Nigeria Yafanya Kesi Kubwa Dhidi ya Ugaidi, Watu 400 Wafungwa

Mamamia ya washukiwa wa ugaidi wamefungwa gerezani nchini Nigeria kufuatia kesi za pamoja.
11 Aprili, 2026
Djibouti Yapiga Kura kwa Ushiriki Mdogo, Guelleh Aelekea Muhula Mpya

Wananchi wa Djibouti wamejitokeza kupiga kura katika uchaguzi wa urais, lakini kwa kiwango cha chini kuliko ilivyotarajiwa.
10 Aprili, 2026
Hatua ya Kisiasa Sudan Kusini: Kiir Afukuza Viongozi wa Bunge

Rais Salva Kiir amefanya mabadiliko makubwa kwa kuwaondoa spika wa bunge na naibu wake.
7 Aprili, 2026
Mvutano Waongezeka: Mashambulizi Iran Yaua Zaidi Ya 25

Mashambulizi mapya nchini Iran yameua zaidi ya watu 25 huku shinikizo la kufungua Mlango wa Hormuz likiongezeka.
6 Aprili, 2026

Makubaliano Mapya: DR Congo Kupokea Wahamiaji Waliotoka Marekani

Hatua ya Amani: Rwanda Yawajumuisha Wapiganaji 214 wa Zamani

Traoré Apendekeza Mfumo Mbadala Badala ya Demokrasia Burkina Faso

Garry Conille Ateuliwa Kuongoza Shughuli za UN Kenya

Bunge la Israel lapitisha sheria tata ya hukumu ya kifo
31 Mechi, 2026
Madai ya Trump: Ufaransa Yakataa Ndege za Kijeshi Kuelekea Israel
Donald Trump anadai kuwa Ufaransa ilizuia ndege za kijeshi kuelekea Israel, akisema Marekani itakumbuka hatua hiyo.

30 Mechi, 2026
Rais wa Zamani wa Ghana Aongoza Ujumbe wa Uchaguzi ECOWAS Benin
Nana Akufo-Addo ataongoza ujumbe wa ECOWAS kufuatilia uchaguzi nchini Benin.

29 Mechi, 2026
Mahakama Yathibitisha Ushindi Mkubwa wa Sassou Nguesso Congo-Brazzaville
Denis Sassou Nguesso amethibitishwa mshindi wa uchaguzi kwa asilimia 95 baada ya uamuzi wa mahakama nchini Congo-Brazzaville.

28 Mechi, 2026
Ripoti Ya Afrika Yaonesha Changamoto na Mafanikio ya Kisiasa
Ripoti ya “State of African Governance” inatoa picha mchanganyiko ya utawala barani Afrika, ikibainisha changamoto katika uchaguzi na nafasi ya taasisi.

27 Mechi, 2026
Hakuna mazungumzo na Marekani licha ya kupokea ujumbe kutoka kwa wapatanishi: Aragchi
Iran inasisitiza kuwa haifanyi mazungumzo na Washington, inakagua mapendekezo kupitia wapatanishi huku ikitoa wito wa kukomeshwa kwa kudumu kwa mizozo na kutilia shaka nafasi ya Marekani katika kanda.

27 Mechi, 2026
Rais wa Madagascar achagua baraza jipya likiwa na sura mpya na za zamani
Baraza jipya la mawaziri lina wanawake tisa, pamoja na watu ambao walikuwa sehemu ya serikali huku wengine wakiingia kwa mara ya kwanza.

25 Mechi, 2026
Kashfa ya Rushwa: Maafisa 12 wa Polisi Wakamatwa Afrika Kusini
Afrika Kusini imewakamata maafisa 12 wa polisi wa ngazi za juu kwa tuhuma za rushwa.

25 Mechi, 2026
Tuhuma za Mkopo wa Siri €650M Zakatalia na Senegal
Senegal imekanusha madai ya kukopa fedha kwa siri, ikisema hakuna ukweli katika taarifa hizo.

24 Mechi, 2026
Balozi wa Iran nchini Lebanon atimuliwa
Lebanon imesema hatua hiyo ilitokana na “ukiukwaji wa Iram wa kanuni na itifaki za kidiplomasia” kati ya nchi hizo mbili.

24 Mechi, 2026
Mvutano waongezeka Hormuz huku Iran ikijigamba kwa nguvu ya kijeshi
Usafirishaji wa mafuta watatizika wakati Iran ikisisitiza uwezo wake wa kulinda eneo.



