Kanisa lashutumu ‘maangamizi kwa njaa’ huko Gaza, linataka kukomeshwa kwa mzingiro wa Israel

Njaa kwa wingi katika Gaza ni ya kibinadamu na ya makusudi. Msaada umezuiwa, familia zinangoja kwa masaa kupata mkate, watoto wanakufa kwa njaa. ‘Maliza mkwaruzo huu wa kifo sasa hivi,’ anasisitiza Askofu Azar.
27 Julai, 2025
Israel yaivamia meli ya misaada iliyokuwa inaelekea Gaza muda mfupi baada ya ujumbe wa tahadhari

Uvamizi huo umefanyika muda mfupi baada ya meli hiyo kutoa ujumbe wa tahadhari ya kuvamiwa.
27 Julai, 2025
Majeruhi wengi baada ya shambulizi la kigaidi lililolenga mahakama huko Zahedan nchini Iran

Watu wenye silaha walifyatua risasi kwenye jumba la mahakama la Zahedan, na kuua takriban watano na kujeruhi 13, maafisa wanasema.
26 Julai, 2025
Majeruhi wengi baada ya shambulizi la kigaidi lililolenga mahakama huko Zahedan nchini Iran

Watu wenye silaha walifyatua risasi kwenye jumba la mahakama la Zahedan, na kuua takriban watano na kujeruhi 13, maafisa wanasema.
26 Julai, 2025

Shambulio lililotokea Boulder, Colorado lisababisha majeruhi wengi

Wawili wauawa, mamia wamekamatwa nchini Ufaransa baada ya ushindi wa Ligi ya Mabingwa wa PSG

Kremlin yasema bado hakuna mpango wa mazungumzo ya simu kati ya Putin na Trump

Ndege iliyomuacha hujaji wa Libya, iliharibika mara mbili

Urusi na Ukraine zakamilisha ubadilishaji mkubwa zaidi wa wafungwa chini ya makubaliano ya Istanbul
21 Mei, 2025
Rais Cyril Ramaphosa na Donald Trump ‘watofautiana’ kuhusu wakulima wazungu
Ni kitu cha ajabu. Sijawahi kuona kitu kama hicho,” alisema Rais wa Marekani Donaldo Trump akizungumzia madai ya mateso dhidi ya wakulima wazungu nchini Afrika Kusini.

20 Mei, 2025
Ramaphosa wa Afrika Kusini awasili Marekani kwa Mazungumzo na Trump
Ushirikiano wa kidiplomasia kati ya Pretoria na Washington umetetereka tangu Rais Donald Trump kuingia madarakani Januari.

19 Mei, 2025
Mfalme Charles III wa Uingereza amtakia nafuu Rais wa zamani wa Marekani Joe Biden
Biden, mwenye umri wa miaka 82, aligundulika kuwa na ugonjwa wa tezi dume baada ya kufanyiwa vipimo siku ya Ijumaa.

18 Mei, 2025
Papa Leo XIV aanza rasmi kazi baada ya sherehe ya kusimikwa Vatican
Waumini walibeba bendera za Marekani na Peru kumshangilia papa wa kwanza kutoka Marekani, ambaye ataadhimisha Misa yake ya uzinduzi baadaye Jumapili asubuhi.

17 Mei, 2025
Marekani inapanga kuwahamisha Wapalestina milioni moja kutoka Gaza hadi Libya – Ripoti
Kwa kuwakubali Wapalestina waliofukuzwa, Marekani ingetoa kwa Libya mabilioni ya dola za fedha ambazo ilizizuia zaidi ya muongo mmoja uliopita, NBC News inaripoti.

11 Mei, 2025
Zelenskyy aona dalili njema huku Putin akiashiria kumaliza vita
Rais wa Ukraine amekaribisha dalili ya uwezekano wa Urusi kumaliza vita na kuonyesha utayari wa mazungumzo ya amani ya ana kwa ana, kwa kuanza na usitishaji wa mapigano Mei 12.

10 Mei, 2025
Jitihada za kidiplomasia zinaendea kupunguza hali ya wasiwasi kati ya Pakistan, India
Wanadiplomasia wakuu wa Marekani, Saudi Arabia wanafanya mazungumzo na mawaziri wa mambo ya nje wa India na Pakistan katika jitihada za kupunguza hali tete inayoendelea kati ya nchi hizo

9 Mei, 2025
Papa LEO XIV ni nani?
Kadinali Robert Prevost mzaliwa wa Marekani, amekuwa Papa wa kwanza katika historia ya Kanisa kutoka nchi hiyo.

8 Mei, 2025
Robert Francis Prevost Papa wa kwanza kutoka Marekani achaguliwa
Anaaminika kuwa na msimamo wa kadri na mshirika wa karibu wa Papa Francis alihudumia Kanisa nchini Peru, Prevost anakuwa kiongozi wa 267 wa Kanisa Katoliki.

7 Mei, 2025
Mchakato wa kumchagua Papa, kiongozi wa Kanisa Katoliki umeanza
Hakuna papa ambaye amechaguliwa katika siku ya kwanza ya kongamano kwa karne nyingi, kwa hivyo upigaji kura unaweza kuendelea kwa siku kadhaa.



