11 Mei, 2025

Zelenskyy aona dalili njema huku Putin akiashiria kumaliza vita

Rais wa Ukraine amekaribisha dalili ya uwezekano wa Urusi kumaliza vita na kuonyesha utayari wa mazungumzo ya amani ya ana kwa ana, kwa kuanza na usitishaji wa mapigano Mei 12.

czech republic ukraine 63713

10 Mei, 2025

Jitihada za kidiplomasia zinaendea kupunguza hali ya wasiwasi kati ya Pakistan, India

Wanadiplomasia wakuu wa Marekani, Saudi Arabia wanafanya mazungumzo na mawaziri wa mambo ya nje wa India na Pakistan katika jitihada za kupunguza hali tete inayoendelea kati ya nchi hizo

ap25130155539423

9 Mei, 2025

Papa LEO XIV ni nani?

Kadinali Robert Prevost mzaliwa wa Marekani, amekuwa Papa wa kwanza katika historia ya Kanisa kutoka nchi hiyo.

pictures of the week global photo gallery 83310

8 Mei, 2025

Robert Francis Prevost Papa wa kwanza kutoka Marekani achaguliwa

Anaaminika kuwa na msimamo wa kadri na mshirika wa karibu wa Papa Francis alihudumia Kanisa nchini Peru, Prevost anakuwa kiongozi wa 267 wa Kanisa Katoliki.

2025 05 08t175835z 948314870 rc2tdeajjld7 rtrmadp 3 pope succession leo scaled

7 Mei, 2025

Mchakato wa kumchagua Papa, kiongozi wa Kanisa Katoliki umeanza

Hakuna papa ambaye amechaguliwa katika siku ya kwanza ya kongamano kwa karne nyingi, kwa hivyo upigaji kura unaweza kuendelea kwa siku kadhaa.

2025 05 07t084005z 1453069310 rc2wceah7ak9 rtrmadp 3 pope succession 1 scaled

27 Aprili, 2025

Tisa wauawa baada ya shambulio la gari katika tamasha la Vancouver mitaani: Polisi

Polisi wanasema wamemkamata dereva huyo.

fabb

26 Aprili, 2025

Jeshi la Israel laamuru Wapalestina zaidi kuhamishwa hadi Magharibi mwa Gaza

Israel imeendeleza mauaji ya kimbari kw alengo la kunyakua ardshi ya Wapalestina n akuwahamisha kwa lazima

israel palestinians 82071 scaled

25 Aprili, 2025

Afrika Kusini inahimiza Urusi na Ukraine kufikia “makubaliano ya kusitisha vita”

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa alisema usitishaji vita bila masharti unapaswa kufuatiwa na majadiliano na mazungumzo kati ya nchi hizo mbili.

1745566360298 6m0jl 2025 04 24t104944z 2025543560 rc2 rtrmadp 3 ukraine crisis safrica 1 scaled

24 Aprili, 2025

Takriban watu tisa wauawa, 63 wajeruhiwa Kiev katika shambulizi la Urusi

Msaidizi mwandamizi wa Rais wa Ukraine amesema mashambulizi hayo kwa raia sharti yasitishwe.

2025 04 24t061756z 1 lynxmpel3n08z rtroptp 3 ukraine crisis attack kyiv

22 Aprili, 2025

Kwenye ardhi, bila mapambo: Papa Francis alitaka mazishi ya kawaida

Katika wosia wake, Papa Francis alieleza sehemu maalum anapotaka kuzikwa, pembeni pa basilica, hata kuongeza mchoro ulioambatanishwa kwa maelezo zaidi

pope 20kuzikwa 20ap 1
Loading...