25 Januari, 2026

Waokoaji wahangaika kutafuta manusura katika maporomoko ya ardhi Indonesia

Makumi ya watu bado hawajulikani walipo huku waokoaji wa Indonesia wakipitia matope baada ya maporomoko ya ardhi kuzika nyumba na kusababisha vifo vya takriban watu 11.

2026 01 24t120656z 1285520921 rc2o7jav49xj rtrmadp 3 indonesia landslide

24 Januari, 2026

Iran italichukulia shambulio lolote la Marekani kama ‘vita vya kila namna dhidi yetu’ – afisa mkuu

Tehran haitatofautisha ukubwa au asili ya shambulio lolote linaloweza kutokea, anasema afisa huyo huku meli za kivita za Marekani ikiwa ni pamoja na meli ya USS Abraham Lincoln, na ndege za kivita zikielekea Mashariki ya Kati

1769214748030 n1zjve 951b207cea6bad780f490f14bc90fe89075285dadced578bed24bda66e664635

23 Januari, 2026

Trump: Marekani ina “nguvu kubwa” inayoelekea Iran

Tuna msafara mkubwa unaoelekea huko, labda hatutahitaji kuutumia. Tutaona, anasema Rais wa Marekani.

trump switzerland davos 45024

22 Januari, 2026

Venezuela yaiwekea soko huria sekta yake ya mafuta

Hatua hiyo, inakuja takribani wiki tatu, tangu Marekani imuondoe madarakani aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Nicolas Maduro, ambaye mtangulizi wake Hugo Chavez alilazimisha utaifishwaji wa makampuni ya nje ya mafuta katikati ya miaka 2000.

1769111363370 v3z9wx 50bfb9fdca0479e25313fc3be8e2d5425d5c1820fe405c7ab19dddc8599e9891

22 Januari, 2026

Rais wa Israel akutana na kiongozi wa eneo la Somaliland lililojitenga mjini Davos

Kuanzishwa kwa uhusiano wa kidiplomasia kati ya pande hizo mbili kumezua ukosoaji mkali duniani kote kwa kukiuka mamlaka ya Somalia.

9e3056b22dd0b208d9a403e02cb400dfb5dee20547dab87eadc100b8fb5320fa

21 Januari, 2026

Ndege ya Trump ya Air Force One yalazimika kukatisha safari ya Davos angani

Ndege ilirudi kambi ya Andrews “kwa tahadhari,” Ikulu ya white house inasema, ikiongeza kwamba Trump angebadili ndege na kuendelea kwenda Uswisi.

457dee18eb772abb8c3e3a0af5bfb622aef4f5381c32cef6a486d632d404e802

20 Januari, 2026

Bilionea Elon Musk agusia kulinunua shirika la ndege la Ryanair

Mwaka 2022, Musk alitumia kiasi cha Dola Bilioni 44, kuununua mtandao wa Twitter, ambao aliubadilisha jina na kuuita X.

546932abc236f5a7784ac1ffd94392cc106715c6994f7e54038df5e6125154b6

18 Januari, 2026

Israel yapinga orodha ya jopo la Trump la Gaza huku mkuu wa kamati ya Palestina akitangaza wajumbe

Ofisi ya Waziri Mkuu Netanyahu inasema bodi hiyo haikuratibiwa na Israel na inaenda kinyume na sera yake.

2026 01 17t075937z 1179840148 rc2v2ja4mfqt rtrmadp 3 israel palestinians gaza trump board main 1 2

18 Januari, 2026

Idadi ya waliouawa katika maandamano ya Iran imepita 3,000 huku mtandao ukianza kurejeshwa polepole

Wakaazi wanasema msako huo kwa kiasi kikubwa umezima maandamano, huku vyombo vya habari vya serikali vikiripoti kukamatwa zaidi na mitaa tulivu hata katika miji ya kaskazini mwa Caspian.

4f6cbcca33e5d9d6f83b936861f74e72309a23cb051c481ce79c0d80d9805625

17 Januari, 2026

Trump anamwalika rais wa Uturuki Erdogan kujiunga na bodi ya amani ya Gaza

Mkuu wa Mawasiliano wa Uturuki Burhanettin Duran anasema kwamba barua ya mwaliko ilitumwa kwa Erdogan kuwa mwanachama mwanzilishi wa Bodi ya Amani.

328aa1f45e608cdd70b26f46c10697e7edb56cabd44c5257347ae0158c69a54f
Loading...