Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Ufaransa, Lionel Jospin, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 88.
Anakumbukwa kwa mchango wake katika sera za kazi, hasa kupunguza muda wa kazi kwa wafanyakazi. Jospin aliiongoza nchi hiyo kuanzia 1997 hadi 2002, na baadaye aligombea urais lakini akapoteza dhidi ya Jacques Chirac.
CHANZO: Newstimetr














