b83c8967d13836b3aa7fd

11 Septemba, 2025

Sudan Kusini yamshtaki Makamu Rais Riek Machar kwa makosa ya mauaji na uhaini

Makamu wa Rais wa Sudan Kusini, Riek Machar, ameshtakiwa kwa makosa ya mauaji, uhaini na uhalifu dhidi ya binadamu kwa madai ya kuhusika katika mashambulizi yaliyofanywa na kundi la ‘White Army’ dhidi ya vikosi vya serikali mwezi Machi.

becd356523f309407ca2b93d35782df13a12924b062dc62513564876512dc45b

11 Septemba, 2025

Mahakama Kuu ya Afrika Kusini imeruhusu wanaume kuchukua majina ya ukoo ya wake zao

Katika uamuzi wake wa Alhamisi, Mahakama Kuu ya Afrika Kusini iligundua kuwa kipengele fulani cha sheria kinahusiana na ubaguzi wa kijinsia usio wa haki.

b4302ce3ea09125acbef6a806964324a3409684f2d900c3479de19380a2fb3a3

11 Septemba, 2025

Hospitali ya Recep Tayyip Erdoğan: Daraja la afya na undugu nchini Somalia

Hospitali hii pia imekuwa daraja katika safari ya Somalia kuelekea ustawi wa kudumu, ikipiga jeki ufufuaji wa mfumo dhaifu wa afya uliodorora kwa miongo kadhaa kutokana na vita vya ndani na miundombinu dhaifu na isiyotosha.

0832df1bd2f09cd75c8b41d98a5d76e3f1fbaa109364d7856d782bec2857a3be

11 Septemba, 2025

Ghana imepokea Wanigeria waliotimuliwa Marekani, rais anasema

Rais John Mahama amewaambia waandishi wa habari kuwa Ghana ilikubali kupokea raia kutoka Afrika Magharibi, ambapo makubaliano ya kikanda yanaruhusu kusafiri bila visa.

2025 09 10t224519z 675747110 rc2aifa3rc34 rtrmadp 3 usa immigration ghana

10 Septemba, 2025

Raia wa China wahukumiwa miaka 20 jela kwa kosa la utekaji nyara Afrika Kusini

Mamlaka ya Mashtaka ya Kitaifa (NPA) imepongeza hukumu hiyo kama hatua muhimu katika vita dhidi ya biashara haramu ya binadamu nchini Afrika Kusini.

972be602b0c75ed5644e0a61370e0a4885ffbb1144eabb504adc19cc65548d7b

10 Septemba, 2025

Nchi za Afrika zalaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Qatar

Rais wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC) ameonya kuwa shambulio hilo linaweza kuathiri hali ambayo tayari ni dhaifu katika Mashariki ya Kati.

2025 09 10t162313z 1938329254 rc2dogaxw9gl rtrmadp 3 israel palestinians qatar

10 Septemba, 2025

Kesi ya Joseph Kony yaendelea ICC bila mwenyewe kuwepo

Mahakama ya ICC imeanza kusikiliza kesi ya Joseph Kony, kiongozi wa kundi la Lord’s Resistance Army, LRA.

db2348adb309f0ff7a671dd562b9e7deb1468c75b26169a828e8d447fdb8cd27

10 Septemba, 2025

Rwanda kubadilisha sheria ya matumizi ya barabara

Sheria iliyopo ya barabarani, iliyotungwa mwaka 1987, inaonekana kama imepitwa na wakati hivyo haiendani na hali halisi ya matumizi ya sasa ya barabara, kwa mujibu wa maelezo yanayoambatana na muswada huo mpya.

2025 05 15t094411z 1 lynxmpel4e0fy rtroptp 3 migration britain rwanda
Loading...