Kenya imefanikiwa kulipa ada ya kuandaa michuano ya AFCON 2027 kabla ya kufikia muda wa mwisho uliowekwa na CAF. Hatua hiyo imeihakikishia nchi hiyo kubaki katika mpango wa uenyeji wa pamoja na Tanzania na Uganda.
Maafisa wa serikali wamesema kuwa hatua hiyo ni muhimu katika kuhakikisha maandalizi ya mashindano hayo yanaendelea bila vikwazo vyovyote.
CHANZO: Newstimetr














